Dkt Faustine Ndugulile ashinda kinyang'anyiro cha ukurugenzi Mkuu wa WHO kanda ya Afrika

Dkt Faustine Ndugulile ashinda kinyang'anyiro cha ukurugenzi Mkuu wa WHO kanda ya Afrika

Maoni.
Serikali sasa ni wakati wa kumpatia ulinzi DR. Ndugulile, hasa kipindi anapokua ndani ya nchi,
Yaani miezi hii sita ya mpito alindwe kwelikweli, maana cheo alichopata ni dhamana kubwa,
Mnaweza kumpangia ulinzi wa wasioonekana, au alindwe na watu wasio na sare itapendeza zaidi,
Hii ni Kwa sababu dunia na afrika Kwa ujumla inamtazama sana sana

Kwani kuna m CCM aliyepotea?
 
Kila raia no muhimu!

Serikali iimarishe ulinzi wa raia na Mali zao na Jao wanaodhani ni wakubwa watakua salama!!!
 
Maoni.
Serikali sasa ni wakati wa kumpatia ulinzi DR. Ndugulile, hasa kipindi anapokua ndani ya nchi,
Yaani miezi hii sita ya mpito alindwe kwelikweli, maana cheo alichopata ni dhamana kubwa,
Mnaweza kumpangia ulinzi wa wasioonekana, au alindwe na watu wasio na sare itapendeza zaidi,
Hii ni Kwa sababu dunia na afrika Kwa ujumla inamtazama sana sana
Pumbav sana
 
Back
Top Bottom