Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Afadhali huyu prof.maana ni mfia dini hatakuwa na makandokando.kimei wa nini. Apewe Musa Assadi
Haya majitu yakipewa madaraka yanakuwa majinga haswaajabu utashangaa anaharibu kuliko bro madelu[emoji23][emoji23][emoji23].
yaani huwa sielewi.
Watamuua maana watu wanataka kupiga pesaAfadhali huyu prof.maana ni mfia dini hatakuwa na makandokando.
Labda Rais kwenye familia yakoMWIGULU RAIS 2025 anipe tenda ya kuchora mawe , kubadili 2015 kuwa 2025 ni rahisi mno🤣
Dah! 😅😅😅😅😅hizi data kiboko na Dr Gwajima je?The big issue here KUTUVUSHA tumekwama
Wachaga nawaaminia kwanza watamcheka wezake mana wakowengi sana waliosoma hivyo atatusaidia kwakuogopwa kuchekwa na wachaga wezake wasomi
Singida huko wamesoma shule watatu tu Lisu,mwigulu na kitila
Kati yao Lisu ndo alielewa katika kusomakwao
Nibishe kwarekodi
Atawavusha wapi?Charles kimei atatuvusha
Mbona magufuli alikua mkabila na akawa rais wako?Kimei ni MKABILA sana. Hafai!
Uko sahihi sana ( yaani 100% ) kwani na nilichoambiwa na Chanzo changu muhimu kutoka 'Makao Msaada Kontena' kinasema kuwa Hayati JPM ilikuwa amteue kuwa hapo alipo sasa Waziri Msomi Mpuuzi baada tu ya Bunge la Bajeti Kumalizika mwaka huu na kumbe hata 'Mama' nae analijua hili kwani waliliamua pamoja Ikulu.Ni mtu poa, alikua reserve wa JPM huyu.
Na sijui ilikuwaje 'Mama' akamteua hapo wakati hata Yeye alishaonywa kuwa nae karibu huyo Waziri Msomi Mpuuzi ni Hatari pia hata Kwake 'Kiusalama' kwani Jamaa alishawahi hata kuwa Mwandamizi wa Matukio ya 'Kimafia' ndani ya Chama na katika Serikali ya Mshauri wake Mkuu wa sasa ( ambaye ni Mstaafu ) wa nafasi aliyonayo sasa.Kama namuona Dr kimei anavyokula jalamba kwenye pitch ya B.O.T. japo siasa sihifahamu Kwa kina ,ila mwigulu hakuwa chaguo sahihi Kwa wizara nyeti Kama fedha.Ni mnafiki aliyejifunika mwamvuli wa uzalendo na maskafu yake ,anajifanya anaupiga mwingi kumbe Ujinga tu
Nimekulazimisha uniamini? Pumbavu..!!!JK aliwahi kuita watu flani viwanda vya kuzalisha uongo.... sasa sijui na hiki ni kiwanda?
Hahaaaaa magae ma nkaata makosu daniiiKama yule wa Madini, aende tu kijijini kwake kulima alizeti.
Katika Teuzi zote za 'Mama' hii ya Kumteua 'Mafia' huyu Waziri Msomi Mpuuzi nilimshangaa sana kwani katika lile Jopo la Waandamizi wa Chama ( CCM ) waliokuwa wakitaka Kumkwamisha nae alikuwepo tena Kinara kabisa.Kwanza gentamycine ni dawa tumeitumia kwa miaka mingi kwa hili mkuu nakupa zote tuombe huenda mama atalifanyia kazi.
Uwizi wao una Faida ya Kimaendeleo kuliko Upopoma uliotukuka wa Wanyiramba unaochangiwa pia na Ushamba ( Umbwiga ) wao.Wachaga hapana ni wezi mno
Kwani kazi ya mbunge ni kuwagawia wananchi wake fedha?Wizara inataka mtu anayeweza kujua hali ya Wananchi na akasimamia sera za kuwafaaa. Kimei yeye hata Wananchi tu wa Vunjo anawafungia vioo
Yule kakaa kitamaa sana labda apewe Wizara ya Mifugo