Dkt. Bashiru Ally Kakurwa atinga bungeni, ala kiapo cha kuwa mbunge. Bunge lazizima kwa shangwe

You don't have evidence right? Acha kubwabwaja kwani huna utakachopata kutoka unakodhani unawahangaikia! Katafute kazi uingize kipato kwani bando zile za bure hutozipata kutoka kwa kina polepole na bashiru maana wamekuwa yatima!
Hehehehehe unafikiri kila mtu analipwa kama Bawacha mnavyopewa buku buku za bando??
 
Bunge Kuzizima kwa Shangwe haimaanishi kuwa Wanakupenda na Kukukubali tena hao Wanaoshangilia hivyo Mioyoni mwao Wanamcheka, Wanamng'ong'a na Wanamsindikiza na Mibonge ya Mitusi.
Comments nyingine ni demonic kabisa!! Chuki binafsi na wivu wa kijinga ukizidi mtu anajikuta anazungumza chochote kinacho mjia kichwani he/she goes "kuzizima kwa shangwe haimanishi wanakupenda na kukubali" unacho sahau ni kwamba Wabunge wote ni watu wazima wenye akili za kuheshimu insticts zao, wanajua mtu ambaye ni Mzalendo wa kweli ambaye anaipenda nchi yake kwa dhati na hana mawaa to talk about, majizi na mafisadi ndani ya chama na nje ya chama ndio hawampendi Bashiru kutokana na msimamo wake dhabiti unao chukia all vices mentioned above emulating JPM and Mwl.Nyerere to the letter.

Sasa, watu kama wewe and like mind wenzako mnamuona Bashiru is the pain in the neck ndio maana mnaishia kumtakia mabaya na kumponda muda wote.

Watu wote tumeona kulicho kuwa kinajili Bungeni wakati Kakurwa anakwenda kula kiapo - alishangiliwa sana hata ukiangalia body language za wabunge zilionyesha they were Sincere - wewe unakuja na stori zako za kubuni tu eti "Wabunge walikuwa wanaigiza tu lakini deep down hawamtaki Bashiru" kuna ukweli gani katika maoni yako ya kushangaza kidogo - yaani mtu na akili zako timamu unakuwa overly driven kwa chuki binafsi dhidi ya binadamu mwenzako bila sababu za msingi.
 
Huyu mwamba anakubalika sana na wazalendo binafsi naiona hulka ya hayati JPM ndani yake namtabiria makubwa huko mbeleni hilo shangwe la bunge sio bure.
 
Walioshangilia ni wale covid-19 na wabunge waliopitishwa kimazabe baada ya sisi wajumbe kuwakataa. Mfano Nape anaanzaje kushangilia kkkk
 
Hivi ndivyo hali ilivyokuwa, ambapo taarifa zinadokeza kwamba bunge zima limelipuka kwa shangwe baada ya kula kiapo.

Nachukua nafasi hii kumpongeza Mh Balozi Bashiru kwa hatua hii mpya.

Mungu ibariki Tanzania.

Bashiru Ali ndio the new Prime Minister, yale yalikuwa ni maandalizi tu....
 
Wale kila Mbunge anampa Mbowe laki 5 kila mwezi.. Sasa fanya wabunge 20 × 500,000.

We unafikiri kuna Mchagga mjinga?? Hizo wanagawana Mbowe na Lema akina Mnyika wameachwa waimarishe chama
Yaani waimarishe chama na njaa wao wanapiga pesa??!!haya mambo mbona magumu Sana,then miaka Murano ikiisha anawasamehe wanaenda kugombea majimboni, atakuja kukiua hicho chama
 
Eti bunge lazizima?
Kuna bunge siku hizi? Kwani hujui kilichofanyika wakati wa uchaguzi? WACHACHE sana wanastahili kua humo ndani.
Mzee Halima unaweza kumuita mbunge? Au gwajima, au tail tail au kibajaji au sloslow
 
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Mimi na huyo mrundi wapi na wapi?
 
Ndugu, huna hata robo ya balance moja tu za account zangu. Kama unabisha fungua uzi special tuonyeshane makali na sio hapa
Kwani hao wadada aliwafukuza kabisa kabisa kabisa ama bado bado
 

Katika Lugha Sanifu ya Kiswahili hatuna neno ' kubadirishwa ' kama ulivyoandika bali tuna neno sahihi la Kubadilishwa sawa?

Sasa kama Kuandika tu vyema Kiswahili mbele ya Werevu huwezi Maudhui yako ( Content ) tutakuwa na uhakika nayo vipi?

Huna IQ ya Kupambana na Mimi Brainiac ( All - Rounder ) hivyo acha Kunipotezea muda wangu na bakia na huo Upumbavu ( Ujuha ) wako.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…