Dkt. Harrison Mwakyembe ajilipua suala la Ushoga; Kukabidhi jina la Mwenyekiti wao kitaifa na mikoa kwa Serikali

Kuna watu walihemka mpaka kuifikia kuropoka eti mashoga wauwawe, na ukiwabeza wanakujumlisha eti nawe ni shoga kwa nini uwatetee.Nchi hii inavituko, sijui lini nitaanza kutumia akili zetu kuyaendea mambo.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Hivi ripoti ya CAG imeishia wapi?
 
Kuna watu walihemka mpaka kuifikia kuropoka eti mashoga wauwawe, na ukiwabeza wanakujumlisha eti nawe ni shoga kwa nini uwatetee.Nchi hii inavituko, sijui lini nitaanza kutumia akili zetu kuyaendea mambo.
Hii nchi imejaa mamburulazz yanye mihemko.

Ndio maana wenye mamlaka wanapeta tu, hata wafanye nini wanajua wananchi ni mazoba.

Sasa hivi yako bize yanashabikia yanga na simba. [emoji851]
 
Huyo Culture Me si ndo-yule Tomboy aliyempandikiza demu wake mimba tena mada zake ni kusagana na kuwaweka wenzie dildo!!
Mkuu wewe ni shoga
Kwa hii list(kampani yako)ndio wewe ni shoga
 
Bado ipo, kuna wengine wamekurupuka kutembelea shule zilizorembwa kwa rangi za upinde wa mvua. Wamesababisha wenye shule kuingia gharama za kununua rangi kufuta upinde. Mbaya zaidi wakukuta kuna decoration za rangi wanataka zifutwe wakidhani ni sawa na za upinde. Yaani kama shule ina rangirangi kama red, blue, black, yellow, white wanataka zifutwe, hizo rangi ziliwekwa kwa lengo la kufundishia watoto types of colours lakini zinahusishwa na ushoga, imekuwa kero sana
 
Wenzako hawa hapa
 

Attachments

  • 20230517_081530.jpg
    70.6 KB · Views: 6

Ila Bichwa Komwe ni mkorofiiii huyo Mchambuzi na Mkorogo wake unajuaga kumchambua [emoji23][emoji23]

Ila hata mimi nashangaa hii mihemko imepotelea wapi, maana Watu walikua kama Wanyama wakiwa kwenye heat, kelele, fujo fujo baadae zzzzzz,

Mwakyembe atutajie hayo mashirika [emoji1783]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…