CAGvsSPEAKER
JF-Expert Member
- May 16, 2019
- 1,339
- 5,048
Akiuliza bana....ajibu kama nani?Huyu Bashiru alikuwa na kauli za kuchochea chuki sana ni halali apumzikie huko bungeni akijibu maswali ya nyongeza
Yani kama alitengeneza hujuma juu ya jambo ambalo halipo sawa kikatiba ata kuwa bwege sanaUmeonaeeeeeeeeeeee
Hongera Mku sina maneno mengi kwa leoAsante sana Mh. Rais Samia Suluhu Hassan. Hakika kazi kubwa ya kumtoa Bashiru hapo Ikulu imekuongezea heshima kubwa mno. Nimefurahi mno unaepuka watu walioshiriki kwa kiasi kikubwa kuharibu Amani na Demokrasia Tanzania, kutesa watu na mambo mengi makubwa. Walioshirili kikubwa mno katika udikteta na ukandamizaji wa demokrasia. Walioshiriki na kutoa mbinu chafu za kugawa Tanzania kwa ukanda na ukabila. Mama yetu mpendwa RAIS leo umeliheshimisha Taifa la TANZANIA.
Mungu aendelee kukupa utulivu na umakini uendelee kusafisha na kupanga safu yako vizuri mno. Chanda chema huonekana Asubuhi. Hakika wewe ni chanda chema. Ninaiona Tanzania mpya ya Amani na FURAHA tena kwa watu wote na si kwa kikundi au kanda au kabila fulani. Mh. Rais wekeza pia juhudi katika kurejesha amani na Mshikamano bila kukali huyu katoka kanda ipi, kabila lipi na dini ipi.
Nimefurahi na Diplomasia umeitendea haki kabisa kwa kuangalia weledi. Tanzania mpya ndani na nje ya nchi.
I salute you Her Excellency, Samia Suluhu Hassan. May you be protected by Allah.
Mwalimu wako ni mjeuri sana hatunzi kauli zake hafai kuwa kiongozi wa kitaifa 'He does not keep his words and that he thinks he is more knwledgeable than others'Kitu ambacho kinakiuma Mimi, katika wale Wabunge wa3 aliowateua Mama Samy, Wabunge wa2 wamekuwa mawaziri, Ila Mwalimu Bashiru Wala Hajateuliwa Kama Waziri. Naendelea Kusikitika Kwenye Hili.... #Silent Demotion [emoji19][emoji19][emoji19]
Siyo kujibu maswali ya nyongeza, Bali yeye ndiyo anauliza maswali ya nyongeza mkuu.Huyu Bashiru alikuwa na kauli za kuchochea chuki sana ni halali apumzikie huko bungeni akijibu maswali ya nyongeza
Huyu Bashiru alikuwa na kauli za kuchochea chuki sana ni halali apumzikie huko bungeni akijibu maswali ya nyongeza
Wacha akabishane na wa std seven wakati yeye ni DrYani kama alitengeneza hujuma juu ya jambo ambalo halipo sawa kikatiba ata kuwa bwege sana
Asante kwa kuniweka sawa hapo mkuu 😀Siyo kujibu maswali ya nyongeza, Bali yeye ndiyo anauliza maswali ya nyongeza mkuu.
Mimi sitaki Kuwa Muongo, Nimejikuta Nakuwa na Chuki Na Rais Kwa Sasa, Anisamehe Ila Moyo Wangu Umejaa Gadhabu Sana Juu Yake [emoji19][emoji19][emoji19]Ya Bashiru was so obvious atatemwa. SSH alikuwa very predictable kwenye hili. Na mhusika obviously alijua. Wanacheza chess wanaelewa sometimes kiongozi unapaswa kufanya unpredictable moves - keep your friends close BUT your enemies much closer.
Inawezekana siyo chawa mkuu, akawa Bashiru mwenyeweKamtuma chawa aje amsafishe
Binafsi nimevunjika Moyo hasa kwa Bashiru na Jaffo japo nimeguswa kidogo kwa Kabudi ila sawa no way
Sent using Jamii Forums mobile app
Sio uungwana kufurahia anguko la mmwenzio hata kama hukubaliani nae!
Kitendo cha kununua wabunge wa upinzani, mleta mada ndiyo anakiita cha kizalendo kwa Bashiru.Sasa wale alio wanunua toka upinzani kwa gharama kubwa wamekuwa maboss wake. Yeye ana kwenda kukaa nyuma ajibiwe maswali yake na kina Waitara. Tamaa mbaya
Sefue alikuwa mwizi?
Kama ana ubavu si na ubunge apige chini tuone , mzalendo, uzalendo gani KWA BASHIRU tangu amepewa nafasi zile, BASHIRU uliemfaham kipindi kile hakua wa kipindi hichi,Wakati nasoma chuo kikuu cha Dar es salaam enzi zile Hayati Dr.
Magufuli akimalizia masomo yake ya Shahada ya Uzamivu, nilimtambua Dkt Bashiru kama Msomi, Mzalendo, Mjamaa na mpenda mabadiliko ya dhati kwa maendeleo ya wananchi.
Kamwe sikutarajia kama IPO siku Dkt Bashiru atakuwa sehemu ya Chama tawala wala Serikali iliyopo madarakani maana viongozi wenzake wangempinga na kumtenga kutokana na imani na itikadi yake ya kuwakomboa watanzania kutoka katika umasikini, rushwa, maradhi na ujinga.
Naamini 100% kwamba Dkt Bashiru pia hakuwahi kufikiria kugombea vyeo vya kisiasa wala nafasi za uongozi.
Hulka yake, uzalendo wake na uchapa kazi wake ndizo tunu zilizomgusa JPM hadi kumuona kama msaada mkubwa katika kurudisha nidhamu ya chama na uwajibikaji wa chama kwa wananchi. Kazi hiyo aliifanya vyema na kurejesha nidhani, Hadji na sifa ya chama katika jamii.
Mafanikio ya Bashiru katika Chama, yalimuaminisha Mheshimiwa Hayati JPM kwamba Bashiru anafaa kuziba pengo LA katibu Mkuu Kiongozi
Hakika ni kwamba uteuzi wa Bashiru kushika Ukatibu Mkuu wa Chama, uliwashangaza wengi kama ambavyo pia uteuzi wa Bashiru kuwa Katibu Mkuu Kiongozi ulivyowashtua wengi.
Leo hii, mheshimiwa Rais Samia ametengua uteuzi huo kwa kumteua katibu Mkuu Mwingine na Kumteua Dkt Bashiru kuwa Mbunge.
Mheshimiwa Bashiru, hiki ni kipimo cha ukomavu na weledi ndani ya kipindi kifupi.
Kuwa na moyo dhabiti na utulivu wa nafsi na kukubaliana na hali. Endelea kuchapa kazi kwa weledi, usithubutu kuungana na kundi lolote, simamia msimamo wako.
Tambua pia kwamba, mabadiliko makubwa uliyoanzisha katika chama yamekujengea chuki na uhasama mkubwa kwa mafisadi ndani na nje ya chama. Unapaswa kuchukua tahadhali zote za msingi.
Baada ya mtikisiko mfupi, utazidi kuwa imara zaidi na nyota yako itang'ara. Kila LA kheri katika Majukumu yako ya Kibunge, saidiana na Mh. Polepole kukiimarisha chama na kumuunga mkono kwa dhati Mama Yetu Samia Suluhu Hassan. Uamuzi wake usikurudishe nyuma, Songa Mbele
Wakati nasoma chuo kikuu cha Dar es salaam enzi zile Hayati Dr.
Magufuli akimalizia masomo yake ya Shahada ya Uzamivu, nilimtambua Dkt Bashiru kama Msomi, Mzalendo, Mjamaa na mpenda mabadiliko ya dhati kwa maendeleo ya wananchi.
Kamwe sikutarajia kama IPO siku Dkt Bashiru atakuwa sehemu ya Chama tawala wala Serikali iliyopo madarakani maana viongozi wenzake wangempinga na kumtenga kutokana na imani na itikadi yake ya kuwakomboa watanzania kutoka katika umasikini, rushwa, maradhi na ujinga.
Naamini 100% kwamba Dkt Bashiru pia hakuwahi kufikiria kugombea vyeo vya kisiasa wala nafasi za uongozi.
Hulka yake, uzalendo wake na uchapa kazi wake ndizo tunu zilizomgusa JPM hadi kumuona kama msaada mkubwa katika kurudisha nidhamu ya chama na uwajibikaji wa chama kwa wananchi. Kazi hiyo aliifanya vyema na kurejesha nidhani, Hadji na sifa ya chama katika jamii.
Mafanikio ya Bashiru katika Chama, yalimuaminisha Mheshimiwa Hayati JPM kwamba Bashiru anafaa kuziba pengo LA katibu Mkuu Kiongozi
Hakika ni kwamba uteuzi wa Bashiru kushika Ukatibu Mkuu wa Chama, uliwashangaza wengi kama ambavyo pia uteuzi wa Bashiru kuwa Katibu Mkuu Kiongozi ulivyowashtua wengi.
Leo hii, mheshimiwa Rais Samia ametengua uteuzi huo kwa kumteua katibu Mkuu Mwingine na Kumteua Dkt Bashiru kuwa Mbunge.
Mheshimiwa Bashiru, hiki ni kipimo cha ukomavu na weledi ndani ya kipindi kifupi.
Kuwa na moyo dhabiti na utulivu wa nafsi na kukubaliana na hali. Endelea kuchapa kazi kwa weledi, usithubutu kuungana na kundi lolote, simamia msimamo wako.
Tambua pia kwamba, mabadiliko makubwa uliyoanzisha katika chama yamekujengea chuki na uhasama mkubwa kwa mafisadi ndani na nje ya chama. Unapaswa kuchukua tahadhali zote za msingi.
Baada ya mtikisiko mfupi, utazidi kuwa imara zaidi na nyota yako itang'ara. Kila LA kheri katika Majukumu yako ya Kibunge, saidiana na Mh. Polepole kukiimarisha chama na kumuunga mkono kwa dhati Mama Yetu Samia Suluhu Hassan. Uamuzi wake usikurudishe nyuma, Songa Mbele