Dk. Lwaitama ahoji, kama Lissu anasema hataki maridhiano, je anataka kuchukua silaha kupambana na serikali? Asisitiza umuhimu wa mazungumzo ya vyama

Dk. Lwaitama ahoji, kama Lissu anasema hataki maridhiano, je anataka kuchukua silaha kupambana na serikali? Asisitiza umuhimu wa mazungumzo ya vyama

chiembe

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2015
Posts
16,859
Reaction score
28,112
Dk. Lwaitama, moja kati ya nguli wa zamani pale UDSM ameshangazwa na msimamo wa Lissu kwamba hataki kuzungumza au kuridhiana na yeyote. Katika moja ya makala zake, mzee wa maswali magumu Ansbert Gurumo, katika moja ya makala zake, alisema kwamba Lissu ni Mwanasiasa ambaye anaweza kutoa kauli mwenyewe, halafu akaipinga baada ya sekunde chache

Gwiji hilo la taaluma ya siasa limesema lazima vyama vya siasa vizungumze kwa kuwa hiyo ndio siasa, kwamba lazima umshawishi mwenzako akubaliane na wewe.

Dk. Lwaitama kwa mara kadhaa amekuwa mshauri wa Chadema katika mambo mbalimbali. Ni Dokta mbobevo. Lissu kwa muda mwingi amekuwa akitumia muda wake na Mdude Nyagali, Askofu Mwanamapinduzi ambaye haijulikani kama alimaliza shule ya msingi, na pia alichukuliwa fomu ya kugombea na SATIVA, ambaye hela zake anazipata kwa kubeti, na kupewa tenda ya kutukana watu mitandaoni.

Screenshot_20250102-121411.jpg
 
Dk. Lwaitama, moja kati ya nguli wa zamani pale UDSM ameshangazwa na msimamo wa Lissu kwamba hataki kuzungumza au kuridhiana na yeyote. Katika moja ya makala zake, mzee wa maswali magumu.

Gwiji hilo la taaluma ya siasa limesema lazima vyama vya siasa vizungumze kwa kuwa hiyo ndio siasa, kwamba lazima umshawishi mwenzako akubaliane na wewe.

Dk. Lwaitama kwa mara kadhaa amekuwa mshauri wa Chadema katika mambo mbalimbali. Ni profesa mbobevo. Lissu kwa muda mwingi amekuwa akitumia muda wake na Mdude Nyagali, Askofu Mwanamapinduzi ambaye haijulikani kama alimaliza shule ya msingi, na pia alichukuliwa fomu ya kugombea na SATIVA, ambaye hela zake anazipata kwa kubeti, na kupewa tenda ya kutukana watu mitandaoni.

View attachment 3190484
Maridhiano yamekifikisha wapi chama
 
Dk. Lwaitama, moja kati ya nguli wa zamani pale UDSM ameshangazwa na msimamo wa Lissu kwamba hataki kuzungumza au kuridhiana na yeyote. Katika moja ya makala zake, mzee wa maswali magumu.

Gwiji hilo la taaluma ya siasa limesema lazima vyama vya siasa vizungumze kwa kuwa hiyo ndio siasa, kwamba lazima umshawishi mwenzako akubaliane na wewe.

Dk. Lwaitama kwa mara kadhaa amekuwa mshauri wa Chadema katika mambo mbalimbali. Ni profesa mbobevo. Lissu kwa muda mwingi amekuwa akitumia muda wake na Mdude Nyagali, Askofu Mwanamapinduzi ambaye haijulikani kama alimaliza shule ya msingi, na pia alichukuliwa fomu ya kugombea na SATIVA, ambaye hela zake anazipata kwa kubeti, na kupewa tenda ya kutukana watu mitandaoni.

View attachment 3190484
Betting ni kazi ya kipuuzi ila inaingiza serikalini hela nzuri tu na hawaikatai
 
Dk. Lwaitama, moja kati ya nguli wa zamani pale UDSM ameshangazwa na msimamo wa Lissu kwamba hataki kuzungumza au kuridhiana na yeyote. Katika moja ya makala zake, mzee wa maswali magumu.

Gwiji hilo la taaluma ya siasa limesema lazima vyama vya siasa vizungumze kwa kuwa hiyo ndio siasa, kwamba lazima umshawishi mwenzako akubaliane na wewe.

Dk. Lwaitama kwa mara kadhaa amekuwa mshauri wa Chadema katika mambo mbalimbali. Ni profesa mbobevo. Lissu kwa muda mwingi amekuwa akitumia muda wake na Mdude Nyagali, Askofu Mwanamapinduzi ambaye haijulikani kama alimaliza shule ya msingi, na pia alichukuliwa fomu ya kugombea na SATIVA, ambaye hela zake anazipata kwa kubeti, na kupewa tenda ya kutukana watu mitandaoni.

View attachment 3190484
Wapi Lissu amesema hataki maridhiano? Lissu alichokataa ni ulaghai unaofanywa na CCM katika mazungumzo ya maridhiano. Mazungumzo yamefanyika jee nini kimebadilika? Watu wameendelea kutekwa,kuteswa na kuuliwa kikatili, wizi na uchafuzi wa mchakato wa uchaguzi ndiyo kama tulivyoona mwezi November 2024,CCM waliahidi kuwa yaliyotokea 2019 hayatajirudia tena jee wametimiza ahadi yao? Mazungumzo ya kuzungumzia amani huku CCM wameficha AK 47 kifuani huo ni upumbavu.
 
Wapi Lissu amesema hataki maridhiano? Lissu alichokataa ni ulaghai unaofanywa na CCM katika mazungumzo ya maridhiano. Mazungumzo yamefanyika jee nini kimebadilika? Watu wameendelea kutekwa,kuteswa na kuuliwa kikatili, wizi na uchafuzi wa mchakato wa uchaguzi ndiyo kama tulivyoona mwezi November 2024,CCM waliahidi kuwa yaliyotokea 2019 hayatajirudia tena jee wametimiza ahadi yao? Mazungumzo ya kuzungumzia amani huku CCM wameficha AK 47 kifuani huo ni upumbavu.
Ninacho jua mimi ni kuwa Lissu alipinga CDM kuingia katika mazungumzo yanayohusu "maridhiano" kabla ya Tume Huru ya Uchaguzi na Katiba Mpya. Anasema waliomuunga mkono katika msimamo wake wa kupinga hayo mazungumzo walikuwa Heche, Lema, Wenje na mtu mmoja mwengine. Ndio maana kwenye hili ameelekeza nguvu kubwa katika kumlaumu Mbowe kwa kuiingiza CDM kwenye chaka. Na kuna watu wake wanasema kuwa Mbowe alilambishwa asali na CCM ndio maana akayapigia sana debe. Kwa sababu hiyo, swali la Dr. Lwaitama ni la msingi. Nini ilikuwa njia mbadala ambayo Lissu alitaka CDM waifuate? Tukumbuke wakati ule mikutano ya hadhara ya vyama vya siasa na maandamano yalikuwa hayapewi kibali na Tanpol. Lissu alitaka CDM wafanye nini ili kufikia malengo yao?

Amandla...
 
Kuendelea
Wapi Lissu amesema hataki maridhiano? Lissu alichokataa ni ulaghai unaofanywa na CCM katika mazungumzo ya maridhiano. Mazungumzo yamefanyika jee nini kimebadilika? Watu wameendelea kutekwa,kuteswa na kuuliwa kikatili, wizi na uchafuzi wa mchakato wa uchaguzi ndiyo kama tulivyoona mwezi November 2024,CCM waliahidi kuwa yaliyotokea 2019 hayatajirudia tena jee wametimiza ahadi yao? Mazungumzo ya kuzungumzia amani huku CCM wameficha AK 47 kifuani huo ni upumbavu.
Kufanya maridhiano na kitu kama ccm ni kuendelea kufanya upumbavu wa hali ya juu. Kuna vitu viwili kuacha kabisa kufanya maridhiano au kubadili mwelekeo. Kama mbwai na iwe mbwai.
 
Back
Top Bottom