nipekidogo
JF-Expert Member
- Apr 17, 2019
- 1,587
- 3,035
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa mtazamo wako unafikili wanahitaji kampeni? Wangekuwa wanajua kuna uchaguzi huru na wa haki wasingekuwa wanatoa kauli za aina hii!Wote hawa ndio sampuli ya jalalani binafsi katika Phd niliowahi kuwasikia wanaongelea siasa ninaye mkubali ni Lwaitama pekee.
Ukitaka kujua huyu Bashiru ni bogus kesho anaweza kweli mpigia simu JK na kumwambia tunaomba ushiriki kwenye campaign za uchaguzi au watu wengine wanao watukana kila siku.
Inawezekana kwenye kichwa chake; yeye, Polepole, Jerry Murro, Happi, Chalamila na Makonda wanaushawishi mkubwa sana peke yao kuweza kufanya campaign Tanzania nzima.
Hapo kwenye wasema kweli wakawa maadui wa Chama nimecheka hadi nimezimia..
Ndio wananipepea hapa...
Hawa watakuja kumtukana Magu siku za usino,subiri atoke madarakani!
Trump siyo mtu mnafki kuhusu kumwita mwafrika ni mtu wa hovyo sana.Japo ni msemo unaouma ila sometimes Trump alikua sahihi...
Lakini hadi leo bado anakubarikia popote anapopita
Either way ni kauli ya mtu ambae ajawahi fanya kazi za kitaasisi ya chama ata ngazi ya mtaa wala kushiriki katika harakati za uchaguzi.Kwa mtazamo wako unafikili wanahitaji kampeni? Wangekuwa wanajua kuna uchaguzi huru na wa haki wasingekuwa wanatoa kauli za aina hii!
Nasikia anasema kwamba yeye ni mjamaa12 milioni Mkuu, ndo maana anabwabwaja tu
Amzidi huyu
Atembee kwa baiskeli apande treni alale guest ndo tutaamini ni mjamaaNasikia anasema kwamba yeye ni mjamaa
Jamani CCM kuyumba wakati wa Kikwete ni kwasababu demokrasia iliruhusiwa bila vikwazo vingi. Wakati KM analalamika kudhoofika kwa CCM anashau kuwa opposition ilikuwa inastawiSioni vibaya sana kwa kuwa hili zimwi waliliunda wenyewe! wakalipa power ya kufanya litakavyo! walitarajia yatatukuta wapinzani peke yetu? Hapana! wacha tugawane maumivu!