Dkt. Charles Kimei anza kupiga 'jaramba', huenda muda wowote ukamrithi aliyeleta tozo za ovyo

Dkt. Charles Kimei anza kupiga 'jaramba', huenda muda wowote ukamrithi aliyeleta tozo za ovyo

Kuna Watu wameteuliwa ila hawajui tu kuwa wapo katika 'Sacrifice List' ya 'Mama' kutokana na Rekodi zao mbovu na pia kwa Tamaa zao za Kuutaka sana Urais tena wa 2025.

Hakika 'Mama' kwa Kusaidiwa na Taasisi fulani 'Muhimu' nchini anaonyesha kuwa japo Yeye ni Mwanamke ila katika Umafia wa Kidiplomasia ameiva kuliko hata Wanaume hivyo 'amewatega' Wabaya wake wote ndani ya Chama kwa Ustadi mkubwa ili washindwe au wakengeuke 'Kimaamuzi' na awamalize vizuri kwa 'Kuwatumbua' bila Huruma kisha Kuwamaliza zaidi Kisiasa.

Kuna Mtu alidhani alipopeleka Karatasi kwa 'Mama' atie Saini japo fulani linaloumiza Watanzania sasa atakuwa 'anamkomoa' ili achafuke ila kwa Upumbavu wake japo ana 'PhD' yake akasahau kuwa licha ya 'Mama' kutia Saini Yeye kama mwenye Dhamana alitakiwa awahusishe Wataalam wa Kikosi Kazi cha 'Mtonyo' ambao wangemshauri kutofanya alichofanya kutokana na Hali ya 'Mtonyo' kuwa mbaya kwa sasa ila kwa kutaka Kwake Sifa na Kumuharibia 'Mama' akaenda nayo hivyo hivyo.

Baada ya kuingia 'Mtegoni' na Kujimaliza zaidi kwa Kauli yake ya 'hameni Dar es Salaam mkaishi Bujumbura' ni kwamba 'Mama' ameshaipata sababu ya 'Kumuondoa' huku pia akionekana kuwa ni Adui yake katika Uchaguzi Mkuu ujao wa 2025 na akiwa pia na Makundi 'Hatari' ndani ya Chama Tawala.

Hivyo basi kwa za 'chini chini' ambazo hazijawa rasmi bado ( ila zinatokea Jikoni pale ( Msaada Kontena ) zinasema kwamba mwenye kujua vyema Financial Management, Economost na Mtu aliyeacha Alama ya 'Kutukuka' CRDB Dr. Charles Kimei ( Mbunge ) huenda muda wowote akachukua 'Mikoba'.

Kama kweli 'Mama' atamweka hapa huyu 'Mchagga' anayejua vyema Kusimamia Fedha na Kuzizalisha kwa Maendeleo zaidi hata Mimi GENTAMYCINE nitafurahi kwani CRDB aliyoikuta Dr. Kimei si hii ambayo ameondoka na kuiacha ikiwa na Maendeleo makubwa na kuwa Financial Institution ya Mfano kabisa Kiufanisi.

Nilikuwa nimeshaanza Safari ya kwenda kuyaanza Maisha mapya Bujumbura kama tulivyofukuzwa na mwenye Dar es Salaam, Dodoma na Singida yake ila nilipotonywa tu kuwa Mzee Dr. Kimei anaweza 'Kuula' imenibidi nishukie Mdaula na nirejee zangu Dar es Salaam.

Ombi langu Kuu tu ni kwamba naziomba Mamlaka husika zimlinde Dr. Kimei na hata Dr. Kimei nae pia ajilinde vilivyo kwani moja ya Sifa Kuu ya Msomi Mpuuzi ni Umafia ( Ukatili ) na hata ndani ya Chama anajulikana na ametumika katika 'Oparesheni' kadhaa Kipindi cha Mswahili wa Msoga ( japo mwa Hayati alitulizwa kiaina ) na wenye Kazi zao.

Na nilimshangaa 'Mama' kumteua huyu.
Mwigulu hafai lakini hata Dr Kimei hawezi kwa uchumi huu wa sasa. Apewe Prof Adolph Mkenda, Mbunge wa Rombo na Waziri wa Kilimo wa sasa.

Exposure yake kama Mwalimu wa uchumi UDSM, Naibu KM Fedha, KM wa Utalii na kwa sasa Waziri wa Kilimo haina mshindani
 
Halafu watanzania wengine wanavyotumia akili zao kidogo wanaamini kwamba hizo tozo zimeletwa na Mwigulu peke yake. Tuache kumuonea kijana wa watu. Kabla bill yoyote haijafika bungeni, lazima ipite kwenye baraza la mawaziri. Sasa mnataka Mwigulu Lameck awajibike peke yake? Na sio kosa kuleta proposal yenye nia njema. It is like a missed target but tried. Yaani tugome sisi kukatwa, awajibishwe Mwigulu? Serikali nzima ilibariki tozo na bunge likapokea na mdio maana ilitoka kwenye GN iliyosainiwa na Katibu Mkuu Kiongozi.
Mwigulu usikubali kuonewa, kuna watu wanamtafutia kijana wao kazi hazina ili awe uchochoro na ndio wengi wao wanaongoza kwa kukushambulia.
Umeongea pointi mkuu
 
Watanzania tuishiyo uhamishoni burundi tunashangaa mtu kutoka singida ni waziri wa fedha, wakati tabia za watu wa singida kwenye masuala ya uchumi tunayajua 😂
 
Kuna Watu wameteuliwa ila hawajui tu kuwa wapo katika 'Sacrifice List' ya 'Mama' kutokana na Rekodi zao mbovu na pia kwa Tamaa zao za Kuutaka sana Urais tena wa 2025.

Hakika 'Mama' kwa Kusaidiwa na Taasisi fulani 'Muhimu' nchini anaonyesha kuwa japo Yeye ni Mwanamke ila katika Umafia wa Kidiplomasia ameiva kuliko hata Wanaume hivyo 'amewatega' Wabaya wake wote ndani ya Chama kwa Ustadi mkubwa ili washindwe au wakengeuke 'Kimaamuzi' na awamalize vizuri kwa 'Kuwatumbua' bila Huruma kisha Kuwamaliza zaidi Kisiasa.

Kuna Mtu alidhani alipopeleka Karatasi kwa 'Mama' atie Saini japo fulani linaloumiza Watanzania sasa atakuwa 'anamkomoa' ili achafuke ila kwa Upumbavu wake japo ana 'PhD' yake akasahau kuwa licha ya 'Mama' kutia Saini Yeye kama mwenye Dhamana alitakiwa awahusishe Wataalam wa Kikosi Kazi cha 'Mtonyo' ambao wangemshauri kutofanya alichofanya kutokana na Hali ya 'Mtonyo' kuwa mbaya kwa sasa ila kwa kutaka Kwake Sifa na Kumuharibia 'Mama' akaenda nayo hivyo hivyo.

Baada ya kuingia 'Mtegoni' na Kujimaliza zaidi kwa Kauli yake ya 'hameni Dar es Salaam mkaishi Bujumbura' ni kwamba 'Mama' ameshaipata sababu ya 'Kumuondoa' huku pia akionekana kuwa ni Adui yake katika Uchaguzi Mkuu ujao wa 2025 na akiwa pia na Makundi 'Hatari' ndani ya Chama Tawala.

Hivyo basi kwa za 'chini chini' ambazo hazijawa rasmi bado ( ila zinatokea Jikoni pale ( Msaada Kontena ) zinasema kwamba mwenye kujua vyema Financial Management, Economost na Mtu aliyeacha Alama ya 'Kutukuka' CRDB Dr. Charles Kimei ( Mbunge ) huenda muda wowote akachukua 'Mikoba'.

Kama kweli 'Mama' atamweka hapa huyu 'Mchagga' anayejua vyema Kusimamia Fedha na Kuzizalisha kwa Maendeleo zaidi hata Mimi GENTAMYCINE nitafurahi kwani CRDB aliyoikuta Dr. Kimei si hii ambayo ameondoka na kuiacha ikiwa na Maendeleo makubwa na kuwa Financial Institution ya Mfano kabisa Kiufanisi.

Nilikuwa nimeshaanza Safari ya kwenda kuyaanza Maisha mapya Bujumbura kama tulivyofukuzwa na mwenye Dar es Salaam, Dodoma na Singida yake ila nilipotonywa tu kuwa Mzee Dr. Kimei anaweza 'Kuula' imenibidi nishukie Mdaula na nirejee zangu Dar es Salaam.

Ombi langu Kuu tu ni kwamba naziomba Mamlaka husika zimlinde Dr. Kimei na hata Dr. Kimei nae pia ajilinde vilivyo kwani moja ya Sifa Kuu ya Msomi Mpuuzi ni Umafia ( Ukatili ) na hata ndani ya Chama anajulikana na ametumika katika 'Oparesheni' kadhaa Kipindi cha Mswahili wa Msoga ( japo mwa Hayati alitulizwa kiaina ) na wenye Kazi zao.

Na nilimshangaa 'Mama' kumteua huyu.
Pia alisema hana haja ya kupendwa na wa Tanzania wote, yanga na watu wa jimboni kwake wanamtosha.
 
Genta hapo kwenye "sacrifice list" nimekukubali unaweza kuwa geneus huku wahuni tunaita ndoano, unatupiwa ikiwa na chambo paap, hii ilikuwa michezo ya JK... huyu Madelu ajiangalie asije akafanywa kama Hamis na wale jamaa zetu wawili Dk na slowslow....
 
Kama namuona Dr kimei anavyokula jalamba kwenye pitch ya B.O.T. japo siasa sihifahamu Kwa kina ,ila mwigulu hakuwa chaguo sahihi Kwa wizara nyeti Kama fedha.Ni mnafiki aliyejifunika mwamvuli wa uzalendo na maskafu yake ,anajifanya anaupiga mwingi kumbe Ujinga tu
Dk mpango ndo alimwingiza Maza Chaka.
 
The big issue here KUTUVUSHA tumekwama

Wachaga nawaaminia kwanza watamcheka wezake mana wakowengi sana waliosoma hivyo atatusaidia kwakuogopwa kuchekwa na wachaga wezake wasomi

Singida huko wamesoma shule watatu tu Lisu,mwigulu na kitila

Kati yao Lisu ndo alielewa katika kusomakwao


Nibishe kwarekodi
Mkuu wewe ni kiboko yao. Salute
 
Mwigulu hafai lakini hata Dr Kimei hawezi kwa uchumi huu wa sasa. Apewe Prof Adolph Mkenda, Mbunge wa Rombo na Waziri wa Kilimo wa sasa.

Exposure yake kama Mwalimu wa uchumi UDSM, Naibu KM Fedha, KM wa Utalii na kwa sasa Waziri wa Kilimo haina mshindani
Na very understanding na wise Sana. Hana magigambo kabisa pamoja na kwamba ni kichwa kizuri sana kwa uchumi. Hata kufauli alifaulu vizuri mno kipindi chake chuoni. Hana skendo na ni mnyenyekevu atamfaa Sana Mh. Rais wetu.
 
Kuna Watu wameteuliwa ila hawajui tu kuwa wapo katika 'Sacrifice List' ya 'Mama' kutokana na Rekodi zao mbovu na pia kwa Tamaa zao za Kuutaka sana Urais tena wa 2025.

Hakika 'Mama' kwa Kusaidiwa na Taasisi fulani 'Muhimu' nchini anaonyesha kuwa japo Yeye ni Mwanamke ila katika Umafia wa Kidiplomasia ameiva kuliko hata Wanaume hivyo 'amewatega' Wabaya wake wote ndani ya Chama kwa Ustadi mkubwa ili washindwe au wakengeuke 'Kimaamuzi' na awamalize vizuri kwa 'Kuwatumbua' bila Huruma kisha Kuwamaliza zaidi Kisiasa.

Kuna Mtu alidhani alipopeleka Karatasi kwa 'Mama' atie Saini japo fulani linaloumiza Watanzania sasa atakuwa 'anamkomoa' ili achafuke ila kwa Upumbavu wake japo ana 'PhD' yake akasahau kuwa licha ya 'Mama' kutia Saini Yeye kama mwenye Dhamana alitakiwa awahusishe Wataalam wa Kikosi Kazi cha 'Mtonyo' ambao wangemshauri kutofanya alichofanya kutokana na Hali ya 'Mtonyo' kuwa mbaya kwa sasa ila kwa kutaka Kwake Sifa na Kumuharibia 'Mama' akaenda nayo hivyo hivyo.

Baada ya kuingia 'Mtegoni' na Kujimaliza zaidi kwa Kauli yake ya 'hameni Dar es Salaam mkaishi Bujumbura' ni kwamba 'Mama' ameshaipata sababu ya 'Kumuondoa' huku pia akionekana kuwa ni Adui yake katika Uchaguzi Mkuu ujao wa 2025 na akiwa pia na Makundi 'Hatari' ndani ya Chama Tawala.

Hivyo basi kwa za 'chini chini' ambazo hazijawa rasmi bado ( ila zinatokea Jikoni pale ( Msaada Kontena ) zinasema kwamba mwenye kujua vyema Financial Management, Economost na Mtu aliyeacha Alama ya 'Kutukuka' CRDB Dr. Charles Kimei ( Mbunge ) huenda muda wowote akachukua 'Mikoba'.

Kama kweli 'Mama' atamweka hapa huyu 'Mchagga' anayejua vyema Kusimamia Fedha na Kuzizalisha kwa Maendeleo zaidi hata Mimi GENTAMYCINE nitafurahi kwani CRDB aliyoikuta Dr. Kimei si hii ambayo ameondoka na kuiacha ikiwa na Maendeleo makubwa na kuwa Financial Institution ya Mfano kabisa Kiufanisi.

Nilikuwa nimeshaanza Safari ya kwenda kuyaanza Maisha mapya Bujumbura kama tulivyofukuzwa na mwenye Dar es Salaam, Dodoma na Singida yake ila nilipotonywa tu kuwa Mzee Dr. Kimei anaweza 'Kuula' imenibidi nishukie Mdaula na nirejee zangu Dar es Salaam.

Ombi langu Kuu tu ni kwamba naziomba Mamlaka husika zimlinde Dr. Kimei na hata Dr. Kimei nae pia ajilinde vilivyo kwani moja ya Sifa Kuu ya Msomi Mpuuzi ni Umafia ( Ukatili ) na hata ndani ya Chama anajulikana na ametumika katika 'Oparesheni' kadhaa Kipindi cha Mswahili wa Msoga ( japo mwa Hayati alitulizwa kiaina ) na wenye Kazi zao.

Na nilimshangaa 'Mama' kumteua huyu.
Umeandika Utopolo tupu!! Utasubiri sana!!
 
Na very understanding na wise Sana. Hana magigambo kabisa pamoja na kwamba ni kichwa kizuri sana kwa uchumi. Hata kufauli alifaulu vizuri mno kipindi chake chuoni. Hana skendo na ni mnyenyekevu atamfaa Sana Mh. Rais wetu.
Halafu ni mtu wa msimamo. Kumbuka alivyokataa kuelekezwa na Kigwangala kwenye matumizi yaliyo nje ya Bajeti kuwalipa wasanii.

Kama mchaga pekee aliyekuwa na cheo cha juu kwenye Serikali ya Mwendazake, lazima ukubali kuwa ni mzuri na mwema kwelikweli.
 
Kuna Watu wameteuliwa ila hawajui tu kuwa wapo katika 'Sacrifice List' ya 'Mama' kutokana na Rekodi zao mbovu na pia kwa Tamaa zao za Kuutaka sana Urais tena wa 2025.

Hakika 'Mama' kwa Kusaidiwa na Taasisi fulani 'Muhimu' nchini anaonyesha kuwa japo Yeye ni Mwanamke ila katika Umafia wa Kidiplomasia ameiva kuliko hata Wanaume hivyo 'amewatega' Wabaya wake wote ndani ya Chama kwa Ustadi mkubwa ili washindwe au wakengeuke 'Kimaamuzi' na awamalize vizuri kwa 'Kuwatumbua' bila Huruma kisha Kuwamaliza zaidi Kisiasa.

Kuna Mtu alidhani alipopeleka Karatasi kwa 'Mama' atie Saini japo fulani linaloumiza Watanzania sasa atakuwa 'anamkomoa' ili achafuke ila kwa Upumbavu wake japo ana 'PhD' yake akasahau kuwa licha ya 'Mama' kutia Saini Yeye kama mwenye Dhamana alitakiwa awahusishe Wataalam wa Kikosi Kazi cha 'Mtonyo' ambao wangemshauri kutofanya alichofanya kutokana na Hali ya 'Mtonyo' kuwa mbaya kwa sasa ila kwa kutaka Kwake Sifa na Kumuharibia 'Mama' akaenda nayo hivyo hivyo.

Baada ya kuingia 'Mtegoni' na Kujimaliza zaidi kwa Kauli yake ya 'hameni Dar es Salaam mkaishi Bujumbura' ni kwamba 'Mama' ameshaipata sababu ya 'Kumuondoa' huku pia akionekana kuwa ni Adui yake katika Uchaguzi Mkuu ujao wa 2025 na akiwa pia na Makundi 'Hatari' ndani ya Chama Tawala.

Hivyo basi kwa za 'chini chini' ambazo hazijawa rasmi bado ( ila zinatokea Jikoni pale ( Msaada Kontena ) zinasema kwamba mwenye kujua vyema Financial Management, Economost na Mtu aliyeacha Alama ya 'Kutukuka' CRDB Dr. Charles Kimei ( Mbunge ) huenda muda wowote akachukua 'Mikoba'.

Kama kweli 'Mama' atamweka hapa huyu 'Mchagga' anayejua vyema Kusimamia Fedha na Kuzizalisha kwa Maendeleo zaidi hata Mimi GENTAMYCINE nitafurahi kwani CRDB aliyoikuta Dr. Kimei si hii ambayo ameondoka na kuiacha ikiwa na Maendeleo makubwa na kuwa Financial Institution ya Mfano kabisa Kiufanisi.

Nilikuwa nimeshaanza Safari ya kwenda kuyaanza Maisha mapya Bujumbura kama tulivyofukuzwa na mwenye Dar es Salaam, Dodoma na Singida yake ila nilipotonywa tu kuwa Mzee Dr. Kimei anaweza 'Kuula' imenibidi nishukie Mdaula na nirejee zangu Dar es Salaam.

Ombi langu Kuu tu ni kwamba naziomba Mamlaka husika zimlinde Dr. Kimei na hata Dr. Kimei nae pia ajilinde vilivyo kwani moja ya Sifa Kuu ya Msomi Mpuuzi ni Umafia ( Ukatili ) na hata ndani ya Chama anajulikana na ametumika katika 'Oparesheni' kadhaa Kipindi cha Mswahili wa Msoga ( japo mwa Hayati alitulizwa kiaina ) na wenye Kazi zao.

Na nilimshangaa 'Mama' kumteua huyu.
He's a dead man walking, as simple as that, mpuuzi kabisa huyu...
 
Kuna Watu wameteuliwa ila hawajui tu kuwa wapo katika 'Sacrifice List' ya 'Mama' kutokana na Rekodi zao mbovu na pia kwa Tamaa zao za Kuutaka sana Urais tena wa 2025.

Hakika 'Mama' kwa Kusaidiwa na Taasisi fulani 'Muhimu' nchini anaonyesha kuwa japo Yeye ni Mwanamke ila katika Umafia wa Kidiplomasia ameiva kuliko hata Wanaume hivyo 'amewatega' Wabaya wake wote ndani ya Chama kwa Ustadi mkubwa ili washindwe au wakengeuke 'Kimaamuzi' na awamalize vizuri kwa 'Kuwatumbua' bila Huruma kisha Kuwamaliza zaidi Kisiasa.

Kuna Mtu alidhani alipopeleka Karatasi kwa 'Mama' atie Saini japo fulani linaloumiza Watanzania sasa atakuwa 'anamkomoa' ili achafuke ila kwa Upumbavu wake japo ana 'PhD' yake akasahau kuwa licha ya 'Mama' kutia Saini Yeye kama mwenye Dhamana alitakiwa awahusishe Wataalam wa Kikosi Kazi cha 'Mtonyo' ambao wangemshauri kutofanya alichofanya kutokana na Hali ya 'Mtonyo' kuwa mbaya kwa sasa ila kwa kutaka Kwake Sifa na Kumuharibia 'Mama' akaenda nayo hivyo hivyo.

Baada ya kuingia 'Mtegoni' na Kujimaliza zaidi kwa Kauli yake ya 'hameni Dar es Salaam mkaishi Bujumbura' ni kwamba 'Mama' ameshaipata sababu ya 'Kumuondoa' huku pia akionekana kuwa ni Adui yake katika Uchaguzi Mkuu ujao wa 2025 na akiwa pia na Makundi 'Hatari' ndani ya Chama Tawala.

Hivyo basi kwa za 'chini chini' ambazo hazijawa rasmi bado ( ila zinatokea Jikoni pale ( Msaada Kontena ) zinasema kwamba mwenye kujua vyema Financial Management, Economost na Mtu aliyeacha Alama ya 'Kutukuka' CRDB Dr. Charles Kimei ( Mbunge ) huenda muda wowote akachukua 'Mikoba'.

Kama kweli 'Mama' atamweka hapa huyu 'Mchagga' anayejua vyema Kusimamia Fedha na Kuzizalisha kwa Maendeleo zaidi hata Mimi GENTAMYCINE nitafurahi kwani CRDB aliyoikuta Dr. Kimei si hii ambayo ameondoka na kuiacha ikiwa na Maendeleo makubwa na kuwa Financial Institution ya Mfano kabisa Kiufanisi.

Nilikuwa nimeshaanza Safari ya kwenda kuyaanza Maisha mapya Bujumbura kama tulivyofukuzwa na mwenye Dar es Salaam, Dodoma na Singida yake ila nilipotonywa tu kuwa Mzee Dr. Kimei anaweza 'Kuula' imenibidi nishukie Mdaula na nirejee zangu Dar es Salaam.

Ombi langu Kuu tu ni kwamba naziomba Mamlaka husika zimlinde Dr. Kimei na hata Dr. Kimei nae pia ajilinde vilivyo kwani moja ya Sifa Kuu ya Msomi Mpuuzi ni Umafia ( Ukatili ) na hata ndani ya Chama anajulikana na ametumika katika 'Oparesheni' kadhaa Kipindi cha Mswahili wa Msoga ( japo mwa Hayati alitulizwa kiaina ) na wenye Kazi zao.

Na nilimshangaa 'Mama' kumteua huyu.
kimei wa nini. Apewe Musa Assadi
 
Back
Top Bottom