Dkt. Bashiru: Baada ya mzee Kikwete kuingia kura zetu (CCM) zilianza kuporomoka

Awamu ile JMK alikuwa kila wiki yuko Marekani au Ulaya au Sauzi au Japani au ...... yaani kila safari zilitumika takriban DOLA MILIONI pamoja na ulaji humo humo..... mwenyewe alisema eti anasaka misaada - wananchi wakampachika lakabu ya MATONYA - kuomba msaada kwa Bush au Obama kila siku - Walitucheka !!! Yote hayo pamoja na mikataba mibovu na wafanyakazi hewa na wanachuo hewa .........basi yatosha
 
sisi ni wapenzi watazamaji tu Hawa nivishi Wala Hawa nilishi potelea pote
 
Hivi hawa wazee hawawezi kukaa kimya kujilindia heshima zao?
 
Hao wapiga kura wa ccm waliongezeka wamewajuaje? Ama ni matokeo ya uchafuzi wa serikali za mitaa?
 
Ni nani aliyewafukuza akina Twaweza baada umaarufu kupungua kwa asilimia kutoka 90% hadi 40%? Je ni JK?
Ni nani akiona uchaguzi hata wa serikali za mitaa anaweka mpira kwapani na kuhujumu hovyo? Je ni JK?
Ni nani muoga aliyekunjia mkia matakoni asiyeruhusu wapinzani waongee na wapiga kura? lakini hajiamini? Je ni JK?
Ni nani anayezurura mitandaoni kutafuta watu wanaomsema vibaya ili awateke? Je ni JK?
Ni nani anahangaika kuteka teka hata ameunda kikosi cha watekaji wa wapinzani? Je ni JK?
Spare my breadth Bashiru soon you will become Bashir!!
 
Sasa nimejua msingi wa kejeli za Bashiru Ally. Kama siku kumi hivi zilizopita mama Salma Kikwete alikuwa na mkutano na wananchi wa Rondo kijijini kwa Membe,baada ya mkutano mama Salma Kikwete alijumuhika na Membe kupata chakula cha mchana nyumbani kwa membe huko kijijini Rondo.

Raisi wa muhula mmoja ameongezewa hofu hivyo amemtuma mmoja wa wazee wa jalalani kuja kumwaga povu. Hahahahaaa
 
Kwanini wanapenda kumangana-mangana,kama huyu anakubalika sana si wasonge mbele yanini kufufua makaburi daily!! Ukitoka familia maskini kilasiku utakuwa unadhihaki wazazi!! Kwanini wasijifananishe na viongozi wanchi nyingine waliofanya makubwa. Kilasiku kiku kiku mbona hamumsifu kwakubadili maisha ya wafanyakazi baada ya njaa Kali ya mkapa!!
 
Naomba kujua, hivi Dr Bashiru alikuwa ccm au Dr magufuli alimuita kwa kuwa yeye Bashiru ni non partisan?? Ninavyojua Dr Magufuli sio mjinga wa kuokotezaokoteza makapi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…