stonecutter
JF-Expert Member
- Jun 12, 2022
- 1,724
- 2,584
kwa kupigania rasilimali za taifa acha wamvue vyote isipokuwa uhai wake. Pia nayewavua wenzake naye ipo siku atavuliwa tu.Slaa ni kama toilet paper, ilishatumika haina maana tena
2015 alijivua heshima mwenyeww
Anajitahidi sana kwa hayo uliyoyasema. LAKINI sijui kwanini hakubaliki huku nilipo, tena wanawake ndo hawataki kumsikia kabisa.Usipoteze muda na 2025 bali jipange na 2030. Mama Samia ni Rais bora kabisa kuliko mtangulizi wake japo ana madhaifu yake machache.
Performance yake kwenye uhuru wa mawazo, demokrasia ya vyama vingi na kufungua uchumi ni kubwa kuliko ya mtangulizi wake.
Aidha amejenga utulivu kwenye nchi, amani na kuondoa dhuluma ambazo Magufuli ndiyo alikuwa anatumia kama strategy ya uongozi. Magufuli alikuwa hafuati rule of law, alikuwa anaua wakosoaji na alikuwa anapora fedha za wafanyabiashara na matajiri benki.
Mnyonge mnyongeni lakini haki yake mpeni. Mumchukie tu kwa vile ni mwanamke, mwislamu halafu Mzanzibari lakini siyo kiutendaji.
Mkiambiwa ukweli mnasema ndoto za mchana. Wakati mwingine ninyi ndio mnaomdanganya mama mnataka aaibike kama Joyce Banda.Ndoto za mchana.
Hakika. Mtu anaongelea jambo jingine, ghafla mtu anahama na kuanza kuzungumzia dini. Kwani ambao hawamtaki samia na ccm ni watu wa dini flani tu.Dini zinafanya watu kuwa wajinga , kataa dini dini ni utapeli.
Afya ya akili ni tatzo mkuu.Hakika. Mtu anaongelea jambo jingine, ghafla mtu anahama na kuanza kuzungumzia dini. Kwani ambao hawamtaki samia na ccm ni watu wa dini flani tu.
Kwa uliyoyaandika nakiri wazi kabisa kusema nchi hii bado ina safari ndefu sana.Usipoteze muda na 2025 bali jipange na 2030. Mama Samia ni Rais bora kabisa kuliko mtangulizi wake japo ana madhaifu yake machache.
Performance yake kwenye uhuru wa mawazo, demokrasia ya vyama vingi na kufungua uchumi ni kubwa kuliko ya mtangulizi wake.
Aidha amejenga utulivu kwenye nchi, amani na kuondoa dhuluma ambazo Magufuli ndiyo alikuwa anatumia kama strategy ya uongozi. Magufuli alikuwa hafuati rule of law, alikuwa anaua wakosoaji na alikuwa anapora fedha za wafanyabiashara na matajiri benki.
Mnyonge mnyongeni lakini haki yake mpeni. Mumchukie tu kwa vile ni mwanamke, mwislamu halafu Mzanzibari lakini siyo kiutendaji.
Nakubali ndiyo kwasababu tumeshayasaliti maendeleo na hatuyahitaji vile vile tangu zamani hizo tumekubali kuishi katika matabaka no way out..Believe me, Samia ataenda mpaka 2030.
Ndamchagua Sir Mia kwa kuvusha maji ya kunywa -Safi na Salama toka Dar mpaka Paje KizimkaziBinafsi ndamchagua Samia 2025 kwa kutujalisisi wakulima
Achaujinga kipindi chamagufuli mbolea ilikua lakinaselasini kipindichasamia sitini nambili bado ajakuja mahindi kipindicha mshambakilikua kilomiasita samia elfumoja magu alipolakorosho kwawakulima samiaamewaluusu wakulimawauze mazaoyao magu alivamia madukayakubadilisha helazakigeni samia amewaludishia helazaoMimi pia ni mkulima. Niambie, samia amewajali wakulima kwa mambo gani?. Ninachojua wakati wa Magufuli mbolea ilikuwa rahisi kupata. S.A Kg 50 iliuzwa Tsh 40,000 - 50elfu. CAN na UREA 60,000. Baada ya magu kufa mambo yalibadilika maana ruzuku iliondolewa na tukauziwa UREA na CAN Tsh 140,000. Aliporudisha ruzuku leo mbolea hizo ni Tsh 75,000 hadi 80elfu kwa kg 50.
Ndugu yangu hizi siasa za kiafrica ukihangaika nazo sana utakufa hujaacha urithi kwa wanao. Pambana utafute riziki kwa familia yako, Hayo mengine achana nayo maana huna uwezo wa kuyabadilisha hata ukiwa RaisNakubali ndiyo kwasababu tumeshayasaliti maendeleo na hatuyahitaji vile vile tangu zamani hizo tumekubali kuishi katika matabaka no way out..
Kama wewe ni kipofu siwezi kukusaidia kuona. Rudi tena kasome nilichoandikaSema home boy tafuta akili siku nyingine pesa piga chini usitafute.
Nionyeshe mafanikio ya kiuchumi ambayo mama Abdul kafanya yanayokufanya useme kampita Magufuli.
Kwanini wewe unahangaika na kukubalika kwa Rais Samia? Namna ambavyo hakubaliki basi ndiyo FURSA kwenu wapinzani wake kuchukua uongozi wa nchi.Anajitahidi sana kwa hayo uliyoyasema. LAKINI sijui kwanini hakubaliki huku nilipo, tena wanawake ndo hawataki kumsikia kabisa.
Ridiculous! Hoja hazihitaji hasira mkuu.Kwanini wewe unahangaika na kukubalika kwa Rais Samia? Namna ambavyo hakubaliki basi ndiyo FURSA kwenu wapinzani wake kuchukua uongozi wa nchi.
Samia hakubaliki halafu nyinyi ndiyo mnaumia? Ridiculous
Mvueni tu hii ni vita ya pazi,kunguru nipo juu nawachora tuJidanganyeni tu na endelea Kudanganywa kuwa things are okay on the ground wakati akina GENTAMYCINE ambao Kutwa tupo na tunajichanganya na Wananchi tunaona hali ni tofauti na kama mwaka 2025 PT, TISS, JWTZ na NEC wakisema wakae Kando na waachie Haki itendeke nina uhakika kuna Mtu mapema sana ataenda Paje Kizimkazi kuyaanza Maisha yake mapya akiwa na Wajukuu zake.
Alijua ametukomoa timu Lowasa na upinzaniSlaa ni kama toilet paper, ilishatumika haina maana tena
2015 alijivua heshima mwenyeww
Nimejaribu kusoma ili nielewe lakini nimeshindwa mkuu. Barikiwa sana.Achaujinga kipindi chamagufuli mbolea ilikua lakinaselasini kipindichasamia sitini nambili bado ajakuja mahindi kipindicha mshambakilikua kilomiasita samia elfumoja magu alipolakorosho kwawakulima samiaamewaluusu wakulimawauze mazaoyao magu alivamia madukayakubadilisha helazakigeni samia amewaludishia helazao
Maana ya ridiculous siyo hasira, bali ni kichekesho. Kwa English it meansRidiculous! Hoja hazihitaji hasira mkuu.
Jidanganyeni tu na endelea Kudanganywa kuwa things are okay on the ground wakati akina GENTAMYCINE ambao Kutwa tupo na tunajichanganya na Wananchi tunaona hali ni tofauti na kama mwaka 2025 PT, TISS, JWTZ na NEC wakisema wakae Kando na waachie Haki itendeke nina uhakika kuna Mtu mapema sana ataenda Paje Kizimkazi kuyaanza Maisha yake mapya akiwa na Wajukuu zake.