Dr. Mariposa
JF-Expert Member
- Dec 2, 2014
- 3,264
- 10,535
Ila Bichwa Komwe una mijineno,Unajadili vipi hoja za mtu aliyechanganyikiwa kwa Kujikoboa JUSO LAKE kama NDULELE?
Huwezi kuwa na akili timamu ukajibandua JUSO LAKO kwa MAKEMIKALI. Halafu kajichora TATTOOS na mamistari ya HINA.
Huyu ni kichaa full blown, bado tu aanze kuokota makopo na makorokocho.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ila Bichwa Komwe una mijineno,
Nacheka kama chizi hapa [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kwa maana hiyo hata wewe, ningependa kufahamu ni me au ke?Ila Faiza [emoji23][emoji119]
Kwa hiyo na yeye ajitambulishe ni nani
He! Ukiwa una maana gani mkuu! Embu funguka kidogo![emoji2962]Ndio, ni msagaji tena aliyekubuhu.
Tunaomfahamu tulikuwa tunajua anaigiza tu.
Nenda kwenye browser[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mie PM sijui wanafungajeee.
Yaan unakuta jamaa linapovukaa hapaa, akati ni lizinzii la karnee.
Wanachekeshaaaaaa
Hapo hata mimi umeniacha hoi. Kama ni gay sema tu, kama ni tomboy pia sema tu.Mwenyewe hata sijijui ni yupi. Kati ya hao unaowataja. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sidhani kama taasisi zitakuwa na majibu.Wacha tusubiri majibu kutoka kwa taasisi husika
Huelewi nini hapo?He! Ukiwa una maana gani mkuu! Embu funguka kidogo![emoji2962]
Mimi ni jike mwenye tashtiti zake mjini hapaKwa maana hiyo hata wewe, ningependa kufahamu ni me au ke?
Sawa.Mimi ni jike mwenye tashtiti zake mjini hapa
Ndio ni LesbianSawa.
Ni Lesbian?
Ambacho sielewi, wakati wa presentation nae alikua front line, iweje yeye tena awe muhanga[emoji848]Huelewi nini hapo?
Muulize Mwakiembe.Ambacho sielewi, wakati wa presentation nae alikua front line, iweje yeye tena awe muhanga[emoji848]
Sio kweli! Pia hata kama ni kweli pia! Ameonyesha nia ya kitokukubaliana na ushenzi, ufuska na uasheratiMuulize Mwakiembe.
Butch, femme, gold star or just queer?Ndio ni Lesbian
Samahani, wewe ni me au ke?Muulize Mwakiembe.
Sijakuelewa lugha yako hiyo.Mkisha malizana mniite nikawashikie miguu!
Nahisi kama Mwakyembe na yule binti walikuwa wanapiga promo ki aina.Sio kweli! Pia hata kama ni kweli pia! Ameonyesha nia ya kitokukubaliana na ushenzi, ufuska na uasherati
Sawa.Sio kweli! Pia hata kama ni kweli pia! Ameonyesha nia ya kitokukubaliana na ushenzi, ufuska na uasherati