Dkt. Charles Kimei anza kupiga 'jaramba', huenda muda wowote ukamrithi aliyeleta tozo za ovyo

Dkt. Charles Kimei anza kupiga 'jaramba', huenda muda wowote ukamrithi aliyeleta tozo za ovyo

The big issue here KUTUVUSHA tumekwama

Wachaga nawaaminia kwanza watamcheka wezake mana wakowengi sana waliosoma hivyo atatusaidia kwakuogopwa kuchekwa na wachaga wezake wasomi

Singida huko wamesoma shule watatu tu Lisu,mwigulu na kitila

Kati yao Lisu ndo alielewa katika kusomakwao


Nibishe kwarekodi
 
Kuna Watu wameteuliwa ila hawajui tu kuwa wapo katika 'Sacrifice List' ya 'Mama' kutokana na Rekodi zao mbovu na pia kwa Tamaa zao za Kuutaka sana Urais tena wa 2025.

Hakika 'Mama' kwa Kusaidiwa na Taasisi fulani 'Muhimu' nchini anaonyesha kuwa japo Yeye ni Mwanamke ila katika Umafia wa Kidiplomasia ameiva kuliko hata Wanaume hivyo 'amewatega' Wabaya wake wote ndani ya Chama kwa Ustadi mkubwa ili washindwe au wakengeuke 'Kimaamuzi' na awamalize vizuri kwa 'Kuwatumbua' bila Huruma kisha Kuwamaliza zaidi Kisiasa.

Kuna Mtu alidhani alipopeleka Karatasi kwa 'Mama' atie Saini japo fulani linaloumiza Watanzania sasa atakuwa 'anamkomoa' ili achafuke ila kwa Upumbavu wake japo ana 'PhD' yake akasahau kuwa licha ya 'Mama' kutia Saini Yeye kama mwenye Dhamana alitakiwa awahusishe Wataalam wa Kikosi Kazi cha 'Mtonyo' ambao wangemshauri kutofanya alichofanya kutokana na Hali ya 'Mtonyo' kuwa mbaya kwa sasa ila kwa kutaka Kwake Sifa na Kumuharibia 'Mama' akaenda nayo hivyo hivyo.

Baada ya kuingia 'Mtegoni' na Kujimaliza zaidi kwa Kauli yake ya 'hameni Dar es Salaam mkaishi Bujumbura' ni kwamba 'Mama' ameshaipata sababu ya 'Kumuondoa' huku pia akionekana kuwa ni Adui yake katika Uchaguzi Mkuu ujao wa 2025 na akiwa pia na Makundi 'Hatari' ndani ya Chama Tawala.

Hivyo basi kwa za 'chini chini' ambazo hazijawa rasmi bado ( ila zinatokea Jikoni pale ( Msaada Kontena ) zinasema kwamba mwenye kujua vyema Financial Management, Economost na Mtu aliyeacha Alama ya 'Kutukuka' CRDB Dr. Charles Kimei ( Mbunge ) huenda muda wowote akachukua 'Mikoba'.

Kama kweli 'Mama' atamweka hapa huyu 'Mchagga' anayejua vyema Kusimamia Fedha na Kuzizalisha kwa Maendeleo zaidi hata Mimi GENTAMYCINE nitafurahi kwani CRDB aliyoikuta Dr. Kimei si hii ambayo ameondoka na kuiacha ikiwa na Maendeleo makubwa na kuwa Financial Institution ya Mfano kabisa Kiufanisi.

Nilikuwa nimeshaanza Safari ya kwenda kuyaanza Maisha mapya Bujumbura kama tulivyofukuzwa na mwenye Dar es Salaam, Dodoma na Singida yake ila nilipotonywa tu kuwa Mzee Dr. Kimei anaweza 'Kuula' imenibidi nishukie Mdaula na nirejee zangu Dar es Salaam.

Ombi langu Kuu tu ni kwamba naziomba Mamlaka husika zimlinde Dr. Kimei na hata Dr. Kimei nae pia ajilinde vilivyo kwani moja ya Sifa Kuu ya Msomi Mpuuzi ni Umafia ( Ukatili ) na hata ndani ya Chama anajulikana na ametumika katika 'Oparesheni' kadhaa Kipindi cha Mswahili wa Msoga ( japo mwa Hayati alitulizwa kiaina ) na wenye Kazi zao.

Na nilimshangaa 'Mama' kumteua huyu.
Hakuna ubaya,wakati mwingine,kuota ndoto mchana

Sent from my SM-N960F using JamiiForums mobile app
 
Kwa hiyo ni kama samaki mjanja kupewa chambo kumbe ni ndoana anase amalizwe kisiasa na mbio zake za kuutaka urais zififie. Ila huyu jamaa ni smart kuwa rais, maana ni mbabembabe, tz anatakiwa rais mbabe kama yule mkulu aliyetwaliwa miezi michache iliyopita
 
Ombi langu Kuu tu ni kwamba naziomba Mamlaka husika zimlinde Dr. Kimei na hata Dr. Kimei nae pia ajilinde vilivyo kwani moja ya Sifa Kuu ya Msomi Mpuuzi ni Umafia ( Ukatili ) na hata ndani ya Chama anajulikana na ametumika katika 'Oparesheni' kadhaa Kipindi cha Mswahili wa Msoga ( japo mwa Hayati alitulizwa kiaina ) na wenye Kazi zao.

Na nilimshangaa 'Mama' kumteua huyu.
 
Kuna Watu wameteuliwa ila hawajui tu kuwa wapo katika 'Sacrifice List' ya 'Mama' kutokana na Rekodi zao mbovu na pia kwa Tamaa zao za Kuutaka sana Urais tena wa 2025.

Hakika 'Mama' kwa Kusaidiwa na Taasisi fulani 'Muhimu' nchini anaonyesha kuwa japo Yeye ni Mwanamke ila katika Umafia wa Kidiplomasia ameiva kuliko hata Wanaume hivyo 'amewatega' Wabaya wake wote ndani ya Chama kwa Ustadi mkubwa ili washindwe au wakengeuke 'Kimaamuzi' na awamalize vizuri kwa 'Kuwatumbua' bila Huruma kisha Kuwamaliza zaidi Kisiasa.

Kuna Mtu alidhani alipopeleka Karatasi kwa 'Mama' atie Saini japo fulani linaloumiza Watanzania sasa atakuwa 'anamkomoa' ili achafuke ila kwa Upumbavu wake japo ana 'PhD' yake akasahau kuwa licha ya 'Mama' kutia Saini Yeye kama mwenye Dhamana alitakiwa awahusishe Wataalam wa Kikosi Kazi cha 'Mtonyo' ambao wangemshauri kutofanya alichofanya kutokana na Hali ya 'Mtonyo' kuwa mbaya kwa sasa ila kwa kutaka Kwake Sifa na Kumuharibia 'Mama' akaenda nayo hivyo hivyo.

Baada ya kuingia 'Mtegoni' na Kujimaliza zaidi kwa Kauli yake ya 'hameni Dar es Salaam mkaishi Bujumbura' ni kwamba 'Mama' ameshaipata sababu ya 'Kumuondoa' huku pia akionekana kuwa ni Adui yake katika Uchaguzi Mkuu ujao wa 2025 na akiwa pia na Makundi 'Hatari' ndani ya Chama Tawala.

Hivyo basi kwa za 'chini chini' ambazo hazijawa rasmi bado ( ila zinatokea Jikoni pale ( Msaada Kontena ) zinasema kwamba mwenye kujua vyema Financial Management, Economost na Mtu aliyeacha Alama ya 'Kutukuka' CRDB Dr. Charles Kimei ( Mbunge ) huenda muda wowote akachukua 'Mikoba'.

Kama kweli 'Mama' atamweka hapa huyu 'Mchagga' anayejua vyema Kusimamia Fedha na Kuzizalisha kwa Maendeleo zaidi hata Mimi GENTAMYCINE nitafurahi kwani CRDB aliyoikuta Dr. Kimei si hii ambayo ameondoka na kuiacha ikiwa na Maendeleo makubwa na kuwa Financial Institution ya Mfano kabisa Kiufanisi.

Nilikuwa nimeshaanza Safari ya kwenda kuyaanza Maisha mapya Bujumbura kama tulivyofukuzwa na mwenye Dar es Salaam, Dodoma na Singida yake ila nilipotonywa tu kuwa Mzee Dr. Kimei anaweza 'Kuula' imenibidi nishukie Mdaula na nirejee zangu Dar es Salaam.

Ombi langu Kuu tu ni kwamba naziomba Mamlaka husika zimlinde Dr. Kimei na hata Dr. Kimei nae pia ajilinde vilivyo kwani moja ya Sifa Kuu ya Msomi Mpuuzi ni Umafia ( Ukatili ) na hata ndani ya Chama anajulikana na ametumika katika 'Oparesheni' kadhaa Kipindi cha Mswahili wa Msoga ( japo mwa Hayati alitulizwa kiaina ) na wenye Kazi zao.

Na nilimshangaa 'Mama' kumteua huyu.
Alisikika kichaa mmoja akiongea ukweli akiwa na beg lake aliotaka kwenda nalo Burundi huku akila miwa kwa uchungu hapo Mdaula
 
Waziri wa fedha atokane nje yawaliomo bungeni kwa masilahi mapana ya nchi
 
Kuna Watu wameteuliwa ila hawajui tu kuwa wapo katika 'Sacrifice List' ya 'Mama' kutokana na Rekodi zao mbovu na pia kwa Tamaa zao za Kuutaka sana Urais tena wa 2025.

Hakika 'Mama' kwa Kusaidiwa na Taasisi fulani 'Muhimu' nchini anaonyesha kuwa japo Yeye ni Mwanamke ila katika Umafia wa Kidiplomasia ameiva kuliko hata Wanaume hivyo 'amewatega' Wabaya wake wote ndani ya Chama kwa Ustadi mkubwa ili washindwe au wakengeuke 'Kimaamuzi' na awamalize vizuri kwa 'Kuwatumbua' bila Huruma kisha Kuwamaliza zaidi Kisiasa.

Kuna Mtu alidhani alipopeleka Karatasi kwa 'Mama' atie Saini japo fulani linaloumiza Watanzania sasa atakuwa 'anamkomoa' ili achafuke ila kwa Upumbavu wake japo ana 'PhD' yake akasahau kuwa licha ya 'Mama' kutia Saini Yeye kama mwenye Dhamana alitakiwa awahusishe Wataalam wa Kikosi Kazi cha 'Mtonyo' ambao wangemshauri kutofanya alichofanya kutokana na Hali ya 'Mtonyo' kuwa mbaya kwa sasa ila kwa kutaka Kwake Sifa na Kumuharibia 'Mama' akaenda nayo hivyo hivyo.

Baada ya kuingia 'Mtegoni' na Kujimaliza zaidi kwa Kauli yake ya 'hameni Dar es Salaam mkaishi Bujumbura' ni kwamba 'Mama' ameshaipata sababu ya 'Kumuondoa' huku pia akionekana kuwa ni Adui yake katika Uchaguzi Mkuu ujao wa 2025 na akiwa pia na Makundi 'Hatari' ndani ya Chama Tawala.

Hivyo basi kwa za 'chini chini' ambazo hazijawa rasmi bado ( ila zinatokea Jikoni pale ( Msaada Kontena ) zinasema kwamba mwenye kujua vyema Financial Management, Economost na Mtu aliyeacha Alama ya 'Kutukuka' CRDB Dr. Charles Kimei ( Mbunge ) huenda muda wowote akachukua 'Mikoba'.

Kama kweli 'Mama' atamweka hapa huyu 'Mchagga' anayejua vyema Kusimamia Fedha na Kuzizalisha kwa Maendeleo zaidi hata Mimi GENTAMYCINE nitafurahi kwani CRDB aliyoikuta Dr. Kimei si hii ambayo ameondoka na kuiacha ikiwa na Maendeleo makubwa na kuwa Financial Institution ya Mfano kabisa Kiufanisi.

Nilikuwa nimeshaanza Safari ya kwenda kuyaanza Maisha mapya Bujumbura kama tulivyofukuzwa na mwenye Dar es Salaam, Dodoma na Singida yake ila nilipotonywa tu kuwa Mzee Dr. Kimei anaweza 'Kuula' imenibidi nishukie Mdaula na nirejee zangu Dar es Salaam.

Ombi langu Kuu tu ni kwamba naziomba Mamlaka husika zimlinde Dr. Kimei na hata Dr. Kimei nae pia ajilinde vilivyo kwani moja ya Sifa Kuu ya Msomi Mpuuzi ni Umafia ( Ukatili ) na hata ndani ya Chama anajulikana na ametumika katika 'Oparesheni' kadhaa Kipindi cha Mswahili wa Msoga ( japo mwa Hayati alitulizwa kiaina ) na wenye Kazi zao.

Na nilimshangaa 'Mama' kumteua huyu.
Dr Kimei hakuipaisha CRDB zaidi ya kuzungusha pesa ya serikali deposited na kuwapaisha wachaga. Tuna watu wengi wachumi wazuri Rais asikurupuke kumtoa Mwigulu lakini Kumteua Kimei shida Wachaga hawana rekodi nzuri na Taasisi za fedha ikiwemo BOT na wizara ya fedha.
 
Dah....
GENTA Uongo Factory

[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji2960]
 
Mashambulizi mengine kwa Mwigulu, yanakuzwa makusudi kwa sababu there are people who want their son to command our treasury, finance and planning.
 
Hapa inabidi tu mama awe makini. Kila kiongozi atakayekuwepo wizara ya fedha atakashfiwa, atatukanwa na makosa yake madogo ya kisera na kiutendaji yatakuzwa sana kwa sababu kuna watu wamejipanga kwamba bila mtoto wao kuwepo pale au PM basi wizara na hivyo serikali nzima haitatulia. The ideal leader to them is their son or daughter only.
 
  • Thanks
Reactions: tyc
Halafu watanzania wengine wanavyotumia akili zao kidogo wanaamini kwamba hizo tozo zimeletwa na Mwigulu peke yake. Tuache kumuonea kijana wa watu. Kabla bill yoyote haijafika bungeni, lazima ipite kwenye baraza la mawaziri. Sasa mnataka Mwigulu Lameck awajibike peke yake? Na sio kosa kuleta proposal yenye nia njema. It is like a missed target but tried. Yaani tugome sisi kukatwa, awajibishwe Mwigulu? Serikali nzima ilibariki tozo na bunge likapokea na mdio maana ilitoka kwenye GN iliyosainiwa na Katibu Mkuu Kiongozi.
Mwigulu usikubali kuonewa, kuna watu wanamtafutia kijana wao kazi hazina ili awe uchochoro na ndio wengi wao wanaongoza kwa kukushambulia.
 
The big issue here KUTUVUSHA tumekwama

Wachaga nawaaminia kwanza watamcheka wezake mana wakowengi sana waliosoma hivyo atatusaidia kwakuogopwa kuchekwa na wachaga wezake wasomi

Singida huko wamesoma shule watatu tu Lisu,mwigulu na kitila

Kati yao Lisu ndo alielewa katika kusomakwao


Nibishe kwarekodi
Hahah mkuu tathmini yako siyo poa!

Kwamba Singida nzima aliesoma na kuelewa ni Lissu tu?
 
Kuna Watu wameteuliwa ila hawajui tu kuwa wapo katika 'Sacrifice List' ya 'Mama' kutokana na Rekodi zao mbovu na pia kwa Tamaa zao za Kuutaka sana Urais tena wa 2025.

Hakika 'Mama' kwa Kusaidiwa na Taasisi fulani 'Muhimu' nchini anaonyesha kuwa japo Yeye ni Mwanamke ila katika Umafia wa Kidiplomasia ameiva kuliko hata Wanaume hivyo 'amewatega' Wabaya wake wote ndani ya Chama kwa Ustadi mkubwa ili washindwe au wakengeuke 'Kimaamuzi' na awamalize vizuri kwa 'Kuwatumbua' bila Huruma kisha Kuwamaliza zaidi Kisiasa.

Kuna Mtu alidhani alipopeleka Karatasi kwa 'Mama' atie Saini japo fulani linaloumiza Watanzania sasa atakuwa 'anamkomoa' ili achafuke ila kwa Upumbavu wake japo ana 'PhD' yake akasahau kuwa licha ya 'Mama' kutia Saini Yeye kama mwenye Dhamana alitakiwa awahusishe Wataalam wa Kikosi Kazi cha 'Mtonyo' ambao wangemshauri kutofanya alichofanya kutokana na Hali ya 'Mtonyo' kuwa mbaya kwa sasa ila kwa kutaka Kwake Sifa na Kumuharibia 'Mama' akaenda nayo hivyo hivyo.

Baada ya kuingia 'Mtegoni' na Kujimaliza zaidi kwa Kauli yake ya 'hameni Dar es Salaam mkaishi Bujumbura' ni kwamba 'Mama' ameshaipata sababu ya 'Kumuondoa' huku pia akionekana kuwa ni Adui yake katika Uchaguzi Mkuu ujao wa 2025 na akiwa pia na Makundi 'Hatari' ndani ya Chama Tawala.

Hivyo basi kwa za 'chini chini' ambazo hazijawa rasmi bado ( ila zinatokea Jikoni pale ( Msaada Kontena ) zinasema kwamba mwenye kujua vyema Financial Management, Economost na Mtu aliyeacha Alama ya 'Kutukuka' CRDB Dr. Charles Kimei ( Mbunge ) huenda muda wowote akachukua 'Mikoba'.

Kama kweli 'Mama' atamweka hapa huyu 'Mchagga' anayejua vyema Kusimamia Fedha na Kuzizalisha kwa Maendeleo zaidi hata Mimi GENTAMYCINE nitafurahi kwani CRDB aliyoikuta Dr. Kimei si hii ambayo ameondoka na kuiacha ikiwa na Maendeleo makubwa na kuwa Financial Institution ya Mfano kabisa Kiufanisi.

Nilikuwa nimeshaanza Safari ya kwenda kuyaanza Maisha mapya Bujumbura kama tulivyofukuzwa na mwenye Dar es Salaam, Dodoma na Singida yake ila nilipotonywa tu kuwa Mzee Dr. Kimei anaweza 'Kuula' imenibidi nishukie Mdaula na nirejee zangu Dar es Salaam.

Ombi langu Kuu tu ni kwamba naziomba Mamlaka husika zimlinde Dr. Kimei na hata Dr. Kimei nae pia ajilinde vilivyo kwani moja ya Sifa Kuu ya Msomi Mpuuzi ni Umafia ( Ukatili ) na hata ndani ya Chama anajulikana na ametumika katika 'Oparesheni' kadhaa Kipindi cha Mswahili wa Msoga ( japo mwa Hayati alitulizwa kiaina ) na wenye Kazi zao.

Na nilimshangaa 'Mama' kumteua huyu.
Afazali hujaenda UHUTUNI ... lilikua suala la mda tu. Jammaa kapewa na kuongezewa kamba ndefu akazani ni ya kufungia Punda kitoweo. Kumbe urefu wake ni toshelezi kujinyonga. Fait accompli!
 
Back
Top Bottom