Dk. Lwaitama ainanga kambi ya Lissu, asema kwamba kama kupendwa hata DiamondPlatnumz anapendwa sana, lakini huwezi kumpa uongozi wa chama

Kweli kabisa
 
Haahaa huyu mzee Kuna wakati simwelewi kabisa, kuwa na gari linahusiana na nn na uongozi?
 
Haahaa kwani kwa sasa sio kiongozi?
 
Wewe naona una upande.Dk Lwaitama hakuegemea kwa Lisu wala kwa Mbowe.Hakuna aliyemponda wala kumuunga mkono.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…