Dkt. Dorothy Gwajima: Kama unataka nitumbuliwe ili uchukue nafasi yangu, fanya kazi zaidi yangu sio ufitini

Kuna wagonjwa wanaongeaga vibaya sijui unapata wapi hamu ya kumuhudumia, swala la huduma linatakiwa liwe la kiushirikianao mgonjwa awe tayari kupata huduma na kwa upole sio kwa hasira
 
Mama ana nyongo sana na atafeli mapema mno.
Hawajui wabongo vizuri, ukijifanya mnoko sana lazima wakufanyizie
 
Hao wanawake wawili ni takataka kabisa.
 
Mkuu [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] nimesoma post yako hii nikamvutia picha anavyoongea dah mpaka mbavu zimeuma
 
Kuna wagonjwa wanaongeaga vibaya sijui unapata wapi hamu ya kumuhudumia, swala la huduma linatakiwa liwe la kiushirikianao mgonjwa awe tayari kupata huduma na kwa upole sio kwa hasira
Kwahiyo hao madktari nao wanashindana na hao wagonjwa kwa kuongea vibaya? ukiona mgonjwa anaongea vibaya ujue teyari ametibuliwa na Daktari,yani daktari anataka akupe maneno mabaya akukolomee halafu wewe uwe mpole tu kisa yeye daktari.
 
Watumishi wa afya mahospitalini ni miungu watu. Acha awanyooshe tu.

Tatizo lake analalamika tu, hachukui hatua.
 
Mama ana nyongo sana na atafeli mapema mno.
Hawajui wabongo vizuri, ukijifanya mnoko sana lazima wakufanyizie
Ndio maana basi Ummy mwalimu anasifiwa,pengine sio alikuwa anafanya kazi vizuri bali hakuwa mnoko.
 
Ati anasema anafanya kazi afya miaka mingi halafu hajui kwamba dawa za serikali huwa hazitoshi?? Kama hazitoshi hizo za kuiba zinatoka wapi??? Naongea kwa experience yangu ya kuwa CHMT
 
Mama yeye si alikuwa analima hadi alizeti singida Hapo maana mshahara ulikuwa hautoshi sasa anategemea mtu anayelipwa 300000 kwa miaka sita bila ongezeko lolote la maana asipokee rushwa
 
Kwahiyo hao madktari nao wanashindana na hao wagonjwa kwa kuongea vibaya? ukiona mgonjwa anaongea vibaya ujue teyari ametibuliwa na Daktari,yani daktari anataka akupe maneno mabaya akukolomee halafu wewe uwe mpole tu kisa yeye daktari.
Tuliache hilo, wewe elewa unavyoelewa
 
Ndio maana basi Ummy mwalimu anasifiwa,pengine sio alikuwa anafanya kazi vizuri bali hakuwa mnoko.
Tatizo kubwa nchi hii viongozi wetu hawatumii AKILI ZAO bali akili za mwenyekiti anataka nini.
Kila mtu anajitutumua ili kumbariki mwenyekiti...hawajui wanaumiza wengine.
Nchi hii ukiwa na hekima na busara ni rahisi mno kuongoza na kuwa na positive outcome.
Mfano mzuri ni mwl Nyerere aliongozwa na busara hekima na utu.
Hivyo Watanzania walimfuata kama mchungaji wa kondoo wa Kiisrael.
 
Huyu mama kiukweli anapiga kazi pia ni mfuatiliaji mzuri lakini apunguze sifa, majigambo na kujikweza. Hivi vitu vitatu ndivyo vinamharibia.....
Hivi kama kila mtumishi, DED, wakuu wa idara, wazoa taka, wachimbaji wa mitaro etc etc wakawa kila kazi wanayoenda kufanya wanaita waandishi wa habari ili irushwe hii nchi si itageuka kuwa nchi ya propaganda kama enzi za Soviet union?? Kwa nini kila mahala lazima waongizane na waandishi wa habari?? Hii ndiyo sababu kuuu ya kuishiwa hoja za kusema maana kila siku wewe uko kwenye media, sasa utazungumza mangapi kwa mwaka mzima maana key problems za sekta ya afya zinafanana na zinajulikana. Alianza vizuri but sasa amekuwa kama mipasho ya akina mzee Yusufu au Juma Lokole... Too much aisee...
 
GotTHoMis IPO ipo wala haipewi kipaumbele wala serikalini haijawezaka sana huko .dunia ya sasa ili kuzuia wizi huna budi kuwekeza Kwenye electronic system .maana ndo njia sahihi ya kufanya auditing na kurahisisha kazi .sasa leo hii unapamabana na issued voucher kitu ambscho kila mtu naweza kutempa nacho
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…