ostrichegg
JF-Expert Member
- Jun 30, 2013
- 12,050
- 6,199
Bashiru alidhani kafika hata mwondoko ukawa mpya.walitumia nguvu nyingi sana kumwabudu mwendazake ni wapuuzi, yan pamoja na lipaulo ni wapumbavu wakutupwa
Unaonaje nawe upatiwe viti maalum ukajiunge na shosti yako Halima Mdee?Wakati mwingine ukifikiria sana siasa utagundua ni ubatili mtupu yaani ni bora umrejee muumba wako.
Yaani leo hii ndio kusema maswali ya Dr Bashiru na komredi Polepole yanaenda kujibiwa na akina Gekui, Waitara, Silinde, Katambi na Dr Mollel kule bungeni?
Kwamba, David Silinde ana mfuko wa Jimbo lakini Bashiru na Polepole hawana?!!!
Jamani mwacheni Mungu na aitwe Mungu.
Kazi Iendelee!
Nilisha kwambia toka mwanzo kuwa Bashiru atafukuzwa kazi kutoka ikulu maana hana sifa ya kuishi maisha ya ikulu.Watanzania bwana??? Yaani muda wote ni kufikiria huyu atafahidika nini, atanufahika vipi kifedha, basi - ni wachache wanao tilia maanani kutumikia/hudumia wananchi!!!
We fikiria mtu anajitokeza na anaonekana amefurahi kupindukia, kisa? Komredi Polepole na Dk.Bashiru hawapewi mfuko wa jimbo - yaani anataka na hiyo tuichukulie kama ni habari ya maana - kumbe lengo lake la kubandika habari hizi hapa linatokana na kusukumwa na chuki binafsi kuwahusu watu hawa wawili: H.Pole Pole na Dk. Bashiru kutokana na misimamo yao dhabiti dhidi ya wizi na ubadhirifu na uporaji wa mali za CCM na mashirika ya UMMA in general
Mimi kwangu hao watu ni maadui wa siasa za kistaarabu hapa Tanzania tangu tupate uhuru.Kwa kweli tunawachukia Sana. Ni watu waliojitoa akili zao kumwabudu Mwendazake. Wacha tuwachambe roho zetu zifurahi
Bora corona imefanya yake.unajiletea kansa tu na umaskini wako wa kurithi hauondoki,
Hakuna lolote eti alimuhangaikia, kwani yeye ni Mungu?"Rip magufuli. Bashiru pamoja na kusingiziwa wizi ila baadhi ya watanzania wachache tunajua bashiru alipambania sana afya ya jpm.
Nyie hamuwezi kuelewa mnawaza figisu za kisiasa.ila ipo siku mtajua ni kiasi gani alimuangaikia jpm. Bashiru ni mtu loyal sana.
Bashiru hicho kidogo ulichokifanya Mungu akubariki.zile rimot control usingefanya zaidi ya hapo.wachache tu ndo tunatambua msaada yako.Mungu akulinde"
Alisikika mtu mmoja akitamka maneno haya.
Kumbe alipambania afya ya mtu aliyekuwa akitutesa?"Rip magufuli. Bashiru pamoja na kusingiziwa wizi ila baadhi ya watanzania wachache tunajua bashiru alipambania sana afya ya jpm.
Nyie hamuwezi kuelewa mnawaza figisu za kisiasa.ila ipo siku mtajua ni kiasi gani alimuangaikia jpm. Bashiru ni mtu loyal sana.
Bashiru hicho kidogo ulichokifanya Mungu akubariki.zile rimot control usingefanya zaidi ya hapo.wachache tu ndo tunatambua msaada yako.Mungu akulinde"
Alisikika mtu mmoja akitamka maneno haya.
Walitutesa sana hawa majamaa na kama ingekuwa ni maamuzi yangu hawa wangekuwa jela kabisa.issue sio siasa, Tanzania siasa tunaitafsiri tofauti lakini siasa ndio inaamua maisha ya watu...siasa ikiwa mbovu na ya hovyo basi hata maisha ya watu yatakuwa mabovu na yahovyo..
Tujifunze kuishi na kutenda kwa haki, tuache kona kona na ujanja ujanja hasa wa kuonea na kunyanyasa wengine ...
Halafu wote wawili ndio waliendesha lile zoezi la kuwarubuni 'makaka poa'.Yaani leo hii ndio kusema maswali ya Dr Bashiru na komredi Polepole yanaenda kujibiwa na akina Gekui, Waitara, Silinde, Katambi na Dr Mollel kule bungeni?
Huyu anaendekeza sana ukabira kwa kuwa Bashiru ni ndugu yake basi kila kukicha ni kumsafisha Bashiru wakati hasafishiki.Ngoja report kutoka BOT ndio uje kubwabwaja huo uharo wako.
Aibu sana hiiAlimuhangaikia kwa njaa na maslai yake binafsi,sasa alishajua mungu Kayafa akifa yatamkuta haya yanayomkuta sasa hiviView attachment 1769556
Hawafai hata kuwepo bungeniwalitumia nguvu nyingi sana kumwabudu mwendazake ni wapuuzi, yan pamoja na lipaulo ni wapumbavu wakutupwa
Corona hatareeeeeeemkuu Bashiru hana hizo tuhuma ulizotaja. At least anza kumwomba Mungu wako
Chezea vingine siyo coronaunapaswa kuwa nabii basi!
unakimbiwa na kila mtu mpaka na mbwa wako kwa kuwa judgemental....
haukuwa sahihi
Kwani huna taarifa kuwa Bashiru kapiga hela ndefu pale BOT?Watanzania bwana??? Yaani muda wote ni kufikiria huyu atafahidika nini, atanufahika vipi kifedha, basi - ni wachache wanao tilia maanani kutumikia/hudumia wananchi!!!
We fikiria mtu anajitokeza na anaonekana amefurahi kupindukia, kisa? Komredi Polepole na Dk.Bashiru hawapewi mfuko wa jimbo - yaani anataka na hiyo tuichukulie kama ni habari ya maana - kumbe lengo lake la kubandika habari hizi hapa linatokana na kusukumwa na chuki binafsi kuwahusu watu hawa wawili: H.Pole Pole na Dk. Bashiru kutokana na misimamo yao dhabiti dhidi ya wizi na ubadhirifu na uporaji wa mali za CCM na mashirika ya UMMA in general
Tangu nikiwa mtoto mdogo mzee wangu alikuwa ana insist kwamba hata siku moja nisipuuzie masuala ya siasa kwa kuwa zinahusika sana katika kuzalisha baadhi ya viongozi ambao ni waadirifu na baadhi ya viongozi wengine ambao ni madikteita na wakatiri wa kutupwa.issue sio siasa, Tanzania siasa tunaitafsiri tofauti lakini siasa ndio inaamua maisha ya watu...siasa ikiwa mbovu na ya hovyo basi hata maisha ya watu yatakuwa mabovu na yahovyo..
Tujifunze kuishi na kutenda kwa haki, tuache kona kona na ujanja ujanja hasa wa kuonea na kunyanyasa wengine ...
Vp kuhusu mfuko wa Jimbo wanapewa?Bashiru na Polepole" Ni wabunge wa KUTEULIWA na RAIS " na Sio wabunge wa viti Maalum.Ubunge wa viti Maalum wanapewa jinsia ya kike TU.Lakini wabunge wa KUTEULIWA na RAIS ANAWEZA akawa wa jinsia yoyote(Mwanamke au Mwanaume)
Boss wako Suleiman Methew amesharudi nyumbani na wewe nilishakueleza kadi yako ya CCM iko tawi la chama hapo Nanguruwe!Unaonaje nawe upatiwe viti maalum ukajiunge na shosti yako Halima Mdee?
Hakuna chuki kila habari na mafundisho yake hata bandiko hili ni funzo kwako na wengine kuwa cheo ni dhamana.Watanzania bwana??? Yaani muda wote ni kufikiria huyu atafahidika nini, atanufahika vipi kifedha, basi - ni wachache wanao tilia maanani kutumikia/hudumia wananchi!!!
We fikiria mtu anajitokeza na anaonekana amefurahi kupindukia, kisa? Komredi Polepole na Dk.Bashiru hawapewi mfuko wa jimbo - yaani anataka na hiyo tuichukulie kama ni habari ya maana - kumbe lengo lake la kubandika habari hizi hapa linatokana na kusukumwa na chuki binafsi kuwahusu watu hawa wawili: H.Pole Pole na Dk. Bashiru kutokana na misimamo yao dhabiti dhidi ya wizi na ubadhirifu na uporaji wa mali za CCM na mashirika ya UMMA in general