Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tatizo hawana misimamo ya kujiuzuru kama mambo hayaendi vilivyo, mimi natoa mfano waziri magufuri kila wizara alio enda impact yake ilionekana na maraisi wote walimuelewa, kwanini sio wengine?Watu wengi wenye uwezo wanashindwa kuwa na impact jwa sababu za kimfumo.
Sasa Waziri unataka kuweka impact kwa chanjo harafu rais jiwe hataki chanjo, hapo utaletaje impact?
Sasa Waziri una madini kibao ya kuweka imoact lakini rais boya, na kila kitu kazima kipitishwe na rais, hapo Waziri akikosa impact utamlaumu?
Ndiyo hao wajanja wanaona hawawezi kuwa na impact ndani wanaenda kufanya kazi UN huko kutoa maagizo Afr8ka nzima yamewaruka marais wote.
Kauli za kidiplomasia haziwezi kukosa.Kwanza kabisa napenda kumshukuru mama...
Tunabubujikwa na machozi ya furaha mama kumuwezesha ndugulile kushinda hiyo nafasi.Ndugu zangu Watanzania,
Mbunge wa Kigamboni na Naibu Waziri wa Afya wa zamani Dkt. Faustine Ndugulile, ameshinda uchaguzi wa kiti cha Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Afya Duniani Kanda ya Afrika.
Katika Uchaguzi uliofanyika leo jijini Brazzaville nchini Congo, wajumbe 25 kati ya 46 wa Mkutano Mkuu wa 74 wa WHO uliofanyika leo wamemchagua Ndugulile na hivyo kuwashinda wagombea wengine kutoka Niger na Senegal.
Tayari Ndugulile ameeleza wazi kuwa vipaumbele vyake ni kuhakikisha Watu wanapata haki ya kupata huduma bora za afya, kuboresha utayari wa nchi za Afrika katika kukabiliana na majanga ya magonjwa ya mlipuko, kuimarisha uwajibikaji ndani ya WHO kanda ya Afrika pamoja na kuimarisha mawasiliano baina ya nchi wanachama katika masuala ya Afya.
Kazi iendelee , Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.
Kazi iendelee, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Mkuu kumbe utani katika hili ni sahihi ?😆✋ appreciateKauli za kidiplomasia haziwezi kukosa.
Kwanza Tanzania mpaka kwenda kugombea hizo nafasi ni lazima upate sponsorship ya rais.
Tuna kila sababu ya kumshukuru Mama yetu na Rais wetu mpendwa Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan kwa kuwezesha ushindi wa Mheshimiwa NdugulileKwanza kabisa napenda kumshukuru mama...
Magufuli mwenyewe alikuwa anamezea mambo mengi ambayo hakuyapenda, hakujiuzulu, na ndiyo maana alipata nafasi ya kuwa rais.Tatizo hawana misomamo ya kujiuzuru kama mambo hayaendi vilivyo, mimi natoa mfano waziri magufuri kila wizara alio enda impact yake ilionekana na maraisi wote walimuelewa, kwanini sio wengine?
Roho mbaya haijengi ndugu mtanzaniaVyeo visivyo na tija. Sana sana ni cheo chenye faida kwake binafsi na familia yake.
Dhihaka ya wapi ? Unafikiri enzi za nyungu tungetoboa ?Huo ndo ukweli pamoja umeongea kwa dhihaka ila ndo aliyemteua kama mwakilishi toka Tanzania.
Safi sanaNdugu zangu Watanzania,
Mbunge wa Kigamboni na Naibu Waziri wa Afya wa zamani Dkt. Faustine Ndugulile, ameshinda uchaguzi wa kiti cha Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Afya Duniani Kanda ya Afrika.
Katika Uchaguzi uliofanyika leo jijini Brazzaville nchini Congo, wajumbe 25 kati ya 46 wa Mkutano Mkuu wa 74 wa WHO uliofanyika leo wamemchagua Ndugulile na hivyo kuwashinda wagombea wengine kutoka Niger na Senegal.
Tayari Ndugulile ameeleza wazi kuwa vipaumbele vyake ni kuhakikisha Watu wanapata haki ya kupata huduma bora za afya, kuboresha utayari wa nchi za Afrika katika kukabiliana na majanga ya magonjwa ya mlipuko, kuimarisha uwajibikaji ndani ya WHO kanda ya Afrika pamoja na kuimarisha mawasiliano baina ya nchi wanachama katika masuala ya Afya.
Soma Pia: Kama Dkt. Ndugulile atateuliwa kuwa Mkurugenzi wa WHO (Afrika) basi Komredi Makonda atakuwa na Nafasi ya kugombea Ubunge Kigamboni
Kazi iendelee , Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.
Kazi iendelee, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Huuuu ni ungeseee mwingine,,,, sasa Hapa ⏱️Mia kaingiaje?Kazi iendelee , Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.
kama kawaida kama dawa kitaifa tunashinda kwa kishindo lakini pia kimataifa tunashinda kwa kishindo vile vile aise dah!!Ndugu zangu Watanzania,
Mbunge wa Kigamboni na Naibu Waziri wa Afya wa zamani Dkt. Faustine Ndugulile, ameshinda uchaguzi wa kiti cha Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Afya Duniani Kanda ya Afrika.
Katika Uchaguzi uliofanyika leo jijini Brazzaville nchini Congo, wajumbe 25 kati ya 46 wa Mkutano Mkuu wa 74 wa WHO uliofanyika leo wamemchagua Ndugulile na hivyo kuwashinda wagombea wengine kutoka Niger na Senegal.
Tayari Ndugulile ameeleza wazi kuwa vipaumbele vyake ni kuhakikisha Watu wanapata haki ya kupata huduma bora za afya, kuboresha utayari wa nchi za Afrika katika kukabiliana na majanga ya magonjwa ya mlipuko, kuimarisha uwajibikaji ndani ya WHO kanda ya Afrika pamoja na kuimarisha mawasiliano baina ya nchi wanachama katika masuala ya Afya.
Soma Pia: Kama Dkt. Ndugulile atateuliwa kuwa Mkurugenzi wa WHO (Afrika) basi Komredi Makonda atakuwa na Nafasi ya kugombea Ubunge Kigamboni
Kazi iendelee , Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.
Kazi iendelee, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Sijakuelewa mkuu unaposema Ndugulile kama Ndugulile, kwani kuna Ndugulile kama Ndugu nini?Ndugulile kama Ndugulile namkubali.
Alivyokuwa Teknolojia alikuwa na mipango mingi mizuri, halafu aliji mix vizuri na watu.
Hii position inahitaji mtu makini na itamfaa sana.
Lucas Mwashambwa maoni yako ktk hili?Dhihaka ya wapi ? Unafikiri enzi za nyungu tungetoboa ?
View attachment 3080920
Rais Samia hajawahi fanya kampeni ya kidiplomasia akashindwa.Ndugu zangu Watanzania,
Mbunge wa Kigamboni na Naibu Waziri wa Afya wa zamani Dkt. Faustine Ndugulile, ameshinda uchaguzi wa kiti cha Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Afya Duniani Kanda ya Afrika.
Katika Uchaguzi uliofanyika leo jijini Brazzaville nchini Congo, wajumbe 25 kati ya 46 wa Mkutano Mkuu wa 74 wa WHO uliofanyika leo wamemchagua Ndugulile na hivyo kuwashinda wagombea wengine kutoka Niger na Senegal.
Tayari Ndugulile ameeleza wazi kuwa vipaumbele vyake ni kuhakikisha Watu wanapata haki ya kupata huduma bora za afya, kuboresha utayari wa nchi za Afrika katika kukabiliana na majanga ya magonjwa ya mlipuko, kuimarisha uwajibikaji ndani ya WHO kanda ya Afrika pamoja na kuimarisha mawasiliano baina ya nchi wanachama katika masuala ya Afya.
Soma Pia: Kama Dkt. Ndugulile atateuliwa kuwa Mkurugenzi wa WHO (Afrika) basi Komredi Makonda atakuwa na Nafasi ya kugombea Ubunge Kigamboni
Kazi iendelee , Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.
Kazi iendelee, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Mshukuru 100watches sasa….kama kawaida kama dawa kitaifa tunashinda kwa kishindo lakini pia kimataifa tunashinda kwa kishindo vile vile aise dah!!
ama kwa hakika,
Mungu akiamua kukubariki hakuandikii barua 🐒
Thank You God For Your Blessings to Tanzanians internationally..
imekuumaaee gentleman?🤣Mshukuru 100watches sasa….
Magufuri unajua amekaa miundombinu Miaka 15Tatizo hawana misimamo ya kujiuzuru kama mambo hayaendi vilivyo, mimi natoa mfano waziri magufuri kila wizara alio enda impact yake ilionekana na maraisi wote walimuelewa, kwanini sio wengine?
Kwahiyo?Magufuri unajua amekaa miundombinu Miaka 15