YEHODAYA
JF-Expert Member
- Aug 9, 2015
- 36,902
- 52,001
Katika makosa makubwa Marehemu Magufuli na Bashiru Ally walifanya ni kutoweka hadharani ile ripoti ya wezi na mafisadi yaliyomo ndani ya CCM
Sasa hivi wevi wanamparamia na wanatamba as if they saints wakati ilikuwa mijizi mikubwa isiyo na haya
Sijaelewa hadi leo ni ni vigumu kurlewa kwa nini Bashiru Ally na Magufuli walishindwa kuanika hadharani ile Ripoti
Hawakutendea haki.chsma,serikali wala wanancchi
Ripoti ile ingesaidia nchi mbeleni kupata new breed ya viongozi waadilifu.sio ku re cycle wezi hao hao wanakuwa recycled bungeni,serikalini na kwenye chama
Lakini muda ni mwalimu mzuri utaongea
Bashiru kwa hili anatakiwa kujibu kwa nini ile ripoti hakuweka public ?
Sasa hivi wevi wanamparamia na wanatamba as if they saints wakati ilikuwa mijizi mikubwa isiyo na haya
Sijaelewa hadi leo ni ni vigumu kurlewa kwa nini Bashiru Ally na Magufuli walishindwa kuanika hadharani ile Ripoti
Hawakutendea haki.chsma,serikali wala wanancchi
Ripoti ile ingesaidia nchi mbeleni kupata new breed ya viongozi waadilifu.sio ku re cycle wezi hao hao wanakuwa recycled bungeni,serikalini na kwenye chama
Lakini muda ni mwalimu mzuri utaongea
Bashiru kwa hili anatakiwa kujibu kwa nini ile ripoti hakuweka public ?