mtzedi
JF-Expert Member
- Dec 13, 2011
- 5,983
- 6,171
johnthebaptist Mungu fundi miaka yote unapiga zumari. Silinde kaja juzi leo ni Waziri.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwani Bashiru alikuwa Doctor (MD) wa Magufuli ?"Rip magufuli. Bashiru pamoja na kusingiziwa wizi ila baadhi ya watanzania wachache tunajua bashiru alipambania sana afya ya jpm.
Nyie hamuwezi kuelewa mnawaza figisu za kisiasa.ila ipo siku mtajua ni kiasi gani alimuangaikia jpm. Bashiru ni mtu loyal sana.
Bashiru hicho kidogo ulichokifanya Mungu akubariki.zile rimot control usingefanya zaidi ya hapo.wachache tu ndo tunatambua msaada yako.Mungu akulinde"
Alisikika mtu mmoja akitamka maneno haya.
Mzee baba, nimeelewa huu mguu 😋😋😋😋.. fanya kutuma namba vile kule PM nimpe zawadiAlimuhangaikia kwa njaa na maslai yake binafsi,sasa alishajua mungu Kayafa akifa yatamkuta haya yanayomkuta sasa hiviView attachment 1769556
Hata wajina J J Mnyika anakuja na kuwa RC, mimi nawapa kheri na baraka zangu bwashee, CCM fursa ni nyingi mno!johnthebaptist Mungu fundi miaka yote unapiga zumari. Silinde kaja juzi leo ni Waziri.
Umepaniki mkuu! Haya mambo ukiyachukulia simple hutaharibu afya yako!unajiletea kansa tu na umaskini wako wa kurithi hauondoki,
Umepaniki mkuu! Haya mambo ukiyachukulia simple hutaharibu afya yako!
Mkuu maneno na matendo yao wakati walipokuwa na madaraka ndani ya Chama yalilenga kumfurahisha mwendazake na siyo CCM. Walitengeneza makundi wenyewe ambapo ukiwa nje ya kundi lao basi wewe lazima uumizwe. Sasa kundi lingine limeingia madarakani ni zamu yao kuumizwa. Hapo ndipo patamu na ndiyo watu wanashangilia.Watanzania bwana??? Yaani muda wote ni kufikiria huyu atafahidika nini, atanufahika vipi kifedha, basi - ni wachache wanao tilia maanani kutumikia/hudumia wananchi!!!
We fikiria mtu anajitokeza na anaonekana amefurahi kupindukia, kisa? Komredi Polepole na Dk.Bashiru hawapewi mfuko wa jimbo - yaani anataka na hiyo tuichukulie kama ni habari ya maana - kumbe lengo lake la kubandika habari hizi hapa linatokana na kusukumwa na chuki binafsi kuwahusu watu hawa wawili: H.Pole Pole na Dk. Bashiru kutokana na misimamo yao dhabiti dhidi ya wizi na ubadhirifu na uporaji wa mali za CCM na mashirika ya UMMA in general
Hakuna vipande vipande, polepole, bashiru, wameibuka tu CCM, hawana mizizi wala misingi ndani ya chama, kwa hiyo wanadondoka hata kwa upepo tu, si kimbunga, ila wenyewe walijiona wamefika hasa bashiru, alipokuwa cuf aliweza kuelezea haki vizuri, amekuja CCM anaiba kura, ni mjinga tu! Sasa ubunge wa viti maalumu halafu hatumiki wa nini? Kina mulamula wameteuliwa kwa kazi maalumu!CCM vipande vipande
Wew ni chizi ila hujijuiWatanzania bwana??? Yaani muda wote ni kufikiria huyu atafahidika nini, atanufahika vipi kifedha, basi - ni wachache wanao tilia maanani kutumikia/hudumia wananchi!!!
We fikiria mtu anajitokeza na anaonekana amefurahi kupindukia, kisa? Komredi Polepole na Dk.Bashiru hawapewi mfuko wa jimbo - yaani anataka na hiyo tuichukulie kama ni habari ya maana - kumbe lengo lake la kubandika habari hizi hapa linatokana na kusukumwa na chuki binafsi kuwahusu watu hawa wawili: H.Pole Pole na Dk. Bashiru kutokana na misimamo yao dhabiti dhidi ya wizi na ubadhirifu na uporaji wa mali za CCM na mashirika ya UMMA in general
Ambaye ni Taga"Rip magufuli. Bashiru pamoja na kusingiziwa wizi ila baadhi ya watanzania wachache tunajua bashiru alipambania sana afya ya jpm.
Nyie hamuwezi kuelewa mnawaza figisu za kisiasa.ila ipo siku mtajua ni kiasi gani alimuangaikia jpm. Bashiru ni mtu loyal sana.
Bashiru hicho kidogo ulichokifanya Mungu akubariki.zile rimot control usingefanya zaidi ya hapo.wachache tu ndo tunatambua msaada yako.Mungu akulinde"
Alisikika mtu mmoja akitamka maneno haya.
Siyo mimi mkuu, ulikua unamjibu Mtu, nkakuona ulivyo paniki, nkaona nikushauri, ujitulize!sasa ndio unajieleza sio?
maana ndio ushauri niliokupa🤣🤣🤣🤣🤣
Kama huna ramani ya unapoenda huwezi sema umepotea, huo ndio mzunguko wa maisha na kila mmoja ana mzunguko wake, Wameshajenga Profile zao, wamepata uzoefu na ujuzi mwingi. na itawasaidia sana kufanya mambo makubwa ktk maisha Yao, hawajapoteza lolote bali wamefaidika sanaWakati mwingine ukifikiria sana siasa utagundua ni ubatili mtupu yaani ni bora umrejee muumba wako.
Yaani leo hii ndio kusema maswali ya Dr Bashiru na komredi Polepole yanaenda kujibiwa na akina Gekui, Waitara, Silinde, Katambi na Dr Mollel kule bungeni?
Kwamba, David Silinde ana mfuko wa Jimbo lakini Bashiru na Polepole hawana?!!!
Jamani mwacheni Mungu na aitwe Mungu.
Kazi Iendelee!
Hivi hizi stori za rushwa, wizi kuhusu Bashiru na wengine huku hakuna anayekamatwa wala kushtakiwa zinafurahisha nini?!
Zaidi wanapewa Ubunge na kuendelea kula mishahara ya bure na kuwa sehemu ya kupitisha sheria mbovu. There's nothing to be happy about.
Siyo mimi mkuu, ulikua unamjibu Mtu, nkakuona ulivyo paniki, nkaona nikushauri, ujitulize!
Haitatoka hiyo reportNgoja report kutoka BOT ndio uje kubwabwaja huo uharo wako.
Leo acha nikupe like ya manenoSiasa zinafundisha mambo mengi sana. Baada ya JPM kutangazwa kuwa ameshalala usingizi wa milele, ukawa ndio mwanzo wa maisha mapya kwa watu wengi.
Wale waliokuwa wakiishi kiungwana bila kutaka kunyenyekewa waliendelea kupeta ndani ya mioyo yao wakiwa hawana sababu ya kuishi wakitegemea fadhila za Rais Samia.
Wale waliokuwa miungu watu maofisini mwao wakibebwa na jeuri waliyopewa na Hayati wakaanza kuwa wanyonge na wadogo sana mawazoni mwao.
Nilikuwa namwangalia Bashiru Ally mle ukumbini namna anavyojaribu kuwa sehemu ya furaha iliyokuwepo muda ule na mahali pale, alikuwa mnyonge sana nikakumbuka siku ile alipotukana wazee akitumia neno mpumbavu zaidi ya mara mbili kwa kujiamini kabisa.
Polepole kama kawaida anaongea kwa hamasa kubwa akisema ng'ara Samia ng'ara halafu baadae kidogo kwa unyonge analitaja jina la Saka Hamdu. Maisha yamejaa mafundisho.
Na Mungu kwa ufundi wake wa uumbaji hatupi hata dalili ya kutuonyesha ni lini itakuwa siku ya kuanza kupata funzo jipya, unaweza kulipata ukiwa kijana wa miaka 25 unaweza kulipata ukiwa mzee unayekaribia miaka 65.
Je,Watanzania bwana??? Yaani muda wote ni kufikiria huyu atafahidika nini, atanufahika vipi kifedha, basi - ni wachache wanao tilia maanani kutumikia/hudumia wananchi!!!
We fikiria mtu anajitokeza na anaonekana amefurahi kupindukia, kisa? Komredi Polepole na Dk.Bashiru hawapewi mfuko wa jimbo - yaani anataka na hiyo tuichukulie kama ni habari ya maana - kumbe lengo lake la kubandika habari hizi hapa linatokana na kusukumwa na chuki binafsi kuwahusu watu hawa wawili: H.Pole Pole na Dk. Bashiru kutokana na misimamo yao dhabiti dhidi ya wizi na ubadhirifu na uporaji wa mali za CCM na mashirika ya UMMA in general
Mkuu Phillipo Bukililo pata kongole nyingi kwa hili andiko lako la leo. Liko balanced na lina mafundisho kwa wengiSiasa zinafundisha mambo mengi sana. Baada ya JPM kutangazwa kuwa ameshalala usingizi wa milele, ukawa ndio mwanzo wa maisha mapya kwa watu wengi.
Wale waliokuwa wakiishi kiungwana bila kutaka kunyenyekewa waliendelea kupeta ndani ya mioyo yao wakiwa hawana sababu ya kuishi wakitegemea fadhila za Rais Samia.
Wale waliokuwa miungu watu maofisini mwao wakibebwa na jeuri waliyopewa na Hayati wakaanza kuwa wanyonge na wadogo sana mawazoni mwao.
Nilikuwa namwangalia Bashiru Ally mle ukumbini namna anavyojaribu kuwa sehemu ya furaha iliyokuwepo muda ule na mahali pale, alikuwa mnyonge sana nikakumbuka siku ile alipotukana wazee akitumia neno mpumbavu zaidi ya mara mbili kwa kujiamini kabisa.
Polepole kama kawaida anaongea kwa hamasa kubwa akisema ng'ara Samia ng'ara halafu baadae kidogo kwa unyonge analitaja jina la Saka Hamdu. Maisha yamejaa mafundisho.
Na Mungu kwa ufundi wake wa uumbaji hatupi hata dalili ya kutuonyesha ni lini itakuwa siku ya kuanza kupata funzo jipya, unaweza kulipata ukiwa kijana wa miaka 25 unaweza kulipata ukiwa mzee unayekaribia miaka 65.
Mzee wa V eight.Wakati mwingine ukifikiria sana siasa utagundua ni ubatili mtupu yaani ni bora umrejee muumba wako.
Yaani leo hii ndio kusema maswali ya Dr Bashiru na komredi Polepole yanaenda kujibiwa na akina Gekui, Waitara, Silinde, Katambi na Dr Mollel kule bungeni?
Kwamba, David Silinde ana mfuko wa Jimbo lakini Bashiru na Polepole hawana?!!!
Jamani mwacheni Mungu na aitwe Mungu.
Kazi Iendelee!