Dejane
JF-Expert Member
- Jan 1, 2014
- 50,587
- 71,492
Aombe msamaha kwalipi. Mbona Dk mwaka yupo sahihi kabisa
Mbona hamsemi wamefanya nin?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aombe msamaha kwalipi. Mbona Dk mwaka yupo sahihi kabisa
Mwaka kagusa ajira za watu lazima watamani kumtoa roho maana kawafumbua waumini wao
Dah!!yaani jamaa wamegoma aisee!Kasemaje Mwaka
Amesema mashekhe na wachungaji ni wanasiasa tuKasemaje Mwaka
Hadi ww wa mjini haujui?Mbona hamsemi wamefanya nin?
Acha Ujinga wewe. RC ana kazi nyingi kukaa kupatanisha kila jamaa yako anapogombana na mwingine. Kati ya hao unaowataja nani ndo mtu wako? Je wamo humu? Si uende ukaongee nao?acheni ujinga huo.Namshauri Dk mwaka aombe radhi tu, hakuna atakachopungukiwa. Analeta malumbano yasiyo na msingi.
Namshauri Mkuu wa Mkoa amwite na kumnasaha aombe radhi, ikishidikana RPC amwite kwa mahojiano, maana analeta viashiria vya uvunjifu wa amani nchini. Ahojiwe,labda anatumika na kundi ambalo haliitakii mema nchi yetu
Huna uwezo wa kumzuia RC asifanye kazi yakeAcha Ujinga wewe. RC ana kazi nyingi kukaa kupatanisha kila jamaa yako anapogombana na mwingine. Kati ya hao unaowataja nani ndo mtu wako? Je wamo humu? Si uende ukaongee nao?acheni ujinga huo.
Mi wa kijijin kila mtu hasemi badi nielezee weweHadi ww wa mjini haujui?
Najulia wapi mimi huku nilipo. Msiba wa Grendimaza Eliza tu nimeambiwa jana.Mi wa kijijin kila mtu hasemi badi nielezee wewe