Dkt. Bashiru na Polepole sasa ni wabunge wa kuteuliwa, David Silinde na Katambi ni Mawaziri

Dkt. Bashiru na Polepole sasa ni wabunge wa kuteuliwa, David Silinde na Katambi ni Mawaziri

Wakati mwingine ukifikiria sana siasa utagundua ni ubatili mtupu yaani ni bora umrejee muumba wako.

Yaani leo hii ndio kusema maswali ya Dr Bashiru na komredi Polepole yanaenda kujibiwa na akina Gekui, Waitara, Silinde, Katambi na Dr Mollel kule bungeni?

Kwamba, David Silinde ana mfuko wa Jimbo lakini Bashiru na Polepole hawana?!!!

Jamani mwacheni Mungu na aitwe Mungu.

Kazi Iendelee!
Noana mzigo wa mwezi April haujaingia, yetu macho
 
Kuna wakati huwa nawaza
Pengine mwendazake alijiona siku zake zinakaribia akaona bora hao watu wawili awateue kuwa wabunge nafasi ambayo hawawezi kupokonywa kirahisi maana nafasi walizokuwa nazo za kichama lazima wangepokonywa ukizingatia sio ccm asilia na walikuwa against ccm asilia

Nawaza tu
Inafikirisha bwashee!

Lakini Dr Bashiru ameteuliwa na mama.
 
Kuna wakati huwa nawaza
Pengine mwendazake alijiona siku zake zinakaribia akaona bora hao watu wawili awateue kuwa wabunge nafasi ambayo hawawezi kupokonywa kirahisi maana nafasi walizokuwa nazo za kichama lazima wangepokonywa ukizingatia sio ccm asilia na walikuwa against ccm asilia

Nawaza tu
Wanatamani afufuke hao wapuuzi wakubwa mashetani kabisa
 
Bashiru alidhani kafika hata mwondoko ukawa mpya.
Alijisahau kwa kasi kubwa sana
Kwake JIWE ikawa ndio wimbo uliyo bora, DOLA ikawa TUMAINI kuu la kujivunia badala ya kuhuisha maisha ya watanzania.
Hata hivyo, kwa haya yote, Mungu mwenye upendo kamsaidia aweze kujitafakari ajifunze ili aanze upya, AKUE.
Aliyekuwa mungu kwao, Mwendazake, hakujaaliwa kupata fursa hiyo, kaishia kwenda na mamizigo yake.

yan ilikuwa hivi, walikuwa wananwona mwendazake ni Mungu, wao ni mitume kama Yesu na vitu kama ivyo alafu tulobaki mashetani , hichi kitendo kilikuwa kinaniudh sana
 
Ukiona mtu anaandamwa sana bila vithibitisho kuhusu uongozi wake, basi yawezekana akawa ni kiongozi mzuri ambaye wale wanaomtuhumu wanaogopa asije kukata channel zao za upigaji pindi akiwa kiongozi
 
unapaswa kuwa nabii basi!

unakimbiwa na kila mtu mpaka na mbwa wako kwa kuwa judgemental....

haukuwa sahihi
Kwani kumwambia jamaa ana Kansa na atakufa masikini hukimbiwi na mbwa wako kwa kuwa judgemetal?!
 
Inafikirisha bwashee!

Lakini Dr Bashiru ameteuliwa na mama.
Rais SSH ameonyesha ustaarabu wa namna ya ku deal na mtu ambaye hamuendani kimtazamo. Ingekuwa ni Mwendazake angeweza kumtumia WASIOJULIKANA wakamalizana naye
 
Ngoja report kutoka BOT ndio uje kubwabwaja huo uharo wako.
Ebu rudia kusoma ulicho andika hapa,majibu jibu yako yanadhilisha wazi wazi kwamba aidha elimu yako ni dismal au haujastaarabika au yote mawili.

Nani kakwambia kwamba siku hizi BOT imegeuzwa kuwa taasisi kuwa chombo cha kukamata watuhumiwa na kuwafungulia mashtaka - stori zenu zote niza kutunga/kubuni tu mnatafuta sababu za kitoto kujaribu ku-demonise Dk. Bashiru kama njia ya kulipiza kisasi kutokana na uzalendo wake uliyo tukuka - kwani hatuwajui? Hivi inaingia akili kweli kwamba binadamu wa hulka ya Dr. Bashiru angeweza kweli hata siku moja kutaka anufahike kifedha au njia kwa njia yoyote ile kutokana na kuugua kwa Mzalendo Magifuli - hizi ndio propaganda zenu za chini chini zenye lengo la kumwaribia sifa Dk. Bashiru Ali Kakulwa ili achukiwe na Watanzania walio wengi - niwakumbushe kitu? tunga stori zenu za Abunwasi lakini wengi wetu tuna imani kwamba Dk. Bashiru Mungu atamlipia kwa yote yale aliyo jitahidi katika harakati zake akishirikiana na viongozi wenzake kunusuru maisha ya kiongozi wetu mpendwa Dk. JPJM - puuzia wale wote walio pania kukukatisha tamaa na kukuombea mabaya yakukumbe - kumbuka binadamu wengi ndio tulivyo - wivu na roho ya kwa nini.
 
Kumbe alipambania afya ya mtu aliyekuwa akitutesa?
Kwa lugha nyepesi alikuwa akipambania ugali wake... Apambane na hali yake

Tangu chifu ameanguka hatujasikia tena utekaji, mauaji ya kisiasa, wafungwa wa kisiasa, kubambikia watu kesi na mambo mengine ya Hovyohovyo.
Kwendraaaa una akili fupi wewe unajua nini maana ya kuongoza nchi wewe?
 
Wewe unajua nini zaidi ya kushabikia mauaji na kubambikia watu kesi?
Kila mtu abebe mzigo wake. Kama unaamini katika mungu acha alieuwa ahukumiwe kwa mugu.mm sikushuhudia mtu akiua.lakini kama aliua dhambi hiyo haitamuacha salama.

Hivi unajua maana ta neno " employer's liability wewe" ? Siku ukiwa kiongozi ndo utajua maana yake. Kwa sasa endelea na story za vijiweni.

Oh jpm aliua jpm aliua una ushahidi kwa mkono wake aliua? Au una ushahidi kwa kinywa chaje alitoa amri fulani kaue fulani?

Vijana mpunguze story za kwenye kahawa sio nzuri.
Nakuombea uje uwe kiongozi ndo akili itakukaa sawa.
 
Back
Top Bottom