Dkt Faustine Ndugulile ashinda kinyang'anyiro cha ukurugenzi Mkuu wa WHO kanda ya Afrika

Dkt Faustine Ndugulile ashinda kinyang'anyiro cha ukurugenzi Mkuu wa WHO kanda ya Afrika

Watu wengi wenye uwezo wanashindwa kuwa na impact jwa sababu za kimfumo.

Sasa Waziri unataka kuweka impact kwa chanjo harafu rais jiwe hataki chanjo, hapo utaletaje impact?

Sasa Waziri una madini kibao ya kuweka imoact lakini rais boya, na kila kitu kazima kipitishwe na rais, hapo Waziri akikosa impact utamlaumu?

Ndiyo hao wajanja wanaona hawawezi kuwa na impact ndani wanaenda kufanya kazi UN huko kutoa maagizo Afr8ka nzima yamewaruka marais wote.
Tatizo hawana misimamo ya kujiuzuru kama mambo hayaendi vilivyo, mimi natoa mfano waziri magufuri kila wizara alio enda impact yake ilionekana na maraisi wote walimuelewa, kwanini sio wengine?
 
Ndugu zangu Watanzania,

Mbunge wa Kigamboni na Naibu Waziri wa Afya wa zamani Dkt. Faustine Ndugulile, ameshinda uchaguzi wa kiti cha Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Afya Duniani Kanda ya Afrika.

Katika Uchaguzi uliofanyika leo jijini Brazzaville nchini Congo, wajumbe 25 kati ya 46 wa Mkutano Mkuu wa 74 wa WHO uliofanyika leo wamemchagua Ndugulile na hivyo kuwashinda wagombea wengine kutoka Niger na Senegal.

Tayari Ndugulile ameeleza wazi kuwa vipaumbele vyake ni kuhakikisha Watu wanapata haki ya kupata huduma bora za afya, kuboresha utayari wa nchi za Afrika katika kukabiliana na majanga ya magonjwa ya mlipuko, kuimarisha uwajibikaji ndani ya WHO kanda ya Afrika pamoja na kuimarisha mawasiliano baina ya nchi wanachama katika masuala ya Afya.

Kazi iendelee , Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Kazi iendelee, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Tunabubujikwa na machozi ya furaha mama kumuwezesha ndugulile kushinda hiyo nafasi.

Nyambaff
 
Tatizo hawana misomamo ya kujiuzuru kama mambo hayaendi vilivyo, mimi natoa mfano waziri magufuri kila wizara alio enda impact yake ilionekana na maraisi wote walimuelewa, kwanini sio wengine?
Magufuli mwenyewe alikuwa anamezea mambo mengi ambayo hakuyapenda, hakujiuzulu, na ndiyo maana alipata nafasi ya kuwa rais.

Mimi baba yangu alimwambia Mkapa kuwa kubinafsisha mashirika ya umma ni makosa makubwa sana. Ilikuwa neno la ajabu kusemwa wazi, kwa sababu mawaziri wengi, akiwamo Magufuli, walikuwa wanafikiri hivyo, lakini hawakusema.

Kesho yake, Magufuli akampigia simu baba yangu, kumshukuru kwa kauli yake hiyo. Magufuli akasema kuwa baba yangu alisema maneno ambayo Magufuli alitaka kuyasema lakini hakuweza kuyasema.

Kwa hiyo hata huyo Magufuli alishindwa kujiuzulu, akafunga bakuli mwanaharamu apite, akaja kuwa rais.

Tanzania ukijiuzulu vibaya unaweza kuuawa.
 
Huo ndo ukweli pamoja umeongea kwa dhihaka ila ndo aliyemteua kama mwakilishi toka Tanzania.
Dhihaka ya wapi ? Unafikiri enzi za nyungu tungetoboa ?
1000012552.jpg
 
Ndugu zangu Watanzania,

Mbunge wa Kigamboni na Naibu Waziri wa Afya wa zamani Dkt. Faustine Ndugulile, ameshinda uchaguzi wa kiti cha Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Afya Duniani Kanda ya Afrika.

Katika Uchaguzi uliofanyika leo jijini Brazzaville nchini Congo, wajumbe 25 kati ya 46 wa Mkutano Mkuu wa 74 wa WHO uliofanyika leo wamemchagua Ndugulile na hivyo kuwashinda wagombea wengine kutoka Niger na Senegal.

Tayari Ndugulile ameeleza wazi kuwa vipaumbele vyake ni kuhakikisha Watu wanapata haki ya kupata huduma bora za afya, kuboresha utayari wa nchi za Afrika katika kukabiliana na majanga ya magonjwa ya mlipuko, kuimarisha uwajibikaji ndani ya WHO kanda ya Afrika pamoja na kuimarisha mawasiliano baina ya nchi wanachama katika masuala ya Afya.

Soma Pia: Kama Dkt. Ndugulile atateuliwa kuwa Mkurugenzi wa WHO (Afrika) basi Komredi Makonda atakuwa na Nafasi ya kugombea Ubunge Kigamboni

Kazi iendelee , Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Kazi iendelee, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Safi sana
 
Ndugu zangu Watanzania,

Mbunge wa Kigamboni na Naibu Waziri wa Afya wa zamani Dkt. Faustine Ndugulile, ameshinda uchaguzi wa kiti cha Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Afya Duniani Kanda ya Afrika.

Katika Uchaguzi uliofanyika leo jijini Brazzaville nchini Congo, wajumbe 25 kati ya 46 wa Mkutano Mkuu wa 74 wa WHO uliofanyika leo wamemchagua Ndugulile na hivyo kuwashinda wagombea wengine kutoka Niger na Senegal.

Tayari Ndugulile ameeleza wazi kuwa vipaumbele vyake ni kuhakikisha Watu wanapata haki ya kupata huduma bora za afya, kuboresha utayari wa nchi za Afrika katika kukabiliana na majanga ya magonjwa ya mlipuko, kuimarisha uwajibikaji ndani ya WHO kanda ya Afrika pamoja na kuimarisha mawasiliano baina ya nchi wanachama katika masuala ya Afya.

Soma Pia: Kama Dkt. Ndugulile atateuliwa kuwa Mkurugenzi wa WHO (Afrika) basi Komredi Makonda atakuwa na Nafasi ya kugombea Ubunge Kigamboni

Kazi iendelee , Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Kazi iendelee, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
kama kawaida kama dawa kitaifa tunashinda kwa kishindo lakini pia kimataifa tunashinda kwa kishindo vile vile aise dah!!

ama kwa hakika,
Mungu akiamua kukubariki hakuandikii barua 🐒

Thank You God For Your Blessings to Tanzanians internationally..
 
Ndugu zangu Watanzania,

Mbunge wa Kigamboni na Naibu Waziri wa Afya wa zamani Dkt. Faustine Ndugulile, ameshinda uchaguzi wa kiti cha Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Afya Duniani Kanda ya Afrika.

Katika Uchaguzi uliofanyika leo jijini Brazzaville nchini Congo, wajumbe 25 kati ya 46 wa Mkutano Mkuu wa 74 wa WHO uliofanyika leo wamemchagua Ndugulile na hivyo kuwashinda wagombea wengine kutoka Niger na Senegal.

Tayari Ndugulile ameeleza wazi kuwa vipaumbele vyake ni kuhakikisha Watu wanapata haki ya kupata huduma bora za afya, kuboresha utayari wa nchi za Afrika katika kukabiliana na majanga ya magonjwa ya mlipuko, kuimarisha uwajibikaji ndani ya WHO kanda ya Afrika pamoja na kuimarisha mawasiliano baina ya nchi wanachama katika masuala ya Afya.

Soma Pia: Kama Dkt. Ndugulile atateuliwa kuwa Mkurugenzi wa WHO (Afrika) basi Komredi Makonda atakuwa na Nafasi ya kugombea Ubunge Kigamboni

Kazi iendelee , Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Kazi iendelee, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Rais Samia hajawahi fanya kampeni ya kidiplomasia akashindwa.

Alimtuma Ummy Mwalimu kuzunguka zaidi ya Nchi 15 Kupeleka ujumbe wa Rais kuomba kura za Ndugulile.

🇹🇿🇹🇿 Imeshinda.

View: https://www.instagram.com/p/C_Lz0F5tPCe/?igsh=MWVjbGZsd2g2YnJ1bg==
 
Tatizo hawana misimamo ya kujiuzuru kama mambo hayaendi vilivyo, mimi natoa mfano waziri magufuri kila wizara alio enda impact yake ilionekana na maraisi wote walimuelewa, kwanini sio wengine?
Magufuri unajua amekaa miundombinu Miaka 15
 
Back
Top Bottom