Dkt. Bashiru na Polepole sasa ni wabunge wa kuteuliwa, David Silinde na Katambi ni Mawaziri

Dkt. Bashiru na Polepole sasa ni wabunge wa kuteuliwa, David Silinde na Katambi ni Mawaziri

"Rip magufuli. Bashiru pamoja na kusingiziwa wizi ila baadhi ya watanzania wachache tunajua bashiru alipambania sana afya ya jpm.

Nyie hamuwezi kuelewa mnawaza figisu za kisiasa.ila ipo siku mtajua ni kiasi gani alimuangaikia jpm. Bashiru ni mtu loyal sana.

Bashiru hicho kidogo ulichokifanya Mungu akubariki.zile rimot control usingefanya zaidi ya hapo.wachache tu ndo tunatambua msaada yako.Mungu akulinde"

Alisikika mtu mmoja akitamka maneno haya.
Kwani Bashiru alikuwa Doctor (MD) wa Magufuli ?
 
Watanzania bwana??? Yaani muda wote ni kufikiria huyu atafahidika nini, atanufahika vipi kifedha, basi - ni wachache wanao tilia maanani kutumikia/hudumia wananchi!!!

We fikiria mtu anajitokeza na anaonekana amefurahi kupindukia, kisa? Komredi Polepole na Dk.Bashiru hawapewi mfuko wa jimbo - yaani anataka na hiyo tuichukulie kama ni habari ya maana - kumbe lengo lake la kubandika habari hizi hapa linatokana na kusukumwa na chuki binafsi kuwahusu watu hawa wawili: H.Pole Pole na Dk. Bashiru kutokana na misimamo yao dhabiti dhidi ya wizi na ubadhirifu na uporaji wa mali za CCM na mashirika ya UMMA in general
Mkuu maneno na matendo yao wakati walipokuwa na madaraka ndani ya Chama yalilenga kumfurahisha mwendazake na siyo CCM. Walitengeneza makundi wenyewe ambapo ukiwa nje ya kundi lao basi wewe lazima uumizwe. Sasa kundi lingine limeingia madarakani ni zamu yao kuumizwa. Hapo ndipo patamu na ndiyo watu wanashangilia.

Hawa Jamaa walikuwa na nyodo sana wasiojua kuchunga ndimi zao. Walifikiri maisha yale yangeendelea. Kibaya zaidi wao ndo waliokuwa madalali wa kuwanunua hao wenye nyazifa kwa sasa toka Upinzani.
 
CCM vipande vipande
Hakuna vipande vipande, polepole, bashiru, wameibuka tu CCM, hawana mizizi wala misingi ndani ya chama, kwa hiyo wanadondoka hata kwa upepo tu, si kimbunga, ila wenyewe walijiona wamefika hasa bashiru, alipokuwa cuf aliweza kuelezea haki vizuri, amekuja CCM anaiba kura, ni mjinga tu! Sasa ubunge wa viti maalumu halafu hatumiki wa nini? Kina mulamula wameteuliwa kwa kazi maalumu!
 
Watanzania bwana??? Yaani muda wote ni kufikiria huyu atafahidika nini, atanufahika vipi kifedha, basi - ni wachache wanao tilia maanani kutumikia/hudumia wananchi!!!

We fikiria mtu anajitokeza na anaonekana amefurahi kupindukia, kisa? Komredi Polepole na Dk.Bashiru hawapewi mfuko wa jimbo - yaani anataka na hiyo tuichukulie kama ni habari ya maana - kumbe lengo lake la kubandika habari hizi hapa linatokana na kusukumwa na chuki binafsi kuwahusu watu hawa wawili: H.Pole Pole na Dk. Bashiru kutokana na misimamo yao dhabiti dhidi ya wizi na ubadhirifu na uporaji wa mali za CCM na mashirika ya UMMA in general
Wew ni chizi ila hujijui
 
"Rip magufuli. Bashiru pamoja na kusingiziwa wizi ila baadhi ya watanzania wachache tunajua bashiru alipambania sana afya ya jpm.

Nyie hamuwezi kuelewa mnawaza figisu za kisiasa.ila ipo siku mtajua ni kiasi gani alimuangaikia jpm. Bashiru ni mtu loyal sana.

Bashiru hicho kidogo ulichokifanya Mungu akubariki.zile rimot control usingefanya zaidi ya hapo.wachache tu ndo tunatambua msaada yako.Mungu akulinde"

Alisikika mtu mmoja akitamka maneno haya.
Ambaye ni Taga
 
Wakati mwingine ukifikiria sana siasa utagundua ni ubatili mtupu yaani ni bora umrejee muumba wako.

Yaani leo hii ndio kusema maswali ya Dr Bashiru na komredi Polepole yanaenda kujibiwa na akina Gekui, Waitara, Silinde, Katambi na Dr Mollel kule bungeni?

Kwamba, David Silinde ana mfuko wa Jimbo lakini Bashiru na Polepole hawana?!!!

Jamani mwacheni Mungu na aitwe Mungu.

Kazi Iendelee!
Kama huna ramani ya unapoenda huwezi sema umepotea, huo ndio mzunguko wa maisha na kila mmoja ana mzunguko wake, Wameshajenga Profile zao, wamepata uzoefu na ujuzi mwingi. na itawasaidia sana kufanya mambo makubwa ktk maisha Yao, hawajapoteza lolote bali wamefaidika sana
 
Hivi hizi stori za rushwa, wizi kuhusu Bashiru na wengine huku hakuna anayekamatwa wala kushtakiwa zinafurahisha nini?!

Zaidi wanapewa Ubunge na kuendelea kula mishahara ya bure na kuwa sehemu ya kupitisha sheria mbovu. There's nothing to be happy about.

mkuu Bashiru hana hizo tuhuma ulizotaja. At least anza kumwomba Mungu wako
 
Siyo mimi mkuu, ulikua unamjibu Mtu, nkakuona ulivyo paniki, nkaona nikushauri, ujitulize!

unapaswa kuwa nabii basi!

unakimbiwa na kila mtu mpaka na mbwa wako kwa kuwa judgemental....

haukuwa sahihi
 
Siasa zinafundisha mambo mengi sana. Baada ya JPM kutangazwa kuwa ameshalala usingizi wa milele, ukawa ndio mwanzo wa maisha mapya kwa watu wengi.

Wale waliokuwa wakiishi kiungwana bila kutaka kunyenyekewa waliendelea kupeta ndani ya mioyo yao wakiwa hawana sababu ya kuishi wakitegemea fadhila za Rais Samia.

Wale waliokuwa miungu watu maofisini mwao wakibebwa na jeuri waliyopewa na Hayati wakaanza kuwa wanyonge na wadogo sana mawazoni mwao.

Nilikuwa namwangalia Bashiru Ally mle ukumbini namna anavyojaribu kuwa sehemu ya furaha iliyokuwepo muda ule na mahali pale, alikuwa mnyonge sana nikakumbuka siku ile alipotukana wazee akitumia neno mpumbavu zaidi ya mara mbili kwa kujiamini kabisa.

Polepole kama kawaida anaongea kwa hamasa kubwa akisema ng'ara Samia ng'ara halafu baadae kidogo kwa unyonge analitaja jina la Saka Hamdu. Maisha yamejaa mafundisho.

Na Mungu kwa ufundi wake wa uumbaji hatupi hata dalili ya kutuonyesha ni lini itakuwa siku ya kuanza kupata funzo jipya, unaweza kulipata ukiwa kijana wa miaka 25 unaweza kulipata ukiwa mzee unayekaribia miaka 65.
Leo acha nikupe like ya maneno
 
Watanzania bwana??? Yaani muda wote ni kufikiria huyu atafahidika nini, atanufahika vipi kifedha, basi - ni wachache wanao tilia maanani kutumikia/hudumia wananchi!!!

We fikiria mtu anajitokeza na anaonekana amefurahi kupindukia, kisa? Komredi Polepole na Dk.Bashiru hawapewi mfuko wa jimbo - yaani anataka na hiyo tuichukulie kama ni habari ya maana - kumbe lengo lake la kubandika habari hizi hapa linatokana na kusukumwa na chuki binafsi kuwahusu watu hawa wawili: H.Pole Pole na Dk. Bashiru kutokana na misimamo yao dhabiti dhidi ya wizi na ubadhirifu na uporaji wa mali za CCM na mashirika ya UMMA in general
Je,

Kipindi cha Polepole LIVE kinaendelea?
 
Siasa zinafundisha mambo mengi sana. Baada ya JPM kutangazwa kuwa ameshalala usingizi wa milele, ukawa ndio mwanzo wa maisha mapya kwa watu wengi.

Wale waliokuwa wakiishi kiungwana bila kutaka kunyenyekewa waliendelea kupeta ndani ya mioyo yao wakiwa hawana sababu ya kuishi wakitegemea fadhila za Rais Samia.

Wale waliokuwa miungu watu maofisini mwao wakibebwa na jeuri waliyopewa na Hayati wakaanza kuwa wanyonge na wadogo sana mawazoni mwao.

Nilikuwa namwangalia Bashiru Ally mle ukumbini namna anavyojaribu kuwa sehemu ya furaha iliyokuwepo muda ule na mahali pale, alikuwa mnyonge sana nikakumbuka siku ile alipotukana wazee akitumia neno mpumbavu zaidi ya mara mbili kwa kujiamini kabisa.

Polepole kama kawaida anaongea kwa hamasa kubwa akisema ng'ara Samia ng'ara halafu baadae kidogo kwa unyonge analitaja jina la Saka Hamdu. Maisha yamejaa mafundisho.

Na Mungu kwa ufundi wake wa uumbaji hatupi hata dalili ya kutuonyesha ni lini itakuwa siku ya kuanza kupata funzo jipya, unaweza kulipata ukiwa kijana wa miaka 25 unaweza kulipata ukiwa mzee unayekaribia miaka 65.
Mkuu Phillipo Bukililo pata kongole nyingi kwa hili andiko lako la leo. Liko balanced na lina mafundisho kwa wengi
 
Wakati mwingine ukifikiria sana siasa utagundua ni ubatili mtupu yaani ni bora umrejee muumba wako.

Yaani leo hii ndio kusema maswali ya Dr Bashiru na komredi Polepole yanaenda kujibiwa na akina Gekui, Waitara, Silinde, Katambi na Dr Mollel kule bungeni?

Kwamba, David Silinde ana mfuko wa Jimbo lakini Bashiru na Polepole hawana?!!!

Jamani mwacheni Mungu na aitwe Mungu.

Kazi Iendelee!
Mzee wa V eight.

Acha nao wachungulie kwa mbali
 
Back
Top Bottom