Dkt. Hamis Kigwangalla: Onyo la mwisho kwa mnaomtuma Kigogo

Dkt. Hamis Kigwangalla: Onyo la mwisho kwa mnaomtuma Kigogo

Hiki ndicho alichoandika Mbunge Dr. Hamisi Kigwangalla katika ukurasa wake wa Twitter:

ONYO LA MWISHO KWA MNAOMTUMA KIGOGO: iko hivi; ninawajua, na nyie ni rafiki zangu, tuendelee kuheshimiana, ninawaambia najua mambo yenu mengi; msicheze na tope, mtachafua suti zenu sasa hivi! Mnanijua vizuri, sijifichagi, napiganaga wazi wazi! Jipimeni, mnaweza vita na mimi? #HK

mwambiye sisi wengine tunapambana na hali zetu ngumu hatuna muda wa kumfatilia yeye aliyeshiba.Wacha waparuane wenyewe.
 
We
Hiki ndicho alichoandika Mbunge Dr. Hamisi Kigwangalla katika ukurasa wake wa Twitter:

ONYO LA MWISHO KWA MNAOMTUMA KIGOGO: iko hivi; ninawajua, na nyie ni rafiki zangu, tuendelee kuheshimiana, ninawaambia najua mambo yenu mengi; msicheze na tope, mtachafua suti zenu sasa hivi! Mnanijua vizuri, sijifichagi, napiganaga wazi wazi! Jipimeni, mnaweza vita na mimi? #HK

Nda
Hiki ndicho alichoandika Mbunge Dr. Hamisi Kigwangalla katika ukurasa wake wa Twitter:

ONYO LA MWISHO KWA MNAOMTUMA KIGOGO: iko hivi; ninawajua, na nyie ni rafiki zangu, tuendelee kuheshimiana, ninawaambia najua mambo yenu mengi; msicheze na tope, mtachafua suti zenu sasa hivi! Mnanijua vizuri, sijifichagi, napiganaga wazi wazi! Jipimeni, mnaweza vita na mimi? #HK

Asebezwe WENDA anayo hoja
 
Hiki ndicho alichoandika Mbunge Dr. Hamisi Kigwangalla katika ukurasa wake wa Twitter:

ONYO LA MWISHO KWA MNAOMTUMA KIGOGO: iko hivi; ninawajua, na nyie ni rafiki zangu, tuendelee kuheshimiana, ninawaambia najua mambo yenu mengi; msicheze na tope, mtachafua suti zenu sasa hivi! Mnanijua vizuri, sijifichagi, napiganaga wazi wazi! Jipimeni, mnaweza vita na mimi? #HK

Katika upambanaji bila kuogopa mtu, Dr. Kigwa ni mpambanaji jasiri, shupavu na shujaa!, mimi nilimshuhudia Nzega.
Kuna siku aliitisha maandamano ya amani ya wana Nzega kudai haki zao za madini toka mgodini. CCM ikatoa taarifa kuwa chama hakiyatambui maandamano hayo na hakuna mwana CCM kushiriki!. Mimi nika comment humu Kigwangalla aitwa na kamati ya maadili na maandamano yake kusitishwa na CCM, yeye asisitiza yapo!! kuwa hakuna maandamano!, kilichokuja kutokea ni hiki Kwako Ndg. Pasco: Maandamano Yamefanyika Bila Idhini ya Katibu wa Chama!
P
 
Ww nae ni poyoyo wa mbowe, kila threads unareply huo ujinga wako uliotumwa
Wewe! Ndio poyoyo usiyeelewa nchi inatakiwa ifike wapi siyo wewe na tumbo lako mfike wapi! So selfish... Alichokisema ni kwa maslahi mapana ya taifa na siyo matumbo ya watu wa chache ndo walambe Asali..
#katibaMpya..
 
Katika upambanaji bila kuogopa mtu, Dr. Kigwa ni mpambanaji jasiri, shupavu na shujaa!, mimi nilimshuhudia Nzega.
Kuna siku aliitisha maandamano ya amani ya wana Nzega kudai haki zao za madini toka mgodini. CCM ikatoa taarifa kuwa chama hakiyatambui maandamano hayo na hakuna mwana CCM kushiriki!. Mimi nika comment humu Kigwangalla aitwa na kamati ya maadili na maandamano yake kusitishwa na CCM, yeye asisitiza yapo!! kuwa hakuna maandamano!, kilichokuja kutokea ni hiki Kwako Ndg. Pasco: Maandamano Yamefanyika Bila Idhini ya Katibu wa Chama!
P
Kilichofuata ITV 👇👇
Screenshot_20220912-121247.jpg
 
Mbona analeta mikwara, kama ameona wenzake wameshamuanza, yeye awamalize, hakuna sababu ya onyo, huyu ni muoga tu, anajua bado anatamani teuzi hawezi kuropoka hovyo.
Wanajuana! Kuna cream ya vijana cycles na mishe zao wanajuana vizuri ndio maana wanachimbana mikwara.
 
Back
Top Bottom