Dkt. Bashiru na Polepole sasa ni wabunge wa kuteuliwa, David Silinde na Katambi ni Mawaziri

Dkt. Bashiru na Polepole sasa ni wabunge wa kuteuliwa, David Silinde na Katambi ni Mawaziri

"Rip magufuli. Bashiru pamoja na kusingiziwa wizi ila baadhi ya watanzania wachache tunajua bashiru alipambania sana afya ya jpm.

Nyie hamuwezi kuelewa mnawaza figisu za kisiasa.ila ipo siku mtajua ni kiasi gani alimuangaikia jpm. Bashiru ni mtu royal sana.

Bashiru hicho kidogo ulichokifanya Mungu akubariki.zile rimot control usingefanya zaidi ya hapo.wachache tu ndo tunatambua msaada yako.Mungu akulinde"

Alisikika mtu mmoja akitamka maneno haya.
Asimuangaikie Babaake mzazi amuangaikie JPm ana muhusu namna gani??
 
"Rip magufuli. Bashiru pamoja na kusingiziwa wizi ila baadhi ya watanzania wachache tunajua bashiru alipambania sana afya ya jpm.

Nyie hamuwezi kuelewa mnawaza figisu za kisiasa.ila ipo siku mtajua ni kiasi gani alimuangaikia jpm. Bashiru ni mtu royal sana.

Bashiru hicho kidogo ulichokifanya Mungu akubariki.zile rimot control usingefanya zaidi ya hapo.wachache tu ndo tunatambua msaada yako.Mungu akulinde"

Alisikika mtu mmoja akitamka maneno haya.
Royal ndiyo nini mkuu,umeniacha hapo

Ova
 
Wakati mwingine ukifikiria sana siasa utagundua ni ubatili mtupu yaani ni bora umrejee muumba wako.

Yaani leo hii ndio kusema maswali ya Dr Bashiru na komredi Polepole yanaenda kujibiwa na akina Gekui, Waitara, Silinde, Katambi na Dr Mollel kule bungeni?

Kwamba, David Silinde ana mfuko wa Jimbo lakini Bashiru na Polepole hawana?!!!

Jamani mwacheni Mungu na aitwe Mungu.

Kazi Iendelee!
Halafu hii ni tabia mbaya sana kuiendekeza na hatuwezi kuwa na taifa la namna hii. Kwamba leo hii Bashiru na Polepole waonekane si wa maana tena eti kisa hawana mamlaka waliyokuwa nayo katika CCM. Heshima ya mtu katika nchi, dunia, au na hata familia hazitegemei misingi ya nani mwenye cheo kikubwa au pesa nyingi kuliko mwingine kwa wakati fulani. Ingekuwa hivyo basi wazazi wetu waliotuzaa na kutusomesha basi leo hii hawana nafasi tena au hawana lolote la maana eti kisa tumeshawazidi kipato na vyeo baadaye! Huu ni utoto.

Bashiru na Polepole walitumikia nafasi zao, na heshima yao ndani ya CCM itabaki kuwa hivyo - kwamba hao ni miongoni mwa waliokuwa viongozi wa CCM. Basi. Je next time ukija kuona Polepole au Bashiru wamekuwa mawaziri au hata zaidi ya hapo mbele ya safari utaweka wapi sura?
 
Bashiru na Polepole" Ni wabunge wa KUTEULIWA na RAIS " na Sio wabunge wa viti Maalum.Ubunge wa viti Maalum wanapewa jinsia ya kike TU.Lakini wabunge wa KUTEULIWA na RAIS ANAWEZA akawa wa jinsia yoyote(Mwanamke au Mwanaume)
Bashiru na Polepole ni wabunge wa viti maalumu!
 
Mleta mada sikuelewi ujue...! Maana yaani ni akili yangu inashindwa kutambua "haya masikio ni ya sungura mweupe au haya ni mabawa ya kuku mweupe"
 
unajiletea kansa tu na umaskini wako wa kurithi hauondoki,
Jmani mimi nimeuliza sana bila kupata jibu labda wewe mkuu una jibu: Kwanini Dr Bashiru anaandamwa sana hasa sasa hivi wakati sijawahi kuona ubaya wake ukiinganisha na wanasiasa wengi tu? Kwangu mimi yeye ni mmoja wa viongozi wazuri wa CCM. Anawapita wengi tu.
 
"Rip magufuli. Bashiru pamoja na kusingiziwa wizi ila baadhi ya watanzania wachache tunajua bashiru alipambania sana afya ya jpm.

Nyie hamuwezi kuelewa mnawaza figisu za kisiasa.ila ipo siku mtajua ni kiasi gani alimuangaikia jpm. Bashiru ni mtu loyal sana.

Bashiru hicho kidogo ulichokifanya Mungu akubariki.zile rimot control usingefanya zaidi ya hapo.wachache tu ndo tunatambua msaada yako.Mungu akulinde"

Alisikika mtu mmoja akitamka maneno haya.
Kwamba alipambania Sana kuliko mke na watoto wake na kuliko yeye mwenyewe? [emoji13][emoji13][emoji13][emoji13] Very funny,tufanye ndio hivyo lazima apambanie afya ya bwanake maana ndio alimpa kula.

Tena ashukuru kupewa hata ubunge pumbavu sana
 
Mungu hayupo katika hilo asisingiziwe wote ni njaa zimewapeleka huko wala siyo Mungu.
 
Kumbe yawezekana unachuki dhidi yao!
Kwani kuwa viti maalumu ni dhambi?

Mimi nakuelezea uhalisia kuna wabunge wa aina mbili tu yaani wa kuchaguliwa na wale wa viti maalumu.

Wabunge wa viti maalumu wote ni wa kuteuliwa ama na Rais, Baraza la Wawakilishi Zanzibar au Vyama vya siasa.

Bavicha hamuelewagi vitu vidogovidogo kabisa mnakesha kumuimbia bwana utumwani!
 
Siasa zinafundisha mambo mengi sana. Baada ya JPM kutangazwa kuwa ameshalala usingizi wa milele, ukawa ndio mwanzo wa maisha mapya kwa watu wengi.

Wale waliokuwa wakiishi kiungwana bila kutaka kunyenyekewa waliendelea kupeta ndani ya mioyo yao wakiwa hawana sababu ya kuishi wakitegemea fadhila za Rais Samia.

Wale waliokuwa miungu watu maofisini mwao wakibebwa na jeuri waliyopewa na Hayati wakaanza kuwa wanyonge na wadogo sana mawazoni mwao.

Nilikuwa namwangalia Bashiru Ally mle ukumbini namna anavyojaribu kuwa sehemu ya furaha iliyokuwepo muda ule na mahali pale, alikuwa mnyonge sana nikakumbuka siku ile alipotukana wazee akitumia neno mpumbavu zaidi ya mara mbili kwa kujiamini kabisa.

Polepole kama kawaida anaongea kwa hamasa kubwa akisema ng'ara Samia ng'ara halafu baadae kidogo kwa unyonge analitaja jina la Saka Hamdu. Maisha yamejaa mafundisho.

Na Mungu kwa ufundi wake wa uumbaji hatupi hata dalili ya kutuonyesha ni lini itakuwa siku ya kuanza kupata funzo jipya, unaweza kulipata ukiwa kijana wa miaka 25 unaweza kulipata ukiwa mzee unayekaribia miaka 65.
 
Siasa zinafundisha mambo mengi sana. Baada ya JPM kutangazwa kuwa ameshalala usingizi wa milele, ukawa ndio mwanzo wa maisha mapya kwa watu wengi.

Wale waliokuwa wakiishi kiungwana bila kutaka kunyenyekewa waliendelea kupeta ndani ya mioyo yao wakiwa hawana sababu ya kuishi wakitegemea fadhila za Rais Samia.

Wale waliokuwa miungu watu maofisini mwao wakibebwa na jeuri waliyopewa na Hayati wakaanza kuwa wanyonge na wadogo sana mawazoni mwao.

Nilikuwa namwangalia Bashiru Ally mle ukumbini namna anavyojaribu kuwa sehemu ya furaha iliyokuwepo muda ule na mahali pale, alikuwa mnyonge sana nikakumbuka siku ile alipotukana wazee akitumia neno mpumbavu zaidi ya mara mbili kwa kujiamini kabisa.

Polepole kama kawaida anaongea kwa hamasa kubwa akisema ng'ara Samia ng'ara halafu baadae kidogo kwa unyonge analitaja jina la Saka Hamdu. Maisha yamejaa mafundisho.

Na Mungu kwa ufundi wake wa uumbaji hatupi hata dalili ya kutuonyesha ni lini itakuwa siku ya kuanza kupata funzo jipya, unaweza kulipata ukiwa kijana wa miaka 25 unaweza kulipata ukiwa mzee unayekaribia miaka 65.
Nimekuelewa bwashee!
 
Jmani mimi nimeuliza sana bila kupata jibu labda wewe mkuu una jibu: Kwanini Dr Bashiru anaandamwa sana hasa sasa hivi wakati sijawahi kuona ubaya wake ukiinganisha na wanasiasa wengi tu? Kwangu mimi yeye ni mmoja wa viongozi wazuri wa CCM. Anawapita wengi tu.

Rafiki inauma sana

Kisha useme watanzania wana upendo? no..wengi wana roho mbaya

bashiru anachukiwa na

1.Wale CCM ambao walikuwa na mali za chama na akaongoza kuzipora/kurudisha chamani

2.wote waliomchukia Magufuli, hasira zimeenda kwa mwana mpendwa
 
Hivi hizi stori za rushwa, wizi kuhusu Bashiru na wengine huku hakuna anayekamatwa wala kushtakiwa zinafurahisha nini?!

Zaidi wanapewa Ubunge na kuendelea kula mishahara ya bure na kuwa sehemu ya kupitisha sheria mbovu. There's nothing to be happy about.
 
"Rip magufuli. Bashiru pamoja na kusingiziwa wizi ila baadhi ya watanzania wachache tunajua bashiru alipambania sana afya ya jpm.

Nyie hamuwezi kuelewa mnawaza figisu za kisiasa.ila ipo siku mtajua ni kiasi gani alimuangaikia jpm. Bashiru ni mtu loyal sana.

Bashiru hicho kidogo ulichokifanya Mungu akubariki.zile rimot control usingefanya zaidi ya hapo.wachache tu ndo tunatambua msaada yako.Mungu akulinde"

Alisikika mtu mmoja akitamka maneno haya.
Siku moja tujue alipambania afya ya Magu ili itusaidie nini..wakati sisi tulikuwa tunataka afe..na amekufa!
 
Back
Top Bottom