BINARY NO
JF-Expert Member
- Dec 29, 2011
- 2,151
- 2,162
Sekta ya Afya ni Sekta nyeti sana na in Sekta ambayo Serikali na wafadhili mbalimbali wamekua wakinwaga mifedha mingi ajabu ni Fedha nyingi sana zimepigwa na viongozi wa Sekta hiyo yani ma DMO na MaDED... Ukieenda saivi ktk hospital za Serikali yan Vituo vya Afya,Zahanati na Hospital za Wilaya huwezi amini HAKUNA MADAWA zaidi ya Diclopa,Aluu na Dawa za kuharisha... ma Dr wengi wameiba sana hadi kufungua Dispensary zao na Pharmacy zao... Dr Gwajima amekua Tamisemi upande wa Afya anaijua fika Sekta hii... Tusimkatishe Tamaa aendelee kutumbua plus kuwafokea maana wameiba vyakutosha