Dkt. Harrison Mwakyembe ajilipua suala la Ushoga; Kukabidhi jina la Mwenyekiti wao kitaifa na mikoa kwa Serikali

Hebu mpotezee Mwakyembe jikite kwenye hoja za mwakyembe.
Hatuwezi kumpotezea sababu yeye katoka kwenye hoja na kufanya siasa za ushoga na usagaji kuituhumu serikali yetu na marekani.

Angejikita kwenye hoja tusingekuwa na shida naye.

Ndiyo maana tunamwuliza
1. Kwa nini miaka yote alikaa kimya akiwa ndani ya serikali kama waziri?; iweje leo aibuke kutoa tuhuma za miaka zaidi ya 10 iliyopita eti inajulikana.

2. Kwa nini hajatupa ushahidi wa ushiriki wa serikali kupitia wizara ya afya?
 
Sasa si angemtajaa pale pale, nini maana ya press yake ile? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mnachekeshaaaaa
 
Catherine tetesi ana deal na wadada only...Mdee .nk..
Hakuna,yule kwa kwa mdee alienda kumchunguza kama ni msagaji ama ala.Sema ndo hivyo ilibidi afanye practical. Alikuwa kazini Catherine.
 
Ndo Hadi achore tattoo za anao wafanyia practical??
Sasa si unaweka mazingira yule unaemchunguza akuamini. Sema hata kumpa itakuwa alimpa. Ila Mdee atakuwa kachukia sana,maana alijua mapenzi ya kweli.
 
Ushoga ni mbaya na ni chukizo kwa Mungu....

Ila swali, mwanaume akiamua kutoa tako lake, mi nafanyaje?

Niite press? Tako lake, mazara yake, inanihusu nini?
Mara nyingi huwa hatuendi pamoja!

"SHIDA SIYO NANI KAAMUA AZIBULIWE NA NANI KAZIBULIWA WAPI SHIDA NI PALE AMETOKA KUZIBUKA ANAANZA KUAMINISHA SOCIETY KWAMBA KUZIBULIWA NI JAMBO JEMA AS LONG AS KIZIBULIWACHO UNAKIMILIKI MWENYEWE".

Wapo vijana wanatamani kujaribu kila kitu wakiona hivi wanaenda kujaribu wakimwagiwa maji tayari gari linawaka.
 
Atusaidie kujua, mfumo wa usalama wa nchi unashindwaje kutambua nia ovu ya hizo taasisi kwa miaka yote hii?

Na kama mfumo wa usalama unajua, kwani haukutupa alert ili kuwalinda vijana wengi wanaojiunga na hizo taasisi?
 
Sasa si unaweka mazingira yule unaemchunguza akuamini. Sema hata kumpa itakuwa alimpa. Ila Mdee atakuwa kachukia sana,maana alijua mapenzi ya kweli.
Kuchunguza alitumwa na nani,??
 
Ujinga mtupu.

Tangu lini pafyumu ikamfanya mtu kuwa shoga bwana, mnataka kutufanya machizi!

Alaah! jinga kabisa.
 
Ninaunga mkono harakati zote za kupinga ushoga na usagaji iwe kwa unafiki kwa kujipendekeza au kwa ujanja ujanga ,JAMBO BAYA LAZIMA TULIKEMER HONGERA MWAKWEMBE
 

Watajua wenyewe
 
Kheee! mapya yanafunguka kumbe mwanahabari na yeye ni blender akaamua kuwasagia kunguni wenzie [emoji28]

BICHWA KOMWEE
Yoda
cocastic

Mkuje mkuje
Hahaa,

Mimi kila siku nasemaga humu, tuweni sana macho na hawa wanaojifanya kupinga ushoga kwa sababu wengi wao ni mashoga sugu!

Wanaugua magonjwa mengi ya kisaikolojia hawa, ndio maana limejichubua na kujichora TATTOOS mwili mzima, LICHAFU SANA.

Huyu mchunguzi uchwara ni msagaji sugu, hapo anajishongondoa tu.
 
Hakuna,yule kwa kwa mdee alienda kumchunguza kama ni msagaji ama ala.Sema ndo hivyo ilibidi afanye practical. Alikuwa kazini Catherine.
Kwa hiyo alimnasa Mdee na akamsaga πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸƒβ€β™‚οΈπŸƒβ€β™‚οΈπŸƒβ€β™‚οΈ
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…