Nadhani umechanganya mkuu, Dr. Mwele hajawahi kushika hiyo nafasi.... hicho kiliwahi kuwa cheo cha Dr Mwele Malecela?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nadhani umechanganya mkuu, Dr. Mwele hajawahi kushika hiyo nafasi.... hicho kiliwahi kuwa cheo cha Dr Mwele Malecela?
Hakuna mwingiliano/mahusiano kati ya Jimbo na hiyo nafasi yake mpya.
nimeulizaNadhani umechanganya mkuu, Dr. Mwele hajawahi kushika hiyo nafasi.
Sio kwa watanzania, kuna sumu ipo damuni mwetu, mtu ni mwalimu kwa taaluma, anapata nafasi ya kuongoza sekta ya elimu mfano, wizara ya elimu ama walimi(CWT) lakini anayoyatenda ni afadhali kuongozwa na mtu wa taaluma tofauti, sumu ya CHUKUA, Chako,, Mapema ni mbaya saana, sitaki kuamini wizara ya afya haijawahi ongozwa na mtu wa afya(daktari) kipi cha maana kilitendeka?Watu kama hawa ndio wanatakiwa wadumu kwenye wizara za afya na mambo yote yahusuyo wizara hiyo.
The richest man in tge babylon kitabu kile kinasema ili ufanikiwe ni lazima upate mtaalamu wa jambo hilo ndio afanye kwa ufanisi jambo hilo.
Hongera zake
Mbunge wa Kigamboni na Naibu Waziri wa Afya wa zamani Dkt. Faustine Ndugulile, ameshinda uchaguzi wa kiti cha Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Afya Duniani Kanda ya Afrika.
Katika Uchaguzi uliofanyika leo jijini Brazzaville nchini Congo, wajumbe 25 kati ya 46 wa Mkutano Mkuu wa 74 wa WHO uliofanyika leo wamemchagua Ndugulile na hivyo kuwashinda wagombea wengine kutoka Niger na Senegal.
Tayari Ndugulile ameeleza wazi kuwa vipaumbele vyake ni kuhakikisha Watu wanapata haki ya kupata huduma bora za afya, kuboresha utayari wa nchi za Afrika katika kukabiliana na majanga ya magonjwa ya mlipuko, kuimarisha uwajibikaji ndani ya WHO kanda ya Afrika pamoja na kuimarisha mawasiliano baina ya nchi wanachama katika masuala ya Afya.
Soma Pia: Kama Dkt. Ndugulile atateuliwa kuwa Mkurugenzi wa WHO (Afrika) basi Komredi Makonda atakuwa na Nafasi ya kugombea Ubunge Kigamboni
Vyeo visivyo na tija. Sana sana ni cheo chenye faida kwake binafsi na familia yake.
Dr Mwele ni Boss wa Ndugulile nafikili ila yeye anadeal na magonjwa ya kuambukizwa duniani.... hicho kiliwahi kuwa cheo cha Dr Mwele Malecela?
Dr Mwele alishatangulia mbele ya haki. Alipotoka Tanzania alienda kuwa Mkurugenzi fulani wa WHO Africa huko Brazaville kabla ya kuhamishiwa makao makuu ya WHO huko Geneva ambako ndiko mauti yalipomkutiaDr Mwele ni Boss wa Ndugulile nafikili ila yeye anadeal na magonjwa ya kuambukizwa duniani.
Huyo si alikufa?Dr Mwele ni Boss wa Ndugulile nafikili ila yeye anadeal na magonjwa ya kuambukizwa duniani.
Mtu wa ajabu kivipi?Namjua vizuri huyo jamaa,mpaka marehem baba yake,baba yake alikua mtu wa ajabu sana
Haters keep hatingVyeo visivyo na tija. Sana sana ni cheo chenye faida kwake binafsi na familia yake.
Unajua mchakato wa kuchaguliwa kwenye hiko kiti ukoje na members wake wanaptikanaje? Punguza siasa, si kila kitu ni raisNdio kawezesha ushindi huu wa Mheshimiwa Dkt Ndugulile
Kwa kufanya Dr Faustine kuwa Dr, maana kigezo cha Kwanza uwe Daktari , pili uwe na ujuvi ambao wapiga Kura wataona unafaa.Ndio kawezesha ushindi huu wa Mheshimiwa Dkt Ndugulile
Alikuwa na kitengo kati ya vitengo vilivyo chini ya kurugenzi ya WHO Afrika. Nnadhani alikuwa kitengo cha magonjwa ya kuambukizwa (sikumbuki vizuri)nimeuliza
Yuko wapi dk ulisubisya mpoki
Mbunge wa Kigamboni na Naibu Waziri wa Afya wa zamani Dkt. Faustine Ndugulile, ameshinda uchaguzi wa kiti cha Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Afya Duniani Kanda ya Afrika.
Katika Uchaguzi uliofanyika leo jijini Brazzaville nchini Congo, wajumbe 25 kati ya 46 wa Mkutano Mkuu wa 74 wa WHO uliofanyika leo wamemchagua Ndugulile na hivyo kuwashinda wagombea wengine kutoka Niger na Senegal.
Tayari Ndugulile ameeleza wazi kuwa vipaumbele vyake ni kuhakikisha Watu wanapata haki ya kupata huduma bora za afya, kuboresha utayari wa nchi za Afrika katika kukabiliana na majanga ya magonjwa ya mlipuko, kuimarisha uwajibikaji ndani ya WHO kanda ya Afrika pamoja na kuimarisha mawasiliano baina ya nchi wanachama katika masuala ya Afya.
Soma Pia: Kama Dkt. Ndugulile atateuliwa kuwa Mkurugenzi wa WHO (Afrika) basi Komredi Makonda atakuwa na Nafasi ya kugombea Ubunge Kigamboni
Wivu ni gonjwa baya sanaVyeo visivyo na tija. Sana sana ni cheo chenye faida kwake binafsi na familia yake.
Ok, nimeelewa.Kuna Ndugulile kama mwanachama wa CCM, Mbunge wa CCM etc ambako Ndugulile kama Ndugulile anawekwa nyuma na Ndugulile kama mwana CCM anakaa mbele.
Huko kuna mengi sana nitaweza kupingana naye.