Stuxnet
JF-Expert Member
- Feb 12, 2011
- 13,417
- 23,310
Return Of Undertaker,
Hongera Dr. Bashiru kwa kusema ukweli kuwa bila dola CCM haiwezi kushinda. Nataka nimfundishe kidogo kuwa dola haijawahi kushinda umma, akaliulize Kaburi la Dikteta Gadafi kama Dola ilishinda nguvu ya Umma. Sisi tunajivunia nguvu ya Umma na wao watumie Dola na ICC itawahusu.
Hongera Dr. Bashiru kwa kusema ukweli kuwa bila dola CCM haiwezi kushinda. Nataka nimfundishe kidogo kuwa dola haijawahi kushinda umma, akaliulize Kaburi la Dikteta Gadafi kama Dola ilishinda nguvu ya Umma. Sisi tunajivunia nguvu ya Umma na wao watumie Dola na ICC itawahusu.