Dkt. Bashiru piga moyo konde na usonge mbele

Kwa hiyo kosa kubwa la Bashiru ni lipi hapo? Kurudisha mali za CCM walizo kuwa wamejimilikisha mafisadi papa ndani ya CCM - mzizi wa fitina dhidi ya Bashiru unakuwa driven na hilo - wanamtafutia kila mbinu kumukomoa na kumwaribia sifa, bahati nzuri Rais S.S.Hassan unajua viziri ukweli huko wapi ndio maana kampa wadhifa wa kibalozi na Ubunge for a good reason - watu baki ndio wenye maneno chungu mzima ya kutunga tu as if Dk. Bashiru amekuwa involved kwenye treasonable crime!!
 

Ningeshangaa sana kama Kuondolewa Kwake hapo Kusingewagusa ( Wauma ) nyie Wanafiki wenzake ambao mlikuwa mnafaidika nae hasa Kipesa kwa Vyeo vya Upendeleo, Unafiki na Ushirikina alivyopewa.

Kwa Rais Mheshimiwa Mama Samia Suluhu Hassan ninayemjua nilijua tu kuwa ingekuwa Ngumu kufanya Kazi na Msomi ( Mwanazuoni ) Mnafiki kama huyu ambaye hivi sasa mnajifanya Kumtia Moyo. Hii inaonyesha ni jinsi gani Team JPM mlivyokuwa Wazandiki na Opportunists pia.

Nikikuuliza ( Nikiwaulizeni ) tu Swali huyu Dkt. Bashiru Ali Kakurwa mnamtia Moyo hapa kwa lipi Jema alilofanya ndani ya CCM yenyewe na hata huko Serikalini alikokuwa kama Chief Secretary wa Hayati Dkt. Magufuli mtakuwa na Majibu ya kunipa?

Tena msiendelee Kutukera ( Kutuudhi ) zaidi tukaanza Kuanika Maovu yake hapa kisha mkajiona mlivyo Wapumbavu Waandamizi sawa? Na kama kuna Mtu ambaye alichochea Hayati Rais Dkt. Magufuli Kuchukiwa tena na hata CCM wenyewe ni huyu Dkt. Bashiru Ali Kakurwa alipokuwa Secretary General wa CCM na hata Kipindi Kifupi tu huko Serikalini kama Chief Secretary pia aliharibu vile vile kwa Kutengeneza Makundi ( Matabaka ) ya Kiutendaji.

Kama nyie ni Team JPM na Mimi sasa ni Team SSH na sasa tunawafyeka Mmoja Mmoja ndani ya Mfumo na Sisi tunaweka Watu wetu. Kutesa kwa Zamu na Hayati wenu atatusamehe tu na aendelee Kulala zake Salama huko aliko sasa ila Tanzania ya sasa ipo chini ya Mwanamama Mheshimiwa Rais Mama Samia Suluhu Hassan basi.

Na ningemuona huyu Mtu Wenu Dkt. Bashiru Ali Kakurwa ana Akili kama baada ya Kutolewa kama CS Jana na Kuteuliwa Ubunge angekataa tu na afanye Mambo yake mengine ila alivyo wa hovyo Kakubali wakati Kiitifaki hapo Mama Kamtukana Bonge la Tusi ila Yeye hajajua tu. Unatolewa kuwa CS na kuwa Mbunge tena wa Kuteuliwa tu hili siyo Tusi?

Wapuuzi wakubwa nyie tumewachoka.
 
Hivi Ubunge si anatengeneza hela nyingi kuliko huo ukatibu mkuu kiongozi?


kuweni serious jamani
katbu mkuu ana pesa mingi kuliko mbunge. halaf job security ni kubwa wkt wabunge after 5 yrs hawana uhakika
 
Nidhamu kwenye chama iliyoleta ushindi wa asilimia 99% kwenye uchafuzi mkuu!
Hili ndilo lililomuangusha mchapakazi, mzalendo Bashiru.

Tuna safari ndefu mno!

Mh. Raisi wa awamu ya 6, ukishapokea kijiti cha uenyekiti wa chama, nanukuu kutoka kwa member mmoja humu, kila mwenye jimbo akalipiganie kivyake, waambie mamluki ya wabunge wa kupewa, 2025, kila mtu atakufa kivyake. Biashara za wewe kuwafanyia kazi, nileteeni Askofu Rashiidii, fyekelea mbali.

Everyday is Saturday............................... 😎
 
Huyu Bashiru alikuwa na kauli za kuchochea chuki sana ni halali apumzikie huko bungeni akijibu maswali ya nyongeza
Yeye siyo waziri au naibu hana mamlaka ya kujibu maswali ya nyongeza sana sana akae akisinzia tu, na anywe kahawa na kina Musukuma naye apigishwe story za kina Wema Sepetu.

Everyday is Saturday............................... 😎
 
Sasa wale aliowanunua toka upinzani kwa gharama kubwa wamekuwa maboss wake. Yeye ana kwenda kukaa nyuma ajibiwe maswali yake na kina Waitara. Tamaa mbaya
Mchezo ule ulikuwa WA kitoto Sana mnachukua majimbo yote halafu mnashindwa kuunda Bunge kulingana na matakwa na Sheria halafu mnaanza kuhangaika kuwatafuta Covid-19. Mama Samia anaonyesha hakufurahiwa Ila hakuwa na namna. Wamelipaka matope Taifa bila sababu yoyote.
 
Kwani BASHIRU ni Nani katika Nchi hii mpaka ASITENGULIWE? Alitenguliwa Waziri Mkuu Lowassa itakuwa Katibu Mkuu Acheni Ushamba
 
Mama ameanza kujaza wazanzibari wenzake kwenye serikali ya Tanganyika.

Ndio maana tunataka katiba mpya, kila mtu afanye yake.
Ni hatari sana. Chama tawala ukisifiwa na wapiinzani shtuka. Mama chonde chonde. Ila wananchi wa kawaida wanaona. Asihadaiwe na kushangiliwa mitandaoni.
 

Sio mali za ccm ni mali za wananchi zilizoporwa na ccm.
 
inamaana zile kauli zake we zikikunogea?
 
Akishindwa kusonga Mbele Asonge hata Ugali tuu!!

[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…