JanguKamaJangu
JF-Expert Member
- Feb 7, 2022
- 2,780
- 6,607
Safi
Dr Kigwangalla kama Dr Ruto hawatakagi Ujinga
Hana hela ya bandoKwanini asiweke BANDO,akawapigia?Awe muungwana,asitake public sympathy.
Kama anawajua si awsiliane nao moja kwa moja,sasa huko alikokimbilia ndio kuna ufumbuzi,huyu muongo hawajui ni kama anarusha jiwe kichakani ili aone kama kuna ndezi au ngiri kwenye kichaka. Shida yote ni madaraka,King alilewa na pori hadi pori ,sasa nae aendelee tu kuchangia TOZOHiki ndicho alichoandika Mbunge Dr. Hamisi Kigwangalla katika ukurasa wake wa Twitter:
ONYO LA MWISHO KWA MNAOMTUMA KIGOGO: iko hivi; ninawajua, na nyie ni rafiki zangu, tuendelee kuheshimiana, ninawaambia najua mambo yenu mengi; msicheze na tope, mtachafua suti zenu sasa hivi! Mnanijua vizuri, sijifichagi, napiganaga wazi wazi! Jipimeni, mnaweza vita na mimi? #HK
Ww nae ni poyoyo wa mbowe, kila threads unareply huo ujinga wako uliotumwaRasimu ya Warioba irudi mezani SASA iwe KATIBA MPYA
Yaani iendelee kunyesha tuone panapovuja ?!!Waumbuane tyuuh ili tujue Dark side zao, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Then family yako itafaidika na nnRasimu ya Warioba irudi mezani SASA iwe KATIBA MPYA
Mbowe ndiye anayemiliki katiba ya nchi?.au wewe ndo poyoyo.Ww nae ni poyoyo wa mbowe, kila threads unareply huo ujinga wako uliotumwa
Itasaidia kupunguza wajinga kama wewe.Then family yako itafaidika na nn