Dkt. Hamis Kigwangalla: Onyo la mwisho kwa mnaomtuma Kigogo

Dkt. Hamis Kigwangalla: Onyo la mwisho kwa mnaomtuma Kigogo

Hiki ndicho alichoandika Mbunge Dr. Hamisi Kigwangalla katika ukurasa wake wa Twitter:

ONYO LA MWISHO KWA MNAOMTUMA KIGOGO: iko hivi; ninawajua, na nyie ni rafiki zangu, tuendelee kuheshimiana, ninawaambia najua mambo yenu mengi; msicheze na tope, mtachafua suti zenu sasa hivi! Mnanijua vizuri, sijifichagi, napiganaga wazi wazi! Jipimeni, mnaweza vita na mimi? #HK

Maccm yauane...who cares!
 
Hiki ndicho alichoandika Mbunge Dr. Hamisi Kigwangalla katika ukurasa wake wa Twitter:

ONYO LA MWISHO KWA MNAOMTUMA KIGOGO: iko hivi; ninawajua, na nyie ni rafiki zangu, tuendelee kuheshimiana, ninawaambia najua mambo yenu mengi; msicheze na tope, mtachafua suti zenu sasa hivi! Mnanijua vizuri, sijifichagi, napiganaga wazi wazi! Jipimeni, mnaweza vita na mimi? #HK

Huyu nae alikuwa kiongozi mkubwa wa umma iseee..!
 
Back
Top Bottom