Mtoto halali na hela
JF-Expert Member
- Aug 10, 2012
- 52,160
- 48,974
Kigogo kafanyaje maana kapoa siku hizi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mwambiye sisi wengine tunapambana na hali zetu ngumu hatuna muda wa kumfatilia yeye aliyeshiba.Wacha waparuane wenyewe.Hiki ndicho alichoandika Mbunge Dr. Hamisi Kigwangalla katika ukurasa wake wa Twitter:
ONYO LA MWISHO KWA MNAOMTUMA KIGOGO: iko hivi; ninawajua, na nyie ni rafiki zangu, tuendelee kuheshimiana, ninawaambia najua mambo yenu mengi; msicheze na tope, mtachafua suti zenu sasa hivi! Mnanijua vizuri, sijifichagi, napiganaga wazi wazi! Jipimeni, mnaweza vita na mimi? #HK
NdaHiki ndicho alichoandika Mbunge Dr. Hamisi Kigwangalla katika ukurasa wake wa Twitter:
ONYO LA MWISHO KWA MNAOMTUMA KIGOGO: iko hivi; ninawajua, na nyie ni rafiki zangu, tuendelee kuheshimiana, ninawaambia najua mambo yenu mengi; msicheze na tope, mtachafua suti zenu sasa hivi! Mnanijua vizuri, sijifichagi, napiganaga wazi wazi! Jipimeni, mnaweza vita na mimi? #HK
Asebezwe WENDA anayo hojaHiki ndicho alichoandika Mbunge Dr. Hamisi Kigwangalla katika ukurasa wake wa Twitter:
ONYO LA MWISHO KWA MNAOMTUMA KIGOGO: iko hivi; ninawajua, na nyie ni rafiki zangu, tuendelee kuheshimiana, ninawaambia najua mambo yenu mengi; msicheze na tope, mtachafua suti zenu sasa hivi! Mnanijua vizuri, sijifichagi, napiganaga wazi wazi! Jipimeni, mnaweza vita na mimi? #HK
Kinachotafutwa sio familia ya nani ifaidike ! Bali kinachotafutwa ni Nchi na wananchi wake wote wafaidike !!Then family yako itafaidika na nn
Kinachotafutwa sio familia ya nani ifaidike ! Bali kinachotafutwa ni Nchi na wananchi wake wote wafaidike !!
Katika upambanaji bila kuogopa mtu, Dr. Kigwa ni mpambanaji jasiri, shupavu na shujaa!, mimi nilimshuhudia Nzega.Hiki ndicho alichoandika Mbunge Dr. Hamisi Kigwangalla katika ukurasa wake wa Twitter:
ONYO LA MWISHO KWA MNAOMTUMA KIGOGO: iko hivi; ninawajua, na nyie ni rafiki zangu, tuendelee kuheshimiana, ninawaambia najua mambo yenu mengi; msicheze na tope, mtachafua suti zenu sasa hivi! Mnanijua vizuri, sijifichagi, napiganaga wazi wazi! Jipimeni, mnaweza vita na mimi? #HK
we jamaa huwa unachekesha sanaSafi
Dr Kigwangalla kama Dr Ruto hawatakagi Ujinga
Tunaomba tufahamisKigogo kafanyaje maana kapoa siku hizi
wengine hawafaidiki !Kwani Kwa sasa Kwa katiba hii hatufaidiki?
Mkwara MBUZI huo ndiyo unadai hataki ujinga ....!!Safi
Dr Kigwangalla kama Dr Ruto hawatakagi Ujinga
wapi hapo mkuu?Katika upambanaji bila kuogopa mtu, Dr. Kigwa ni mpambanaji jasiri, mimi nilimshuhudia hapa
Hahaha......Mkwara MBUZI huo ndiyo unadai hataki ujinga ....!!
Tunaomba tufahamishwe kwani Kigogo kasemaje ?Kigogo kafanyaje maana kapoa siku hizi
Wewe! Ndio poyoyo usiyeelewa nchi inatakiwa ifike wapi siyo wewe na tumbo lako mfike wapi! So selfish... Alichokisema ni kwa maslahi mapana ya taifa na siyo matumbo ya watu wa chache ndo walambe Asali..Ww nae ni poyoyo wa mbowe, kila threads unareply huo ujinga wako uliotumwa
Itakuwa mambo ya Tukutuku za MwamediTunaomba tufahamishwe kwani Kigogo kasemaje ?
Tunaomba tufahamis
wengine hawafaidiki !
Yupo [emoji104] Asali huyooo....Kigogo kafanyaje maana kapoa siku hizi
Kilichofuata ITV 👇👇Katika upambanaji bila kuogopa mtu, Dr. Kigwa ni mpambanaji jasiri, shupavu na shujaa!, mimi nilimshuhudia Nzega.
Kuna siku aliitisha maandamano ya amani ya wana Nzega kudai haki zao za madini toka mgodini. CCM ikatoa taarifa kuwa chama hakiyatambui maandamano hayo na hakuna mwana CCM kushiriki!. Mimi nika comment humu Kigwangalla aitwa na kamati ya maadili na maandamano yake kusitishwa na CCM, yeye asisitiza yapo!! kuwa hakuna maandamano!, kilichokuja kutokea ni hiki Kwako Ndg. Pasco: Maandamano Yamefanyika Bila Idhini ya Katibu wa Chama!
P
Wanajuana! Kuna cream ya vijana cycles na mishe zao wanajuana vizuri ndio maana wanachimbana mikwara.Mbona analeta mikwara, kama ameona wenzake wameshamuanza, yeye awamalize, hakuna sababu ya onyo, huyu ni muoga tu, anajua bado anatamani teuzi hawezi kuropoka hovyo.