Dkt. Harrison Mwakyembe ajilipua suala la Ushoga; Kukabidhi jina la Mwenyekiti wao kitaifa na mikoa kwa Serikali

Sasa si angemtajaa pale pale, nini maana ya press yake ile? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mnachekeshaaaaa
Ile ilikuwa ni kuwaarlet watanzania, haimaanishi kuwa hatawataja
 
Kwani hata huyo mwakyembee?? Alivyowaharibu wanafunzi wa Udom?? Mwingne si yupo UVCCM palee,

Kwan yeye hajui hilo? atulie km hapati bottom kisa uzee wake, akae kwa kutulia tyuuh. Lol
Mwakyembe mchafu sana, kumbe alishafika hadi UDOM kuwaharibu vijana wa chuo!???

Ndio maana anaujua mtandao mzima wa mashoga! Sasa waanze nae, nyambafuuuu!!
 
Aweeee, kumbe ana makando kando yake yake [emoji15]
Kuna mtu kamblackmail nini akaona ajiwahi kujisafisha kabla file halijawekwa mezani [emoji23]
[emoji851][emoji851][emoji851][emoji851][emoji851][emoji23]

Hawa watu wanaojifanyaga kupinga ushoga ni kuwa nao makini sana.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] yaan alivokua anaongea, unajua kabisa yeye ni mdau, anajisafisha na hana chembe ya utakatifu. Lol.
Na kale kamiwani kake unajua kabisa hili bwabwa!
 
Mimi sina mengi,ila ninahofu Mwakyembe asije jichapia yule mwandishi. Wewe Catherine kama umempa Mwakyembe pole yako .Kaungua yule.
Hii ya mwakyembe kua kwenye grid ,umeishupalia sana ,karibu mwaka watano Sasa,ikija habari ya mwakyembe,moja kwa moja unaenda kwenye kuungua kwake,ata Kama ni wewe ulimpima ,sio busara,jikite kwenye hoja.gwegwe yenyewe ya siku hizi Kama mafua,uliye mzima unaweza kata Moto ukamuacha
 
Dada Catherine amejitahidi sana tena kwa kuonyesha vielelezo, picha za baadhi ya wahusika nk.. Hawa wanaompinga wanashangaza Sana. Watakuwa labda ni wadau wa hizo NGO's au wenye matendo na tabia zinazolalamikiwa.
Kama mtu anaona utafiti una mapungufu, aongezee taarifa ili kuboresha, siyo kumwaga kashfa lukuki zisizo na tija, eti kajichubua
 
Na kwenye majukwaa vyombo vya ulinzi na usalama vinajinadi ' nchi ipo salama'!
 
Labda ni issue ya upendo tu, kamtahadharisha mapema asije kunasa.
 
Kuwa na taifa la watu wengi wenye akili ndogo inachosha sana, wako busy na mambo ya ajabu ajabu tu yasiyogusa maisha yao kwa namna yoyote huku wakiacha yale ya msingi.
Inasikitisha sana.
Wanasiasa wanataka wananchi tuache kuwa na attention na mambo yanayogusa maendeleo ya nchi tuanze kufatilia mikundu ya watu, kibaya zaidi baadhi ya raia nao wamechotwa na huu upepo.

Hii nchi ngumu sana.
 
Ushoga ni mbaya na ni chukizo kwa Mungu....

Ila swali, mwanaume akiamua kutoa tako lake, mi nafanyaje?

Niite press? Tako lake, mazara yake, inanihusu nini?
Madhara sio yake pekee yake, Kuna kizazi pia kina haribiwa
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Tena mwanachamaa kindaki ndakii.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23], ajabu nyie ndo mmashusha nyuzi mda woteee.
Duuu hatari. Tunakuombea ili uachane na hayo mambo. Hutauona ufalme wa mbingu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…