Dkt Faustine Ndugulile ashinda kinyang'anyiro cha ukurugenzi Mkuu wa WHO kanda ya Afrika

Dkt Faustine Ndugulile ashinda kinyang'anyiro cha ukurugenzi Mkuu wa WHO kanda ya Afrika

Watu kama hawa ndio wanatakiwa wadumu kwenye wizara za afya na mambo yote yahusuyo wizara hiyo.

The richest man in tge babylon kitabu kile kinasema ili ufanikiwe ni lazima upate mtaalamu wa jambo hilo ndio afanye kwa ufanisi jambo hilo.
Sio kwa watanzania, kuna sumu ipo damuni mwetu, mtu ni mwalimu kwa taaluma, anapata nafasi ya kuongoza sekta ya elimu mfano, wizara ya elimu ama walimi(CWT) lakini anayoyatenda ni afadhali kuongozwa na mtu wa taaluma tofauti, sumu ya CHUKUA, Chako,, Mapema ni mbaya saana, sitaki kuamini wizara ya afya haijawahi ongozwa na mtu wa afya(daktari) kipi cha maana kilitendeka?
 

Mbunge wa Kigamboni na Naibu Waziri wa Afya wa zamani Dkt. Faustine Ndugulile, ameshinda uchaguzi wa kiti cha Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Afya Duniani Kanda ya Afrika.

Katika Uchaguzi uliofanyika leo jijini Brazzaville nchini Congo, wajumbe 25 kati ya 46 wa Mkutano Mkuu wa 74 wa WHO uliofanyika leo wamemchagua Ndugulile na hivyo kuwashinda wagombea wengine kutoka Niger na Senegal.

Tayari Ndugulile ameeleza wazi kuwa vipaumbele vyake ni kuhakikisha Watu wanapata haki ya kupata huduma bora za afya, kuboresha utayari wa nchi za Afrika katika kukabiliana na majanga ya magonjwa ya mlipuko, kuimarisha uwajibikaji ndani ya WHO kanda ya Afrika pamoja na kuimarisha mawasiliano baina ya nchi wanachama katika masuala ya Afya.

Soma Pia: Kama Dkt. Ndugulile atateuliwa kuwa Mkurugenzi wa WHO (Afrika) basi Komredi Makonda atakuwa na Nafasi ya kugombea Ubunge Kigamboni
Hongera zake
 
Dr Mwele ni Boss wa Ndugulile nafikili ila yeye anadeal na magonjwa ya kuambukizwa duniani.
Dr Mwele alishatangulia mbele ya haki. Alipotoka Tanzania alienda kuwa Mkurugenzi fulani wa WHO Africa huko Brazaville kabla ya kuhamishiwa makao makuu ya WHO huko Geneva ambako ndiko mauti yalipomkutia
 

Mbunge wa Kigamboni na Naibu Waziri wa Afya wa zamani Dkt. Faustine Ndugulile, ameshinda uchaguzi wa kiti cha Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Afya Duniani Kanda ya Afrika.

Katika Uchaguzi uliofanyika leo jijini Brazzaville nchini Congo, wajumbe 25 kati ya 46 wa Mkutano Mkuu wa 74 wa WHO uliofanyika leo wamemchagua Ndugulile na hivyo kuwashinda wagombea wengine kutoka Niger na Senegal.

Tayari Ndugulile ameeleza wazi kuwa vipaumbele vyake ni kuhakikisha Watu wanapata haki ya kupata huduma bora za afya, kuboresha utayari wa nchi za Afrika katika kukabiliana na majanga ya magonjwa ya mlipuko, kuimarisha uwajibikaji ndani ya WHO kanda ya Afrika pamoja na kuimarisha mawasiliano baina ya nchi wanachama katika masuala ya Afya.

Soma Pia: Kama Dkt. Ndugulile atateuliwa kuwa Mkurugenzi wa WHO (Afrika) basi Komredi Makonda atakuwa na Nafasi ya kugombea Ubunge Kigamboni
Yuko wapi dk ulisubisya mpoki
Alisaive maisha ya lissu mwendazake akamtumbua
 
Back
Top Bottom