Dkt. Bashiru piga moyo konde na usonge mbele

Huyu Bashiru alikuwa na kauli za kuchochea chuki sana ni halali apumzikie huko bungeni akijibu maswali ya nyongeza
Akiuliza bana....ajibu kama nani?
Na pia atauliza ya jimbo gani?

Napataga hasira sana msomi akijitakia matatizo.
Usimdharau mtu.
Usimcheke mtu.
Usimdhanie mtu.
Usimsimange mtu.
Usimsengenye mtu.

Usimuone hawezi jambo fulani kwa sababu zako. Angeyajuwa haya.....asingeporomoka kiasi hicho.
 
Hongera Mku sina maneno mengi kwa leo
Hongera
 
Kitu ambacho kinakiuma Mimi, katika wale Wabunge wa3 aliowateua Mama Samy, Wabunge wa2 wamekuwa mawaziri, Ila Mwalimu Bashiru Wala Hajateuliwa Kama Waziri. Naendelea Kusikitika Kwenye Hili.... #Silent Demotion [emoji19][emoji19][emoji19]
Mwalimu wako ni mjeuri sana hatunzi kauli zake hafai kuwa kiongozi wa kitaifa 'He does not keep his words and that he thinks he is more knwledgeable than others'
 
Amelaaniwa mtu yule anayemtegemea mwanadamu, na moyoni mwake amemuacha Mwenyezi Mungu.
Binadamu na project zetu hizi sio za milele
 
Ya Bashiru was so obvious atatemwa. SSH alikuwa very predictable kwenye hili. Na mhusika obviously alijua. Wanacheza chess wanaelewa sometimes kiongozi unapaswa kufanya unpredictable moves - keep your friends close BUT your enemies much closer.
 
Ya Bashiru was so obvious atatemwa. SSH alikuwa very predictable kwenye hili. Na mhusika obviously alijua. Wanacheza chess wanaelewa sometimes kiongozi unapaswa kufanya unpredictable moves - keep your friends close BUT your enemies much closer.
Mimi sitaki Kuwa Muongo, Nimejikuta Nakuwa na Chuki Na Rais Kwa Sasa, Anisamehe Ila Moyo Wangu Umejaa Gadhabu Sana Juu Yake [emoji19][emoji19][emoji19]
 
Hivi wakati mh Rais aliyefariki anaomuondoa Ombeni Sefue kumuweka Kijazi mbona hukuja na utetezi wa aina hii?
Sefue alikuwa mwizi?
Wakati marehemu anatimua timua mlikuwa mnaruka ruka kwa furaha. Lakini leo anatimuliwa mjombako unaliia.
Machungu ambayo leo unayapitia ndiyo hayo waliyopitia wale mliowaita mafisadi.
Zamu yenu tulieni.
 
Sasa wale alio wanunua toka upinzani kwa gharama kubwa wamekuwa maboss wake. Yeye ana kwenda kukaa nyuma ajibiwe maswali yake na kina Waitara. Tamaa mbaya
Kitendo cha kununua wabunge wa upinzani, mleta mada ndiyo anakiita cha kizalendo kwa Bashiru.
Ile ni rushwa kama rushwa nyingine ambayo Bashiru aliisimamia
 
Sefue alikuwa mwizi?

SEFUE HAKUTIMULIWA KWA WIZI ILA KOSA LAKE LILIKUWA LOYALTY KWA VASCO DAGAMA!! JIWE ALIKUWA NA WASI WASI KUWA ANGEKUWA ANAVUJISHA SIRI YA MAMBO YAKE KWA MKWERE!!! JIWE ALIKUWA FISADI MITHILI YA DONALD TRUMP ,ANATAKA TOTAL LOYALTY TO HIM NA SIO KWA NCHI [ KATIBA]. NA HIYO NDIO HULKA YA MAFIA a.k.a DICTATORS!
 
Kama ana ubavu si na ubunge apige chini tuone , mzalendo, uzalendo gani KWA BASHIRU tangu amepewa nafasi zile, BASHIRU uliemfaham kipindi kile hakua wa kipindi hichi,
 
Si ahame chama arudi chuo?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…