Dkt. Charles Kimei anza kupiga 'jaramba', huenda muda wowote ukamrithi aliyeleta tozo za ovyo

Watu wa Kanda ile rais awe makini tunakumbuka vyema walichotufanyia akina Mramba,Daniel Yona,Mtei,Msuya nk.
 
Dah! 😅😅😅😅😅hizi data kiboko na Dr Gwajima je?
 
Ni mtu poa, alikua reserve wa JPM huyu.
Uko sahihi sana ( yaani 100% ) kwani na nilichoambiwa na Chanzo changu muhimu kutoka 'Makao Msaada Kontena' kinasema kuwa Hayati JPM ilikuwa amteue kuwa hapo alipo sasa Waziri Msomi Mpuuzi baada tu ya Bunge la Bajeti Kumalizika mwaka huu na kumbe hata 'Mama' nae analijua hili kwani waliliamua pamoja Ikulu.
 
Na sijui ilikuwaje 'Mama' akamteua hapo wakati hata Yeye alishaonywa kuwa nae karibu huyo Waziri Msomi Mpuuzi ni Hatari pia hata Kwake 'Kiusalama' kwani Jamaa alishawahi hata kuwa Mwandamizi wa Matukio ya 'Kimafia' ndani ya Chama na katika Serikali ya Mshauri wake Mkuu wa sasa ( ambaye ni Mstaafu ) wa nafasi aliyonayo sasa.
 
Kwanza gentamycine ni dawa tumeitumia kwa miaka mingi kwa hili mkuu nakupa zote tuombe huenda mama atalifanyia kazi.
Katika Teuzi zote za 'Mama' hii ya Kumteua 'Mafia' huyu Waziri Msomi Mpuuzi nilimshangaa sana kwani katika lile Jopo la Waandamizi wa Chama ( CCM ) waliokuwa wakitaka Kumkwamisha nae alikuwepo tena Kinara kabisa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…