Dkt. Bashiru piga moyo konde na usonge mbele

Kwangu hadi achomolewe Ali Hapi, Chalamila, Sabaye, Polepole na gambo asipite tena hapo ntavuta Pepsi bariidi huku nikichangia mijadala ya humu JamiiForums, wamewakashifu sana wazee wa chama kuwaambia zama zao zimekwisha, sasa kumbe kibao kimewageukia, wao walimtegemea mwanadamu wazee wakamtegemea Mungu.
 
Akiweza kumtoa Erio nssf ntamuona mama kweli ni mwanamke wa shoka, mtoto wa dada wa marehemu hashikiki
 

Naona unamwaga sifa kwa jizi la kura ili lisifunguke na kumwaga siri zote za wizi wa kura.
 
Achape kazi ipi? Hiyo ya viti maalumu kama wanawake?
 
Miaka miwili ijayo utakuja na mada ingine
kumlaumu Rais wako huyu, si tunangoja muda tu. Miafrika ndivyo mlivyo cc Nyani ngabu.
 
Tukianza mambo ya uraia si ajabu wakabaki Wagogo peke yao hapa Tanzania, na hata utashangaa kuja kusikia asili yenu ni Sudani kusini.
 
Aende huko, si alisema anaweza kutumia dola kubaki madarakani, sasa mbona hajatumia hiyo dola na wew unakuja kuleta ngonjera za huruma humu.
 
Hata vitambaa vya suits alivyopeleka kwa fundi bado havijamaliziwa kushonwa, daah!😓
 
Rekebisha Haye:
1. Chanda chema huvishwa pete
2. Nyota njema huonekana asubuhi
3. Your excellency
 
Shida kubwa ya Bashiru ni silika yake ya anakotoka. Kupuuza wengine, majivuno na kuonyesha ujuaji mwingi. Alisahau alichokipigania kwa miaka mingi kisa kwa kupewa vyeo. Alichopata alistahili
 
Matahira kama nyie sijui mnakuwaga vipi? Yani kiufupi haujielewe... Hayati magufuli alivyofariki hili jamaa liliiba hela na ndomaana hata limetnguliwa kwenye hiyo nafasi, halafu linatokea jitu kama wewe eti piga moyo konde? Shwaini!!!!
 
Kakaa Ikulu mwezi mmoja.
Dude haribifu "weka mbali na watoto..."
Si kwa manunuzi yale... si kwa tuhuma zile... kimsingi HAFAI WALA HAKUFAA NAFASI YOYOTE ZAIDI YA KUFUNDISHA NADHARIA PALE CHUONI NA LUNINGANI...
Wakati watu wanamlaani yule wa UVCCM huyu msomi HABAKI NYUMA ASLANI... NDIO KINARA WA UTENGANO WA WATANZANIA PASI KUMSAHAU MZEE WA NGO YA VIJANA HP SLOWSLOW
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…