Dkt. Abbas na Watendaji wengine mlioko Serikalini kama hatuna uhakika na Viingereza vyetu vya 'Ukubwani' na 'Uchochoroni' tutumie tu Kiswahili chetu

umeamka na pombe kichwani punguza ulevi
Hivi si ndiyo Wewe Jana ulisema HUNIPENDI sasa inakuwaje kila nikiletacho hapa JF ni lazima ukisome? Nikuelewe vipi? Kwanini 'Usinibloku' tu ili uendelee Kuwasoma unaowaita 'Werevu' Wenzako?

Kinachowateseni na Kuumia zaidi nami ni Mwenyezi Mungu kuniumba kuwa " Purely Talented, Charismatic Fella, Game Changer and Entertainer " hivi.

Leo naona umekuja 'Kiadabu' sana tu.
 
Mkuu YEHODAYA hapa hakuna grammatical errors isipokuwa kuna unnecessarily wording. Huyu mwalimu wa Kenya alikuwa anairekebisha hiyo statement ya royal family kwa kutumia maneno machache ambayo bado yangeweza kueleweka badala ya maneno mengi. Of course kuwa muingereza au mmarekani haimaanishi ndio utajua kila neno la kiingereza, the same thing hata kwetu sisi watanzania, kuwa mtanzania haiimaanishi utajua kila neno la kiswahili, lakini hii haimaanishi kwamba muingereza kiingereza kinamshinda au ni kibovu au kiswahili cha mtanzania ni kibovu au kinatushinda.
 
usichoelewa hapo nini sasa? mbona poa tu kuwa kuna mtu anawekwa ndani
Humpendi Mleta Mada ( GENTAMYCINE ) kwanini unapenda 'Kushoboka' kusoma 'Threads' zake na 24/7 unamfuatilia kila anachokiandika ( anachokichangia ) hapa JamiiForums? Wenye Akiki Kubwa ( Einsteins ) tukuelewe / wakuelewe vipi?
 
Wenye Akiki Kubwa ( Einsteins ) tukuelewe / wakuelewe vipi?
Hata kuandika tu hujui AKIKI kubwa ndio nini? hata hueleweki haya edit ulichoandika.Kuandika tu kiswahili kunakushinda .Umejifunzia kiswahili ukubwani? rekebisha hiyo AKIKI yako
 
Hana Akili huyo Mkuu asikusumbue pia.

Cc: YEHODAYA
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ watu wengine sijui vp, unanidharau mimi ndio niliosema, A lot of reforms is going on now in our ministry???.
Anyway, bado asubui saiz labda umeamka vibaya.
 
Hata kuandika tu hujui AKIKI kubwa ndio nini? hata hueleweki haya edit ulichoandika.Kuandika tu kiswahili kunakushinda .Umejifunzia kiswahili ukubwani? rekebisha hiyo AKIKI yako
Ulichokiona Kwangu ni hiko tu hasa au?
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ watu wengine sijui vp, unanidharau mimi ndio niliosema, A lot of reforms is going on now in our ministry???.
Anyway, bado asubui saiz labda umeamka vibaya.
Kuna unachokitafuta Kwangu endelea...
 
Huyu mkenya yuko vizuri hukosoa statement nyingi za viongozi zikiwa na kiingerezza kibovu

Hapa alisahihisha statement ya Raisi wa Ghana

 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…