Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
MUOGA HUYU!mtu jasiri haongei zaidi ya vitendo tuuu!Hiki ndicho alichoandika Mbunge Dr. Hamisi Kigwangalla katika ukurasa wake wa Twitter:
ONYO LA MWISHO KWA MNAOMTUMA KIGOGO: iko hivi; ninawajua, na nyie ni rafiki zangu, tuendelee kuheshimiana, ninawaambia najua mambo yenu mengi; msicheze na tope, mtachafua suti zenu sasa hivi! Mnanijua vizuri, sijifichagi, napiganaga wazi wazi! Jipimeni, mnaweza vita na mimi? #HK
Kigogo==Mwezi wa kwanza wa kila mwakaHiki ndicho alichoandika Mbunge Dr. Hamisi Kigwangalla katika ukurasa wake wa Twitter:
ONYO LA MWISHO KWA MNAOMTUMA KIGOGO: iko hivi; ninawajua, na nyie ni rafiki zangu, tuendelee kuheshimiana, ninawaambia najua mambo yenu mengi; msicheze na tope, mtachafua suti zenu sasa hivi! Mnanijua vizuri, sijifichagi, napiganaga wazi wazi! Jipimeni, mnaweza vita na mimi? #HK
Eti huyu naye aliwahi kuwa Waziri kwenye ile serikali, hakika kulikuwa na watu wa hov..., au basiHiki ndicho alichoandika Mbunge Dr. Hamisi Kigwangalla katika ukurasa wake wa Twitter:
ONYO LA MWISHO KWA MNAOMTUMA KIGOGO: iko hivi; ninawajua, na nyie ni rafiki zangu, tuendelee kuheshimiana, ninawaambia najua mambo yenu mengi; msicheze na tope, mtachafua suti zenu sasa hivi! Mnanijua vizuri, sijifichagi, napiganaga wazi wazi! Jipimeni, mnaweza vita na mimi? #HK
[emoji23][emoji23][emoji23] wafanye kweliWaumbuane tyuuh ili tujue Dark side zao, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23]Ww nae ni poyoyo wa mbowe, kila threads unareply huo ujinga wako uliotumwa