Namuona hapa TBC1 balozi mstaafu Dk slaa anapiga kamba eti kwa kanuni za kabisa canon law anaweza kurejea madhabahuni akawaongoza kandoo za bwana waende mbinguni
Eti wajuvi ni kweli huyu Mwanasiasa anaweza kurudi kanisani au ndio tunapigwa kamba
USSR
Kuoa kwake ni uzinzi. Kwasababu ndoa yake takatifu ni upadre.Mbona aliomba kuoa?
Yaani alijiweka wakfu wa kuwa mseja na kumtumikia bwana. Haya mengine ameyakuta na kuyachagua hapa hapa kwetu dunianiKuoa kwake ni uzinzi. Kwasabb ndoa yake takatifu ni upadre.
Hawezi Tena Aendelee Kuloweka
Kanisa Halina Shida Ya Watu
Huyo Labda Kufanya Usafi
Hahaha!! Aice hata mi nmeshangaa watz wengi hawana taarifa kuwa yupo TBC hukoSi alikuwa asimamishe Nchi tarehe 3 December imekuaje tena?
Akaungane na mshkaji wake Rashid Gwajima kutoa hudumaNamuona hapa TBC1 balozi mstaafu Dk slaa anapiga kamba eti kwa kanuni za kabisa canon law anaweza kurejea madhabahuni akawaongoza kandoo za bwana waende mbinguni
Eti wajuvi ni kweli huyu Mwanasiasa anaweza kurudi kanisani au ndio tunapigwa kamba
USSR