Dkt. Bashiru: Tundu Lissu anaumwa 'Ugonjwa wa Deko'

PhD za Tz
 
Ulevi wa madarakacni mbaya sana.
Sent using Jamii Forums mobile app
 
chama dola
 
TL ni mtu mwenye vision sio mtu mwenye television. Kama ni urais wanachagua wananchi sio yeye Bashiru
 
Bashiru huko nyuma hakuwa hivyo, kunamtu anamtia kichwa hata tembea yake imebadirika siyo bure.
 
Dokta feki a.k.a .mchumia tumbo a.k.a.msaka tonge ,dekoyaani maskini hajui hata lugha za kisiasa .
 
aliyetoa hotuba iyo ni dkt B kwel au imetolewa na mtoto fln wa chekechea? maana sitak kuamin kama mtu mwenye digrii zake 3 kichwan anaweza kuhutubia ujinga huo, ila kama ni kwel dkt B ndio kahutubia ivyo bas tzhatuna wasomi kabisa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
hivi ccm imewafanya mini viongozi doctors mzima anashindwa hata kujenga hoja inayoeleweka anaishia kushambulia mtoa hoja. mimi nilifikili mambo ya kutukana watu badala ya kujibu hoja ni ya kina msukuma ambao waliishia daraa la tatu. lakini sasa hata madoctor na maprofessor wa ccm nao wamekuwa waimba taarabu. mbona kinana hakuwa hivyo alikuwa anajenga hoja hadi anakemea mawaziri wa serikali ya chama chake, na alikuwa anakubalika. sasa Leo hakuna hata mmoja ndani ya ccm anayeweza kuona kosa ndani ya serikali. kweli kunakitu magufuli anawafanya wanaccm maana sio kawaida kwa mtu msomi kushindwa kujibu hoja na kuishia kutukana mtowa hojo. Lissu anashtumu serikali kuhusika kwa shambulio lake tena anatowa hoja nyingi zenye uzito sasa kwanini doctors ally bashiru asijikite kuisaidia serikali kujibu baadhi ya hojo za Lissu ?
 

Alikua mp ..full stop.!hyo hali ww huwez ijua..ni sisi wanawake tunaijua..msamehe tu mkuu..
 
Bashiru Vx na mshahara wa milioni 32 umemtia wazimu limekuwa jinga huwezi a mini kama alikuwa anafundisha watoto
 
Write your reply...Ongeza mishahara kws watumishi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…