chiembe
JF-Expert Member
- May 16, 2015
- 16,859
- 28,112
Dk. Lwaitama, moja kati ya nguli wa zamani pale UDSM ameshangazwa na msimamo wa Lissu kwamba hataki kuzungumza au kuridhiana na yeyote. Katika moja ya makala zake, mzee wa maswali magumu Ansbert Gurumo, katika moja ya makala zake, alisema kwamba Lissu ni Mwanasiasa ambaye anaweza kutoa kauli mwenyewe, halafu akaipinga baada ya sekunde chache
Gwiji hilo la taaluma ya siasa limesema lazima vyama vya siasa vizungumze kwa kuwa hiyo ndio siasa, kwamba lazima umshawishi mwenzako akubaliane na wewe.
Dk. Lwaitama kwa mara kadhaa amekuwa mshauri wa Chadema katika mambo mbalimbali. Ni Dokta mbobevo. Lissu kwa muda mwingi amekuwa akitumia muda wake na Mdude Nyagali, Askofu Mwanamapinduzi ambaye haijulikani kama alimaliza shule ya msingi, na pia alichukuliwa fomu ya kugombea na SATIVA, ambaye hela zake anazipata kwa kubeti, na kupewa tenda ya kutukana watu mitandaoni.
Gwiji hilo la taaluma ya siasa limesema lazima vyama vya siasa vizungumze kwa kuwa hiyo ndio siasa, kwamba lazima umshawishi mwenzako akubaliane na wewe.
Dk. Lwaitama kwa mara kadhaa amekuwa mshauri wa Chadema katika mambo mbalimbali. Ni Dokta mbobevo. Lissu kwa muda mwingi amekuwa akitumia muda wake na Mdude Nyagali, Askofu Mwanamapinduzi ambaye haijulikani kama alimaliza shule ya msingi, na pia alichukuliwa fomu ya kugombea na SATIVA, ambaye hela zake anazipata kwa kubeti, na kupewa tenda ya kutukana watu mitandaoni.