Unavoidable Servant
JF-Expert Member
- Oct 13, 2021
- 1,728
- 4,545
Alianza kama hivi.Funguka.
Ulianza anzaje?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Alianza kama hivi.Funguka.
Ulianza anzaje?
Mwisho tutaanza kuwapa watoto visu vidogo watembee navyo
Sasa NGO ni ya kifeminist au haki za binadamu. Unafkiria shoga kwao ni tatizo?. Na ushoga ni tatizo Kwa standard na miiko ya kidini. Katika mitazamo ya kibinadamu juu ya haki za binadamu shoga hawez kuwa tatizoUkisoma ili list ya Mwakyembe ya NGOs zinazo sapoti ushoga utaona asilimia 100 ni local NGOs pekee lakini zile Internayional hazikutajwa hata moja.
Ila kuna NGOs kibao za kimataifa zinazo fanya kazi Tanzania hizo ndio vinara wa kusapoti ushoga hadi kwa stafu wao, nisha wahi fanya kazi na moja ya NGOs ni International nakumbuka tuliwahi pigwa mkwara kuongelea au kuwanyanyapaa mashoga na ilikuwa ikibainika una katishiwa mkataba wako ikifika December ingawa hawatakuambia Direct sababu bali watachomekea sababu nyingine.
Kuna taasisi inaitwa Tanzania Gender Network ile taasisi ni balaa wale wana fund za kufa mtu za kusapoti ushoga na sijaona wakitajwa.
Nitapigwa ban bure acha ninyamazeMSITUHARIBIE WATOTO WETU...FANYENI WENYEWE HUKO WATU WAZIMA ILA WATOTO WETU MSITUHARIBIE
MODS MMEUNGANISHA UZI ILI UJUMBE UPOTEE..SERIKALI HAINA MPANGO WA KUPAMBANA NA JAMBO HILI HATARI LA UKHANITHI...
NAAMINI SERIKALI IMEWAINGIZA WANASIASA KATIKA JAMBO HILI...NA INAFANYA SIASA KWENYE JAMBO HILI...NI KELELE TU WANAPIGA SERIKALI BUNGENI HUKO KELELE KELELE TU NA MPAKA SASA HIVI MMEONA WAPI HATUA KALI ZA KUDHIBITI HAYA...?
PENGINE SERIKALI NDIO INAZILINDA HIZO TAASISI ZA USHOGA...
PENGINE SERIKALI NDIO COORDINATOR WA KUFANIKISHA UTENDAJI KAZI WA SHUGHULI ZAO...
HUKU IKITUCHEZA SHERE KAULI ZAO ZA SIASA...LAKINI NYUMA YA PAZIA... PENGINE MSIMAMO WA SERIKALI NI KUUNGA MKONO...HIVI MMEMSIKIA RAIS KAMA RAIS AKITOA KAULI KAMA MWENZIE WA UGANDA AKITOA MSIMAMO WA NCHI KAMA NCHI KUHUSU MAS'ALA HAYA?
Mambo haya bado yanaendelea kufanyiwa kazi chini kwa chini na hizo hizo taasisi...zinatumia pesa nyingi sana...na wala hakuna hata mmoja aliyechukuliwa hatua kali na serikali ili kutishia na kutoa mfano wa kuonesha hata kwa vitendo kuwa serikali haiko tayari na mambo haya...
Nimepoteza imani na SERIKALI YA NCHI YANGU JUI YA KUPAMBANA NA SUALA HILI.
UKIZINGATIA KUNA KAULI ALIITOA RAIS JUZI JUZI HAPA...Eti "MSITUHARIBIE WATOTO WETU...FANYENI WENYEWE HUKO WATU WAZIMA ILA WATOTO WETU MSITUHARIBIE". HIYO NDIO KAULI YA MKUU WA NCHI...INAYOONESHA MSIMAMO WA NCHI. HAKUNA MATARAJIO. SERIKALI NA WABUNGE WANATUZUGA TU...NCHI KAMA NCHI BADO HAUJATOA MSIMAMO WAKE KWENYE JAMBO HILI.
Kwaio tumekunyamazia kidogo unaanza kutamba tena eeh?Anaandika BICHWA KOMWE:-
Hello Wanabodi na 'Great thinkers' (Japo najua wengi wenu humu hamna sifa zozote za kuwa Great thinkers, kwahiyo hichi ni kivumishi tu cha kuwapaka mafuta).
Ni takribani kama miezi miwili nyuma ambapo kulizuka wimbi na vuguvugu la kufokea ushoga, huku baadhi ya mashabiki wenye mihemko wakiandama na maboksi na kuwataka mabeberu waache mara moja kuwafundisha watanganyika ushoga.
Sambamba na hilo, akaibuka mchambuzi mwenye madoido akifafanua namna ambavyo pafyumu za mabeberu zinasababisha na kuambukiza ushoga mwilini.
Akichagizwa na Harrison Mwakyembe, mwandishi huyo aliyejichubua uso kwa mkorogo, alitoa vielelezo thabiti kwa njia ya video na picha jinsi mabeberu wanavyoambukiza ushoga kwa kuunda mashirika ya kishoga ambayo yanafanya kazi nchini.
Kutokana na mihemko ya ushoga kupamba moto, tukaona DPP amehamasika zaidi, na akaona ni vema sasa aanze kuwaingizia watu vidole sehemu za kutolea haja kubwa na kuwapima jinsi atakavyo ili kuzuia ushoga nchini.
Kwa ujasiri huo wa kuwaingizia watu vidole sehemu za vinyesi, DPP alipongezwa sana na kupewa nishai ya kupambana na mabeberu ya kishoga.
Lakini ghafla tukashtukia mihemko ya ushoga imezimika ghafla, huku mashoga wakiendelea kuzagamuana vilivyo. Hata yule dada mchambuzi naye akatokomea mitini.
Kwa hoja hii, sisi watanganyika, tunamtaka Mwakyembe atutajie yale mashirika ya kishoga ili tuendeleze mihemko yetu ya kupambana na mabeberu.
DPP hajakufikia?Kwaio tumekunyamazia kidogo unaanza jutamba tena eeh?
Umewatag wenzako kumbe mnachama kikubwa hivi?
Huo ujinga mtatiwa vidole vya kati nyieDPP hajakufikia?
Shauri yako.Huo ujinga mtatiwa vidole vya kati nyie