Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wahuni walikua wanaipeleka Nchi kwenye machafuko hao maana walitaka kupindua meza ndio maana Wazee wa kazi walipoingia kazini kuwaamuru watangaze mpaka saa sita mwisho mimi matendo yao ya nyuma hata sikuyazingatia ila haya ya karibuni ndio yalikera mno huyo ilitakiwa awaombe msamaha Watanzania na akili makosa yake maisha yaendelee ni kwamba alishika kete mbovu tuu...Na hii ndio inamharibia kabisa huyu Bashiru,alijitwika majukumu yasiyo saizi yake.Sijui alikuwa na lengo gani!!
Mama akaenda kutangazia msiba Tanga usiku mkubwa.
Kuna mengi chini ya kapeti tutayasikia wakati mwingine
Haina tofauti kabisa na human trafficking. Unapomtoa msichana kumpeleka danguro la Oman, ni sawa tu na kumchukua Silinde CHADEMA na kumpeleka CCM.Human trafficking? Hao kama walinunuliwa ni njaa zao tu sidhani kama ni mfano wa human trafficking. Unataka kuibua hoja zingine hapa.
Kwa kweli ninawachukia Sana. Ni watu waliojitoa akili zao kumwabudu Mwendazake. Hata Mwendazake nimemchukia mpaka amekufa, hapo ndiyo ujue kuwa niliyokuwa nayasema nilikuwa sawa.Tatizo lako wewe huwa unajadili mada kwa chuki, una chuki na JPM, Polepole na Dr Bshiru. Sasa habari za kina Gekul kununuliwa unazo ushahidi? Acha porojo za kitoto.
Wewe ni mgeni kwenye hii mada. Tofautisha Rais anayefanya uponyaji wa nafsi mama SSH na yule DIKTETA Mwendazake.Nyalandu na Yule wa Lindi wamenunuliwa na Nani?! Au aliacha invoice ofisini?
Muache ale, wanasiasa wote hata wasio bungeni wanatamani kwenda bungeni kutengeneza maisha yao, sio upinzani wala chama tawala, Bashiru aachwe kusimangwa kilichomkuta ni ajali tu za kisiasa ambazo huwakuta wengi.
Kumbe sometimes huwa unadadavua mambo kwa umakini.Kwahiyo unamaanisha bungeni ni sehemu ya kutengeneza maisha na sio kutunga sheria na utumishi wa umma!? Hapo ni kama kumtusi huyo Bashiru kuwa, pamoja na elimu yake hana uwezo wa kutengeneza maisha yake, bali ubunge tu ndio unaweza kutengeneza maisha yake. Kama ulidhania unamtetea, basi umemdhalilisha zaidi kuliko kumtetea.
Na jibu la swali umelificha kwenye Aya ipi?..nimesoma mara sita na sikuona response ya swali langu lililotokana na tabia isiyopendeza ya Bashiru..Wewe ni mgeni kwenye hii mada. Tofautisha Rais anayefanya uponyaji wa nafsi mama SSH na yule DIKTETA Mwendazake.
Style ya kununua wabunge wa CDM na CUF iliasisiwa na Magufuli ili kuua upinzani. Ni upumbavu wa kiwango cha juu sana ambao umetokea katika historia ya demokrasi ya nchi yetu.
Na naamini nchi yetu kamwe haitarudia kwenye huo uhayawani kwa vile tulipomzika Chato tarehe 26/3 tulizika na huo UPUMBAVU wake
Kumbe sometimes huwa unadadavua mambo kwa umakini.
Hio si sawa ajiuzulu kwa sababu gani, mwache achape kazi kuna kazi nyingi sana za kufanya pale bungeni, kwa utaalam alio nao atasaidia sana Watanzania kwa kutunga sheria zinazofaa. yuko sehemu muhimu sana ya kuonyesha ujuzi wake. Spika ampel uenyekiti kwenye kamati inyoendena na utaalamu wake.Kwanza kabisa kiustaarabu kwa nafasi ya katibu mkuu kiongozi uliyokuwa nayo haikupaswa kuondolewa mapema namna hiyo. Hata kama ulikuwa haufai kuwa na hiyo nafasi ilitakiwa mkuu wa kaya akuvumilie uvute naye siku hata miezi sita.
Lakini ndani ya mwezi na siku kadhaa ukawa umeg'olewa. Ok sio mbaya maana kwa utumishi wa umma unatakiwa uwe tayari kwa lolote. Lakini sio kwa kuteuliwa kuwa mbunge wa viti maalumu.
Madhari umeshatii mamlaka ya uteuzi basi we jiuzulu na uanze zako tena mimi nakushauri achana na masuala ya siasa ili kulinda heshima zako. Kama vipi rudi Bukoba ukaendeleze kilimo na biashara ya matoke. Maana walichokufanyia ni udhalilishaji.
View attachment 1769575
[emoji106]Mwanaume asusi!
Nawakumbusha tu, huyu mtu ni mume wa mtu, mkwe ukweni, mjomba, kaka mkubwa, baba, rafiki na role model wa watu flani, sio vizuri kumsema kiasi hichi eti kisa siasa.
Ishu kuchapa kazi au kuzdhalilishwa?Hio si sawa ajiuzulu kwa sababu gani, mwache achape kazi kuna kazi nyingi sana za kufanya pale bungeni, kwa utaalam alio nao atasaidia sana Watanzania kwa kutunga sheria zinazofaa. yuko sehemu muhimu sana ya kuonyesha ujuzi wake. Spika ampel uenyekiti kwenye kamati inyoendena na utaalamu wake.