Uchaguzi 2020 Dkt. Bashiru: UVCCM jibuni hoja za wapinzani bila kuchelewa, ni marufuku waliopita bila kupingwa kwenda mikoa mingine kupiga kampeni

Hawamuwezi Mh. Lissu kwa hoja lakini wataona vioja mwaka huu. Bashiru tumeambiwa amekwisha funga mitambo ya ushindi kumbe vile ni mitambo ya kupitisha watu wao bila kupingwa kwa hila. Nawaonya NEC na ZEC ifikapo kesho kutwa kama hawajarudisha majina ya wagombea wa upinzani basi wajuwe na wao wamo hatarini.
 
Wanssema Chadema tuko mitandaoni mbona na yeye anawatuma waende mitandaoni?? Infact tumewapiga pande zote huku mitandaoni tumeshapiga 3-0, huku field ndio usiseme.

Kwahiyo Bashiru anawataka wasinadi sera zao waanze kujibu hoja?? Waje tu tutawachezesha segere hadi wakome.
 
Hakuna ccm yeyeto mwenye uwezo wa kujibu hoja yeyeto ya upinzani
 
CDM ukiachana na matusi na kauli za uchochezi wana hoja gani nyingine ambayo hata darasa la pili hawezi kuijibu?
Wanasema - Mapya yaliyofanywa na JPM ni ujenzi wa uwanja wa ndege wa kimataifa Chato kwa ajili yake na mama yake wakati wa Christmas na Pasaka! Hili tunalijibu vipi, hapa kuna mi-Chadema inanisumbua, nisaidie jibu!
 

Kwa hiyo kazi ya kujibu hoja za wapinzani zimeachwa kwa uvccm? Je uvccm ndo wanaolalamikiwa? Ama kweli ukishikwa pabaya, lazima utaweweseka tu.
 
Vijana wenyewe ndio hawa huku JF wanabwabwaja bila mpango
 
Dr Bashiru fungua uzi wa majibu ya hoja za wapinzani, sisi tutazisambaza
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…