Dkt. Bashiru: Baada ya mzee Kikwete kuingia kura zetu (CCM) zilianza kuporomoka

Dkt. Bashiru: Baada ya mzee Kikwete kuingia kura zetu (CCM) zilianza kuporomoka

Amazimg aisee
Mwachen.mzee WETU apumzikee.pls
Mnajiaibishaa
 
YAANA ILE.MIAKA WATU WANAPOTEZA PALE U
Sometimes...kwa huu upupu wanaoongea wanafiki hawa....unaweza amini kuwa pale mlimani siyo tu jalalani bali ni dampo kabisaa...😏


Everyday is Saturday........😎
UDSM BORA.MKADANGE WANAFUNZI KAMA.SIO.MIMBA.AMKOSI.MABWANA WAZURI WAKUWATUNZA MAISHANI
 
Hii akili sijaielewa' unachukua bunduki kwenda kupigana na paka halafu ukishamuua unatupa bunduki unachukua kijiko na kuingia Porini kutafuta simba umuue.

Mmemalizana na upinzani ambao ni kama paka tu kiupinzani, kwann msipiganie mshikamano ndani ya chama badala ya kuanza kukosoana na kutengeneza upinzani na kiongoz mstaafu mwenye wafuasi wengi tu nje na ndani ya chama?

Mkifanikiwa kumchokonoa akachokoneka Upinzani wake utakuwa na nguvu sana na silaha iliyotumika kwa upinzani huwezi itumia kwake.

Ni sawa na kuchukua kijiko na kwenda kupigana na simba. Anyways mayb mmejipanga but nafikiri maamuzi sahihi ni kupigania mshikamano na maelewano na si vita ya maneno huko ndani.
 
Wametumwa kumtukana Kikwete wakidhani kwa kufanya wanamjenga mtu wao aliyekosa maarifa ya kuongoza nchi.
Kwani Uongo? Ufisadi mihadarati vyeti feki n.k na uozo wote ulifanyika awamu yake, mmebanwa awamu hii, so lazima mumtetee tu lkn ukweli upo wazi siku zote.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tufanye hesabu kidogo..

Kuanzi form 1 yako

mpaka olevo = 4 Years

Mpaka Alevo = 2Years

Mapaka chuo = 3 Years (Kama wewe ni ngwini, kama utasome MD au engineering tenga miaka 4 au 5)

Mpaka masters = 2 Years.

Mpaka PhD = 3 to 4 Years

Jumla => 4 + 2 + 3 + 2 + 4 = 15 Years!
samurai anamaanisha kama PhD ni kitu cha hovyo hivi katika nchi za kiafrika kwanini huchukua mda mrefu hivi kuipata? Haoni tofauti ya kiongozi mwenye PhD na yule aliyeishia kidato cha nne au hata wale wa darasa la saba kama akina Joseohu Musukuma.
 
Kwani Uongo? Ufisadi mihadarati vyeti feki n.k na uozo wote ulifanyika awamu yake, mmebanwa awamu hii, so lazima mumtetee tu lkn ukweli upo wazi siku zote.

Sent using Jamii Forums mobile app
Still bado ni Moja wa maraisi wastaafu wenye wafuasi wengi ndani ya chama pamoja na madhaifu uliyoyataja. Akitoka hadharani kupigana ndo utaelewa. Sema kapumzika na Hata chuma kilicholetwa na yeye kilishatoa warning kuwa waacheni wastaafu wapumzike.
 
  • Thanks
Reactions: Oii
this is the most stupid katibu mkuu ccm has ever had. kura wakati wa kikwete ilibidi zishuke kwa sababu he was a genuine democrat who allowed the people to exercise their country’s constitution by electing leaders in a considerably free and fair situation. sasa huyu wa sasa anaogopa hata twitter tu ndo useme ame-double kura au ame-double udikteta? hili dokta jinga.
 
Back
Top Bottom