Dkt. Bashiru: Baada ya mzee Kikwete kuingia kura zetu (CCM) zilianza kuporomoka

Huo ni ushahidi kwamba CCM ina demokrasia ya kusema ukweli bila kumungunya maneno.

Mlitaka bashiru aseme uongo ili chama kionekane kama kile cha wanamtandao?

Kwani kuna uongo gani katika hayo aliyoyasema Bashiru?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sioni vibaya sana kwa kuwa hili zimwi waliliunda wenyewe! wakalipa power ya kufanya litakavyo! walitarajia yatatukuta wapinzani peke yetu? Hapana! wacha tugawane maumivu!
 
Ya mama yako bashiru
 
Huo ni ushahidi kwamba CCM ina demokrasia ya kusema ukweli bila kumungunya maneno.

Mlitaka bashiru aseme uongo ili chama kionekane kama kile cha wanamtandao?

Kwani kuna uongo gani katika hayo aliyoyasema Bashiru?

Sent using Jamii Forums mobile app

..kusema ukweli na kulaumu wengine, lakini siyo Magufuli.

..Yuko aliyesema ni rahisi kumsema vibaya MUNGU kuliko hata kumteta Magufuli.
 
Mbona heri ya Kikwete waliweza kula japo milo 3 kuliko sasa.
 
Pumbavu hili. Unyonge na ufukara ni laana
 
Njaa kitu kibaya sana, yote hayo ni kutokana na njaa ili amfurahishe bwana wake asife njaa yaani dume zima linaendeshwa kama jike ni aibu kwake huyo mhaya
Kumtukana MTU ambaye alikuweezesha kufika ngazi ya juu na unajua katiba yetu hawezi kukujibu in ukosefu Wa adabu
Lakini Mh. Lissu alituonya kuwa wakimalizana na sisi watakuja kwenu
. Safi sana maana walimjua lakini wakampa nchi awashughulikie tu. Na wao si waliwashughulikia wenzao hadi kuna mawaziri walitumika jela za nje . malipo ni hapa hapa duniani ahera kwa Mungu ni kufunga hesabu


Sent using Jamii Forums mobile app
 



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wametumwa kumtukana Kikwete wakidhani kwa kufanya wanamjenga mtu wao aliyekosa maarifa ya kuongoza nchi.
"Baada ya miaka minne ya Magufuli mambo yamebadilika, yale ya Kikwete niliyoyabainisha yamefutika. Sasa Watu wana imani na uchaguzi, idadi ya wapiga kura imepanda na kupanda maradufu sana"

Kwa kunukuu tu hayo machache hapo juu, wana CCM hamna Katibu Mkuu ndani ya ofisi yenu nyeti yenye kupaswa kuratibu shughuli za chama, bali bomu lenye kukibomoa na kukipasua chama chenu. Badala ya kufanya juhudi ya kuwaunganisha wanachama na makundi hasimu ndani ya chama, yeye anazidi kukoleza moto.

Atamponza hata huyo anayemsifu na kumuabudu. Ama atakipasua chama chake na kutokea pande lenye nguvu la chama cha kipya cha upinzani chenye nguvu na imara ili utabiri wa Mwl. Nyerere ukapate kutimia. Ama la, atamwingiza anayemsifia ktk historia ya kuwa Rais wa kwanza kutawala kwa miaka mitano tu ndani ya nchi hii.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…