Asalam aleikum
Maza hana kila kitu , anajimwambafai sana, dharau yeye,.mdomo yeye .Yani ni kama Wizara ya Afya imekabidhiwa kwa Mama yake Diamond.
Mamayo akifa wakati anajifungua uje hapa tena kuendelea kupongeza uswahilina na utopolo wa huyo waziri.Acha maza aendelee kutuburudisha kwa vichambo.
Nampenda huyu mama kwa staili yake ya kuongea.
Madaktari mtanyooka tu na mimi nasema awanyooshe tu cumamae zenu[emoji23][emoji23][emoji23] maana hakuna namna nyingine.
Lugola alikua ananinyooshea polisi, huyu mama amekuja kuwanyoosha madaktari. Safi sana.
Anahitaji semina elekezi.Wakuu habari za mchana.
Naomba walio karibu na huyu mama waziri wa Afya, Maendeleo ya jamii, Jinsia, Wazee na watoto, wampe semina ya ku-behave kama top government official. Naona hilo linamshinda. Mama atulize ubongo aje na solutions. Aache majungu na malalamiko kila kukicha.
Hizi clip tunazoziona hazimpi heshima kabisa. Anajiita Field Marshall wa wizara lkn mimi namuona bado sana.
Kama ana vinyongo na maumivu ya huko nyuma, asahau. Ajulishwe majukumu yake kama waziri. Aache kuleta viswahili kama vya vijiwe vya kina mama wakiwa peke yao.
Naona kashalewa madaraka maana anajiamini kabisa kuwa hakuna wa kumgusa maana hilo jina lina mbeba sana,ref kwa BashiteWakuu habari za mchana.
Naomba walio karibu na huyu mama waziri wa Afya, Maendeleo ya jamii, Jinsia, Wazee na watoto, wampe semina ya ku-behave kama top government official. Naona hilo linamshinda. Mama atulize ubongo aje na solutions. Aache majungu na malalamiko kila kukicha.
Hizi clip tunazoziona hazimpi heshima kabisa. Anajiita Field Marshall wa wizara lkn mimi namuona bado sana.
Kama ana vinyongo na maumivu ya huko nyuma, asahau. Ajulishwe majukumu yake kama waziri. Aache kuleta viswahili kama vya vijiwe vya kina mama wakiwa peke yao.
Huku kwenu Ngara kibanda chenu kimeanguka, wewe bado upo hapol lumumba unapiga majungumkuu acheni kuiba dawa
A Total Disgrace
πππππππππππHiyo haiba ya utemi na kujiona bora kiuongozi haiko kwa Dr Dorothy Gwajima peke yake.
Nenda uwaangalie Waziri wa Maji - Jumaa Aweso na Naibu wake
Nenda Tamisemi kwa Jafo na Naibu wake Bwana Silinde
It seems wamechagua kufanya kazi namna hiyo ili kumuimpres boss wao
Imbombo ngafu
Kazi ndiyo inachapwa vile mkuuπAcheni mama Gwajima achape kazi!
Kuna jambo ambalo ktk ujinga wangu wakati fulani huwa naufikiria.Sekta ya Afya ni Sekta nyeti sana na in Sekta ambayo Serikali na wafadhili mbalimbali wamekua wakinwaga mifedha mingi ajabu ni Fedha nyingi sana zimepigwa na viongozi wa Sekta hiyo yani ma DMO na MaDED... Ukieenda saivi ktk hospital za Serikali yan Vituo vya Afya,Zahanati na Hospital za Wilaya huwezi amini HAKUNA MADAWA zaidi ya Diclopa,Aluu na Dawa za kuharisha... ma Dr wengi wameiba sana hadi kufungua Dispensary zao na Pharmacy zao... Dr Gwajima amekua Tamisemi upande wa Afya anaijua fika Sekta hii... Tusimkatishe Tamaa aendelee kutumbua plus kuwafokea maana wameiba vyakutosha
Wanaibaje kitu ambacho hakipo.mkuu acheni kuiba dawa
wee nini, tulia uchambwe, watu wa afya mlikuwa mnajisahau sana, sasa maza......Wakuu habari za mchana.
Naomba walio karibu na huyu mama waziri wa Afya, Maendeleo ya jamii, Jinsia, Wazee na watoto, wampe semina ya ku-behave kama top government official. Naona hilo linamshinda. Mama atulize ubongo aje na solutions. Aache majungu na malalamiko kila kukicha.
Hizi clip tunazoziona hazimpi heshima kabisa. Anajiita Field Marshall wa wizara lkn mimi namuona bado sana.
Kama ana vinyongo na maumivu ya huko nyuma, asahau. Ajulishwe majukumu yake kama waziri. Aache kuleta viswahili kama vya vijiwe vya kina mama wakiwa peke yao.