Dk. Lwaitama ainanga kambi ya Lissu, asema kwamba kama kupendwa hata DiamondPlatnumz anapendwa sana, lakini huwezi kumpa uongozi wa chama

Dk. Lwaitama ainanga kambi ya Lissu, asema kwamba kama kupendwa hata DiamondPlatnumz anapendwa sana, lakini huwezi kumpa uongozi wa chama

Mwenye akili awez kumuunga mkono mtu kama LiSU bahati nzuli tumemjua vizuli kabla ya uchaguzi wowote yule abaki Wakili ndiio kazi inayomfaaa kutetea watu ila uhongozi apana atachekesha watu ataumiza watu. Atakamua watu na mikodi kibao!!.
Kweli kabisa
 
Man'gana ghasarikile.

Dk. Lwaitama asema hayo wakati akihojiwa na SAUTi DIGITAL. Kwamba uongozi wa chama ni suala nyeti zaidi ya kupendwa tu. Dk. Lwaitama alieleza kwamba kama ni kupendwa, Diamond Platinum anapendwa kuliko hata Lissu lakini huwezi kumpa uongozi wa chama.

Dk. Lwaitama alisema kwamba unaweza kuwa mchambuzi mzuri tu, lakini haukidhi kuwa kiongozi Mkuu wa chama.

Dk. Lwaitama amewataka wajumbe waangalie vigezo vya msingi, wasiongozwe na mihemuko wakachagua mtu ambaye chama kikipata dharura ya fedha, yeye hana hata mia, hata gari hana, hivyo chama kinaweza kuyumba.

Dk Lwaitama alisema kama hoja ni kumuondoa mtu aliyekaa muda mrefu, hata Lissu amekaa zaidi ya miaka 15 katika nafasi za juu, kwa hiyo kama ni hoja ya kubadili uongozi, hata Lissu inamgusa kwa kuwa amekaa muda mredu, na kwamba watu wapya ni Odero au Mapunda.

View attachment 3190522
Haahaa huyu mzee Kuna wakati simwelewi kabisa, kuwa na gari linahusiana na nn na uongozi?
 
Mwenye akili awez kumuunga mkono mtu kama LiSU bahati nzuli tumemjua vizuli kabla ya uchaguzi wowote yule abaki Wakili ndiio kazi inayomfaaa kutetea watu ila uhongozi apana atachekesha watu ataumiza watu. Atakamua watu na mikodi kibao!!.
Haahaa kwani kwa sasa sio kiongozi?
 
Man'gana ghasarikile.

Dk. Lwaitama asema hayo wakati akihojiwa na SAUTi DIGITAL. Kwamba uongozi wa chama ni suala nyeti zaidi ya kupendwa tu. Dk. Lwaitama alieleza kwamba kama ni kupendwa, Diamond Platinum anapendwa kuliko hata Lissu lakini huwezi kumpa uongozi wa chama.

Dk. Lwaitama alisema kwamba unaweza kuwa mchambuzi mzuri tu, lakini haukidhi kuwa kiongozi Mkuu wa chama.

Dk. Lwaitama amewataka wajumbe waangalie vigezo vya msingi, wasiongozwe na mihemuko wakachagua mtu ambaye chama kikipata dharura ya fedha, yeye hana hata mia, hata gari hana, hivyo chama kinaweza kuyumba.

Dk Lwaitama alisema kama hoja ni kumuondoa mtu aliyekaa muda mrefu, hata Lissu amekaa zaidi ya miaka 15 katika nafasi za juu, kwa hiyo kama ni hoja ya kubadili uongozi, hata Lissu inamgusa kwa kuwa amekaa muda mredu, na kwamba watu wapya ni Odero au Mapunda.

View attachment 3190522
Wewe naona una upande.Dk Lwaitama hakuegemea kwa Lisu wala kwa Mbowe.Hakuna aliyemponda wala kumuunga mkono.
 
Back
Top Bottom