Iselamagazi
JF-Expert Member
- Sep 26, 2011
- 6,020
- 6,161
Swadakta!Mkuu YEHODAYA hapa hakuna grammatical errors isipokuwa kuna unnecessarily wording. Huyu mwalimu wa Kenya alikuwa anairekebisha hiyo statement ya royal family kwa kutumia maneno machache ambayo bado yangeweza kueleweka badala ya maneno mengi. Of course kuwa muingereza au mmarekani haimaanishi ndio utajua kila neno la kiingereza, the same thing hata kwetu sisi watanzania, kuwa mtanzania haiimaanishi utajua kila neno la kiswahili, lakini hii haimaanishi kwamba muingereza kiingereza kinamshinda au ni kibovu au kiswahili cha mtanzania ni kibovu au kinatushinda.
Huyo mama na mwendazake ngoma draw.Kwani anamfikia Profesa Ndalichako huyu ....
Hebu edit kwanza hapo ulipo andika "kinachoweka kutokea" alafu urudi tena hapa.Huu ulioweka hapa ni ujinga. Kuna formula moja ujue, kama kuna vitu viwili au vitatu na vinaonekana kuwa tofauti kuna mawili i) vyote vinaweza kuwa sio sahihi au ii) kimoja tu ndio kinaweza kuwa sahihi.
Kueleweka au kutoeleweka ni kitu kinachoweka kutokea hata kwa kutumia lugha kwa usahihi. Kueleweka sio jambo lililo katika control ya msemaji!! Umeleta mada nyingine kabisa.
Kichwani mwako una uhakika zimeenea?Kumbe mtoa mada na wewe hujui kidhungu!! Mh. Yuko sawa kwa vyote gramma na semantic.
Kula shule kwanza:
βA lot of Reforms is going on now in our ministry β tuigawanye hii sentensi katika kiima (subject) na kiarifu (predicate).
Kiima = βA lot of reformsβ kiarifu = βis going on now in our ministry.β Neno βa lotβ humaanisha wingi wa vitu visivyohesabika, na unapotendesha neno kama hilo kitenzi kiunganishi huwa ni βisβ mf. I saw βa lotβ of snow fall.....
hivyo, basi, tunaweza kusema mh. amemaanisha kuwa βkuna wingi usiyohesabika wa mabadiliko yanayofanywa ndani ya wizara yetu hivi sasa.β
sio sawa kusema βa lot of....are going on....β
Forth sentence is okay.Jana jioni wakati nikisikiliza Kipindi cha BBC Dira ya Dunia ( kama kawaida yangu ) nilishtushwa kidogo nilipoisikia 'insert' ya Katibu Mkuu wa Wizara ya Habari 'Mwanazuoni' Dkt. Hassan Abbas na 'Kiingereza' alichokitumia.
Wakati akizungumza kuhusiana na Masuala ya Habari, Wadau wa Habari huku akikaribisha Maoni ya Mabadiliko ya Kisera katika Wizara yake hiyo ndipo 'akachomekea' na Kiingereza chake hicho ili kuwadhihirishia Watu kuwa amesoma na hiyo 'Doctorate' yake hakuipata Kimakosa na hata huko Ulaya hadi Marekani ameishi vile vile.
Kiingereza chenyewe alichokisema ni hiki nakinukuu hapa..." A lot of reforms is going on now in our Ministry " mwisho wa Kumnukuu Msomi wa PhD Hassan Abbas.
Hivyo basi leo nawaomba wana JF wote ( ambao nawakubali sana kwa Kujua Kiingereza vyema ) japo nikiri tu kuwa GENTAMYCINE sikijui kabisa mnisaidie ni Sentensi ipi bora ( hasa Grammatically ) kati ya hizi zifuatazo.....
1. A lot of reforms is going on now in our Ministry
2 There has been a lot of reforms going on in our Ministry
3. A lot of reforms are going on now in our Ministry
4. There are lots of reforms going on now in the Ministry
Najua Wasomi Nguli ( Intellectuals ) hapa JamiiForums hamtaniangusha GENTAMYCINE katika Kunichagulia Kiingereza sahihi kabisa ( Grammatically ) kati ya Sentensi Nne hapo ( hapa ) juu.
Hakuna Lugha niipendayo duniani ( Ulimwenguni ) kama Kiswahili na hakuna Lugha ambayo huwa naipenda Kuisikia kwa Mtu akiiongea vizuri ( japo hata siijui ) kama ya Kiingereza na hakuna pia Lugha ambayo siipendi Mtu aikosee Kuizungumza kwa 'Kuishobokea' hata kama ( siijui ) kama ya Kiingereza.
Karibuni nyote mnifundishe Kiingereza.
Mbona tena hasira au haukutaka tuchangie mada yako!!!Kichwani mwako una uhakika zimeenea?
Mtu wako huyo. Kuna wakati mwendazake alifagilia UD. Ukaona kawivu. Ukaifagilia SAU. Katika mazao bora ya chuo hicho kikuu ukamtaja Abbas! Imekuwaje leo? Kwa mwendazake na ...chako kuna utetezi wa hovyo kuwa hao ni wa sayansi. Je, huyu naye? Hamchelewi kusema kasomea sayansi ya mawasiliano/sheria!Dharau nyingi kumbe Kiingereza tatizo.
Hakuna wa kumfikia. Hata kubwa lao hakuwahi kumfikia!Kwani anamfikia Profesa Ndalichako huyu ....
(Educational or managerial) Reforms are going on in our Ministry .the question is which reforms it should be like this: Educational Reforms are going on in our MinistryJana jioni wakati nikisikiliza Kipindi cha BBC Dira ya Dunia ( kama kawaida yangu ) nilishtushwa kidogo nilipoisikia 'insert' ya Katibu Mkuu wa Wizara ya Habari 'Mwanazuoni' Dkt. Hassan Abbas na 'Kiingereza' alichokitumia.
Wakati akizungumza kuhusiana na Masuala ya Habari, Wadau wa Habari huku akikaribisha Maoni ya Mabadiliko ya Kisera katika Wizara yake hiyo ndipo 'akachomekea' na Kiingereza chake hicho ili kuwadhihirishia Watu kuwa amesoma na hiyo 'Doctorate' yake hakuipata Kimakosa na hata huko Ulaya hadi Marekani ameishi vile vile.
Kiingereza chenyewe alichokisema ni hiki nakinukuu hapa..." A lot of reforms is going on now in our Ministry " mwisho wa Kumnukuu Msomi wa PhD Hassan Abbas.
Hivyo basi leo nawaomba wana JF wote ( ambao nawakubali sana kwa Kujua Kiingereza vyema ) japo nikiri tu kuwa GENTAMYCINE sikijui kabisa mnisaidie ni Sentensi ipi bora ( hasa Grammatically ) kati ya hizi zifuatazo.....
1. A lot of reforms is going on now in our Ministry
2 There has been a lot of reforms going on in our Ministry
3. A lot of reforms are going on now in our Ministry
4. There are lots of reforms going on now in the Ministry
Najua Wasomi Nguli ( Intellectuals ) hapa JamiiForums hamtaniangusha GENTAMYCINE katika Kunichagulia Kiingereza sahihi kabisa ( Grammatically ) kati ya Sentensi Nne hapo ( hapa ) juu.
Hakuna Lugha niipendayo duniani ( Ulimwenguni ) kama Kiswahili na hakuna Lugha ambayo huwa naipenda Kuisikia kwa Mtu akiiongea vizuri ( japo hata siijui ) kama ya Kiingereza na hakuna pia Lugha ambayo siipendi Mtu aikosee Kuizungumza kwa 'Kuishobokea' hata kama ( siijui ) kama ya Kiingereza.
Karibuni nyote mnifundishe Kiingereza.reforms are going on in our Ministry
π€£π€£π€£π€£ mkubwa nakijua kiingereza ila ndugu zangu, wajomba na baba zangu, wadogo, mashangazi zangu hawakijui...tena wengine kabisaPole Dkt. Abbas, ila haukijui Kiingereza.
Acha Unafiki wako hapa sawa? Yeye ( huyu Dkt. Abbas wako ) ni nani akikosea Jambo tena Muhimu kama hili la Kimawasiliano ( Uwasilishaji ) basi tumuogope na 'tusimchane' ili ajirekebishe na pengine hata Wengine nao wasikirejee hicho hicho?
KAMA KIINGEREZA hukijui, UNAKOSOA NINI?? unaweza kukosoa USICHOKIJUA???πππππ€£π€£Jana jioni wakati nikisikiliza Kipindi cha BBC Dira ya Dunia ( kama kawaida yangu ) nilishtushwa kidogo nilipoisikia 'insert' ya Katibu Mkuu wa Wizara ya Habari 'Mwanazuoni' Dkt. Hassan Abbas na 'Kiingereza' alichokitumia.
Wakati akizungumza kuhusiana na Masuala ya Habari, Wadau wa Habari huku akikaribisha Maoni ya Mabadiliko ya Kisera katika Wizara yake hiyo ndipo 'akachomekea' na Kiingereza chake hicho ili kuwadhihirishia Watu kuwa amesoma na hiyo 'Doctorate' yake hakuipata Kimakosa na hata huko Ulaya hadi Marekani ameishi vile vile.
Kiingereza chenyewe alichokisema ni hiki nakinukuu hapa..." A lot of reforms is going on now in our Ministry " mwisho wa Kumnukuu Msomi wa PhD Hassan Abbas.
Hivyo basi leo nawaomba wana JF wote ( ambao nawakubali sana kwa Kujua Kiingereza vyema ) japo nikiri tu kuwa GENTAMYCINE sikijui kabisa mnisaidie ni Sentensi ipi bora ( hasa Grammatically ) kati ya hizi zifuatazo.....
1. A lot of reforms is going on now in our Ministry
2 There has been a lot of reforms going on in our Ministry
3. A lot of reforms are going on now in our Ministry
4. There are lots of reforms going on now in the Ministry
Najua Wasomi Nguli ( Intellectuals ) hapa JamiiForums hamtaniangusha GENTAMYCINE katika Kunichagulia Kiingereza sahihi kabisa ( Grammatically ) kati ya Sentensi Nne hapo ( hapa ) juu.
Hakuna Lugha niipendayo duniani ( Ulimwenguni ) kama Kiswahili na hakuna Lugha ambayo huwa naipenda Kuisikia kwa Mtu akiiongea vizuri ( japo hata siijui ) kama ya Kiingereza na hakuna pia Lugha ambayo siipendi Mtu aikosee Kuizungumza kwa 'Kuishobokea' hata kama ( siijui ) kama ya Kiingereza.
Karibuni nyote mnifundishe Kiingereza.
Abass anaonekana mshamba bado..
Arrogance..na entitlement vinamsumbua
Hapa hakuna unafiki wala nini ndugu. Nakueleza ukweli kabisa. Labda nikuulize kuhusu movies za Hollywood: Hujawahi kuona kuwa wanaandika kwenye subtitles pia wanaongea "She + don't" ama "He + don't" na makosa mengine mengi. Haya ni makosa ya wazi ya lugha na wanajua lakini kwa sababu ina sound vizuri zaidi basi wanaacha kama ilivyo...Acha Unafiki wako hapa sawa? Yeye ( huyu Dkt. Abbas wako ) ni nani akikosea Jambo tena Muhimu kama hili la Kimawasiliano ( Uwasilishaji ) basi tumuogope na 'tusimchane' ili ajirekebishe na pengine hata Wengine nao wasikirejee hicho hicho?
There are ongoing rule changes in the ministryJana jioni wakati nikisikiliza Kipindi cha BBC Dira ya Dunia ( kama kawaida yangu ) nilishtushwa kidogo nilipoisikia 'insert' ya Katibu Mkuu wa Wizara ya Habari 'Mwanazuoni' Dkt. Hassan Abbas na 'Kiingereza' alichokitumia.
Wakati akizungumza kuhusiana na Masuala ya Habari, Wadau wa Habari huku akikaribisha Maoni ya Mabadiliko ya Kisera katika Wizara yake hiyo ndipo 'akachomekea' na Kiingereza chake hicho ili kuwadhihirishia Watu kuwa amesoma na hiyo 'Doctorate' yake hakuipata Kimakosa na hata huko Ulaya hadi Marekani ameishi vile vile.
Kiingereza chenyewe alichokisema ni hiki nakinukuu hapa..." A lot of reforms is going on now in our Ministry " mwisho wa Kumnukuu Msomi wa PhD Hassan Abbas.
Hivyo basi leo nawaomba wana JF wote ( ambao nawakubali sana kwa Kujua Kiingereza vyema ) japo nikiri tu kuwa GENTAMYCINE sikijui kabisa mnisaidie ni Sentensi ipi bora ( hasa Grammatically ) kati ya hizi zifuatazo.....
1. A lot of reforms is going on now in our Ministry
2 There has been a lot of reforms going on in our Ministry
3. A lot of reforms are going on now in our Ministry
4. There are lots of reforms going on now in the Ministry
Najua Wasomi Nguli ( Intellectuals ) hapa JamiiForums hamtaniangusha GENTAMYCINE katika Kunichagulia Kiingereza sahihi kabisa ( Grammatically ) kati ya Sentensi Nne hapo ( hapa ) juu.
Hakuna Lugha niipendayo duniani ( Ulimwenguni ) kama Kiswahili na hakuna Lugha ambayo huwa naipenda Kuisikia kwa Mtu akiiongea vizuri ( japo hata siijui ) kama ya Kiingereza na hakuna pia Lugha ambayo siipendi Mtu aikosee Kuizungumza kwa 'Kuishobokea' hata kama ( siijui ) kama ya Kiingereza.
Karibuni nyote mnifundishe Kiingereza.
Hahahaha sawa mkuuMkuu usibishane na raia dizain hizo unapoteza muda, hao ni wale wanasapoti kauli.... Rudi na mavi yako nyumban