Dkt. Bashiru: Baada ya mzee Kikwete kuingia kura zetu (CCM) zilianza kuporomoka

Dkt. Bashiru: Baada ya mzee Kikwete kuingia kura zetu (CCM) zilianza kuporomoka

Wote hawa ndio sampuli ya jalalani binafsi katika Phd niliowahi kuwasikia wanaongelea siasa ninaye mkubali ni Lwaitama pekee.

Ukitaka kujua huyu Bashiru ni bogus kesho anaweza kweli mpigia simu JK na kumwambia tunaomba ushiriki kwenye campaign za uchaguzi au watu wengine wanao watukana kila siku.

Inawezekana kwenye kichwa chake; yeye, Polepole, Jerry Murro, Happi, Chalamila na Makonda wanaushawishi mkubwa sana peke yao kuweza kufanya campaign Tanzania nzima.
 
Wote hawa ndio sampuli ya jalalani binafsi katika Phd niliowahi kuwasikia wanaongelea siasa ninaye mkubali ni Lwaitama pekee.

Ukitaka kujua huyu Bashiru ni bogus kesho anaweza kweli mpigia simu JK na kumwambia tunaomba ushiriki kwenye campaign za uchaguzi au watu wanaowatukana.

Au kwenye kichwa chake yeye, polepole, Jerry Murro, Happi na Makonda wanaushawishi mkubwa sana peke yao.
Yule lwaitama anayegombana na air hosters?

Kweli nyie ni nyumbu!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mwambienei ajaribu kuruhusu uchaguzi uwe huru bila polisi na tume kuingilia; halafu aje atueleze hayo anayoyasema leo.

Mwelekeo wetu unazidi kuwa mzuri, kwa sababu sasa mapambano yanahamia ndani ya CCM. Hili ni jambo zuri sana.

Lakini kwa kuwa bayana kiasi hiki, inaonekana hawa hawategemei tena kura za wananchi kuendelea kuwa madarakani. Hii ndio bahati yetu mbaya.
Utasubiri sana!
 
..nani anatamani kwenda Ikulu?

..Ikulu imepoteza heshima yake baada ya Babu Seya na Papii kupokelewa kwa zulia jekundu.
Nakumbuka ile hadith ya sungura darasa la nne enzi zile " sizitaki mbichi hizi" du ! Kumbe ina maana mpaka leo!
 
CCM safi sana, NITASEMA KWELI DAIMA NA UONGO KWANGU MWIKO.
Na huo ukweli wenyewe useme kwanza mbele ya "wenye chama" ili wa edit...ole wako uinuke tu na kuongea hadharani.
 
Hapo kwenye wasema kweli wakawa maadui wa Chama nimecheka hadi nimezimia..



Ndio wananipepea hapa...
Ukitoka kuzimia utakutana na hii..."wapiga kura wameongezeka mara dufu toka awamu ya tano iingie madarakani"....as if kuna uchaguzi wowote lifanyika nchi nzima kupima udufu huo. Hapo ndio utazimia moja kwa moja!
 
Hivi kesho si ndio hawa mbuzi mee wananifungia line zangu? He naweza kumtukana matusi yote ya mwaka huu 2020 huyu aliyekuwa mjumbe kwenye iliyokuwa tume ya mabadiliko ya katiba? Ili hata kama nikipigwa ban iwe ya haki,,!?
 
Mwakani najiunga PhD, niliwahi kusita kwa kudhani itanimalizia muda wangu lakini kumbe ni rahisi tu.

Sent using Jamii Forums mobile app
Lazima itakuwa rahisi sana, imagine kesho keshokutwa huyo mtu anaekejeli watu atakuwa amekaa meza kuu na maraisi sijui atakuwa anaongea nao nini au anaangalia wapi.

Hawa jamaa wajalalani ni shida awawezi kufikiria ata impact ya maneno yao na madhara yake; wao ni kuropoka tu.
 
Huwa najiuliza kuna tofauti kati ya CCM na Serikali inayoundwa na CCM! Yani hawa wanaomsema JK ni watu ambao hawakuwa CCM (Mtoe Bashiru). JPM kateua watu wapyaaaa wote? Si kachukua waliokuwa katika awamu zilizopita pia!
Wabunge si ndiyo hawa hawa walipitisha sheria za kijinga na kusimamia mambo ya kipuuzi! Leo wanaona awamu zilizopita zilikuwa za HOVYO!
Kwa wingi wao si wangeweza kufanya mchakato wa hata wa kumuondoa Jk madarakani kama kweli haya wanayosema leo yalifanywa!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hapo Bashiru aliposema ccm sasa hivi ilishinda kwa 98%, ndio nimejua kuwa na elimu Tanzania ni ujinga kuliko ujinga wenyewe. Kweli mpe mtu hela au cheo ujue tabia yake.
 
Hapo Bashiru aliposema ccm sasa hivi ilishinda kwa 98%, ndio nimejua kuwa na elimu Tanzania ni ujinga kuliko ujinga wenyewe. Kweli mpe mtu hela au cheo ujue tabia yake.
Siku nilipoona Mbowe kashinda kwa 93.5% dhidi ya mpinzani wake Cecil ndio nilijua maana halisi ya kucheza na sanduku la kura ambayo sikupata kuijua kabla
 
..miaka ya zamani wapiga kura wengi walikuwa wamezaliwa au kukua wakati wa sera ya chama[ ccm ] kushika hatamu.

..kipindi cha Mwinyi na Mkapa ilikuwa ni vigumu kwa vijana na watu wazima kuvipokea vyama vya upinzani kwasababu ya malezi waliyopitia wakati wa mfumo wa chama kimoja.

..miaka ya karibuni wapiga kura wengi wamezaliwa na kukua wakati wa mfumo wa vyama vingi. Mfumo wa vyama vingi umeanza kuzoeleka na kukubaliwa na wananchi wengi zaidi.
Aisee nimekuelewa Mkuu....!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom