johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Labda anataka na yeye ajibu mapigoKwa hiyo unataka tufanyaje?[emoji16]
Kwa hiyo sasa nchi imejengwa na awamu ya tano. Noted. thanks
Ndio ukweli wenyeweHapo kwenye wasema kweli wakawa maadui wa Chama nimecheka hadi nimezimia..
Ndio wananipepea hapa...
January 19, 2020
Katibu Mkuu wa CCM Dkt Bashiru anaichambua safari ya kisiasa ya CCM toka mwaka 2015, ambapo kura za CCM ziliporomoka na Magufuli alipata 58%. Fitna na misukosuko ikawa jadi ya chama. Wasemakweli wakawa maadui wa chama na kupelekea kuitwa na Halmashauri Kuu ya Chama NEC wakapewa adhabu na wengine kufukuzwa
WanaCCM wenye nia njema wakaanza kukaa kando na chama kikaanza kuendeshwa na wachache wababaishaji. Watu wanapata kazi ndani ya CCM bila ujuzi wanapata nafasi hizo kiushikaji. Miradi mingi inayohusu watu (Maendeleo ya Watu) ikafa.
Hata idadi ya wapiga kura ikaanza kuporomoka kutokana na wananchi kukosa imani na CCM. Watu hawana imani na vyombo vya kusimamia uchaguzi chini ya serikali ya CCM.
Dkt. Bashiru katika kikao hicho na wanaCCM anasema wote tunaona Baada ya miaka minne ya Magufuli mambo yamebadilika, yale ya Kikwete niliyoyabainisha yamefutika. Sasa Watu wanaimani na uchaguzi, idadi ya wapiga kura imepanda na kupanda maradufu sana.
Mkazo ktk Maendeleo ya Watu umezidi kusisitizwa sambamba na Maendeleo ya Vitu chini ya Awamu ya Tano.
Bashiru anaendelea kujadili na kuwaomba rai wanaCCM tusibishanie ndege, flyovers, madaraja na SGR reli Mpya maana sote tunaona Maendeleo hayo ya Vitu na Maendeleo ya Watu hivyo tusikazanie ktk kitu 'matumaini', bali vitu halisi tunavyoviona na kuvishika. Matumaini ni matamanio kama mapenzi huwezi kuvipima au kuvishika na hayana uhalisia hivyo haya Maendeleo ya Vitu kama ndege ni maendeleo dhahiri tusiyabishanie.
Bunge limekuwa na heshima hakuna vurugu. Demokrasia na Haki za binadamu imezidi kuzingatiwa kama ilivyoainishwa na Katiba yetu ya nchi. Chaguzi kama za Serikali za Mitaa November 14, 2019 chini ya wizara ya TAMISEMI zimefanyika bila vurugu na CCM imeshinda kwa kishindo asilimia 98%.
Source: Millard Ayo.
Kikwete atavuna alichopanda , jini alilolifuga sasa limekata fensi
Lakini na nyie mlimtukana sana Kikwete enzi akiwa RaisWametumwa kumtukana Kikwete wakidhani kwa kufanya wanamjenga mtu wao aliyekosa maarifa ya kuongoza nchi.
Wiki iliyopita alisema acheni kuabudu mtu.Hawa watakuja kumtukana Magu siku za usino,subiri atoke madarakani!
Tena huyo atatukanwa mpaka wamvue nguo!Hawa watakuja kumtukana Magu siku za usino,subiri atoke madarakani!