Dkt Faustine Ndugulile ashinda kinyang'anyiro cha ukurugenzi Mkuu wa WHO kanda ya Afrika

Dkt Faustine Ndugulile ashinda kinyang'anyiro cha ukurugenzi Mkuu wa WHO kanda ya Afrika

Tayari Ndugulile ameeleza wazi kuwa vipaumbele vyake ni kuhakikisha Watu wanapata haki ya kupata huduma bora za afya, kuboresha utayari wa nchi za Afrika katika kukabiliana na majanga ya magonjwa ya mlipuko, kuimarisha uwajibikaji ndani ya WHO kanda ya Afrika pamoja na kuimarisha mawasiliano baina ya nchi wanachama katika masuala ya Afya.
Hizi si ngonjera za miaka yote
 
Mtu wa ajabu kivipi?
Alikua mkatoliki,dada yake muislam,sasa akawa na agenda ya kuwabadili dini watoto wa dada yake,akaanza na mkubwa,ambaye ilishindikana,jamaa form four alipata three wakati ni kichwa kwelikweli,alimwambia unadhani ulifeli kweli,ni huo uislam unaoung'ang'ania, uislam utakusaidia nini wewe!?..jamaa kakomaa na imani yake hadi leo yupo kwenye miaka 50, maisha magumu,wadogi zake wawili wawili walibadili dini Ili wasomeshwe
 
Watu wengi wenye uwezo wanashindwa kuwa na impact kwa sababu za kimfumo.

Sasa Waziri unataka kuweka impact kwa chanjo harafu rais Jiwe hataki chanjo, hapo utaletaje impact?

Sasa Waziri una madini kibao ya kuweka imoact lakini rais boya, na kila kitu kazima kipitishwe na rais, hapo Waziri akikosa impact utamlaumu?

Ndiyo hao wajanja wanaona hawawezi kuwa na impact ndani wanaenda kufanya kazi UN huko kutoa maagizo Afr8ka nzima yamewaruka marais wote.
Umeongea neno zito mnooo hapo ulipoandika kwa sababu za kimfumo.
 
Nadhani kabla hajaenda Geneva kwenye hiyo position na mauti kumkutia hukohuko, alianzia WHO Africa tena huko huko DRC.
Labda kama alikuwa kwenye nafasi nyingine ila sio hii aliyoichukua Ndugulile.

Aliyemwachia Ndugulile kijiti alianza mwaka 2015 hadi alipomaliza muda wake mwaka huu
 
kama kawaida kama dawa kitaifa tunashinda kwa kishindo lakini pia kimataifa tunashinda kwa kishindo vile vile aise dah!!

ama kwa hakika,
Mungu akiamua kukubariki hakuandikii barua 🐒

Thank You God For Your Blessings to Tanzanians internationally..
GACHAGUA the sixth
 
Dr Mwele ni Boss wa Ndugulile nafikili ila yeye anadeal na magonjwa ya kuambukizwa duniani.
Mwele alishafariki yeye alikua anadeal na cdc kama director! Au unahisi mwele yupo hai bado
 
Ndugulile kama Ndugulile namkubali.

Alivyokuwa Teknolojia alikuwa na mipango mingi mizuri, halafu aliji mix vizuri na watu.

Hii position inahitaji mtu makini na itamfaa sana.
Jamaa ni technocrat kuliko mwanasiasa… na ndio maana hata ndani ya chama hakua kada mfawidhi

The position inamfaa kutokana na attributes hizo

The biggest challenge naiona kwake ni kuwa na team ya ushindi kwasababu sijui bureaucratic entities Kama WHO zinaruhisu innovation wakati kila kitu kiko driven na wanaowapa pesa
 
Jamaa ni technocrat kuliko mwanasiasa… na ndio maana hata ndani ya chama hakua kada mfawidhi

The position inamfaa kutokana na attributes hizo

The biggest challenge naiona kwake ni kuwa na team ya ushindi kwasababu sijui bureaucratic entities Kama WHO zinaruhisu innovation wakati kila kitu kiko driven na wanaowapa pesa
Unavyoona ndivyo nilivyoona mimi kuhusu jamaa kuwa technocrat.

Huko WHO anaweza kwenda kushauri vizuri mambo ya innovation kwa sababu anakwenda kwenye leadership position.

Ila, tatizo la UN organizations ni geopolitics, kuleta mabadiliko ni vigumu sana. Mimi nil8jifunza mambo mengi ya UN wakati Dr. Augustine Mahiga alivyokuwa UNHCR. Kuna jamaa alikuwa anasema UN organizations hata ukitaka kubadili mapazia ya ofisi tu, kila mtu atataka rangi za bendera ya nchi yake ziwemo, mwishowe kubadilisha mapazia tu kunakuwa mjadala mkuubwa.

Ila Ndugulile atahitaji msaada sana. Africa ina changamoto kubwa sana.
 
Maoni.
Serikali sasa ni wakati wa kumpatia ulinzi DR. Ndugulile, hasa kipindi anapokua ndani ya nchi,
Yaani miezi hii sita ya mpito alindwe kwelikweli, maana cheo alichopata ni dhamana kubwa,
Mnaweza kumpangia ulinzi wa wasioonekana, au alindwe na watu wasio na sare itapendeza zaidi,
Hii ni Kwa sababu dunia na afrika Kwa ujumla inamtazama sana sana
 
Back
Top Bottom