Dkt. Harrison Mwakyembe ajilipua suala la Ushoga; Kukabidhi jina la Mwenyekiti wao kitaifa na mikoa kwa Serikali

Dkt. Harrison Mwakyembe ajilipua suala la Ushoga; Kukabidhi jina la Mwenyekiti wao kitaifa na mikoa kwa Serikali

Labda ni issue ya upendo tu, kamtahadharisha mapema asije kunasa.
Sio upendo huo,angamfata basi private,kwanza hao ni watu wazima,condom wanajua zipo,mafuta yapo,na vipi ikawa wote wapo kwenye grid ya taifa.ebu fikiria upo sehemu una leta kero yenye msaada katika jamii,anatokea mtu anasemaana ukimwi uyo,kitu ambacho sio mjadala muda huo,imagine
 
Mimi ninasema kuwa MTU YEYOTE anayempinga Dr. Mwakyembe ni SHOGA

Mzee wa watu ameweka wazi kuwa Mashoga wana community na Organizations zao, wana wafadhili na akataja baadhi ya makampuni yanayosupport na kueneza Ushoga

Amesema Mashoga wana Mkurugenzi wao na wanapata support kubwa kutoka Marekani

AMEKOSEA WAPI?

Mara anatafuta kiki, Mara ana njaa na blah blah zingine


Si msubiri atangaze hiyo list ya hao Mashoga na Mkurugenzi wao?

Kwanini Mnaweweseka na Mnamjadili yeye badala ya hoja zake?

Au ninyi Mashoga ndio hamtaki Mkurugenzi wenu atajwe?
Hujasoma na kuelewa hoja iliyopo mezani. Soma tena ili ujue context ya andiko.
 
Nani kakulazimisha uwe shoga?
Yaan kuna mtu kakwambia Savimbi njoo tuku^^^, acha masikhara bhana, sidhani kama kuna watu wamefikia huko [emoji2296]

Umeelewa mada au una attack watu? Tatizo lako mtu akipinga Ushoga una muattack!! Rudia kuisoma mada kwanza kisha ndiyo utoe maoni kulingana na mada iliyopo na si personal attack.

Muandishi amekuja na report yake iliyoshiba kama zile za Mohamed Ali(KTN) kama unampinga inabidi wewe uje na zako na si kuleta ujuaji usio na kichwa wala miguu.

Tafuteni kazi nyingine mnafadhiliwa na wazungu mueneze Ushoga wenu hapa TZ mwakyembe ashaanza kuwambua na kumwaga kitumbua chenu mchanga.
 
Ninaunga mkono harakati zote za kupinga ushoga na usagaji iwe kwa unafiki kwa kujipendekeza au kwa ujanja ujanga ,JAMBO BAYA LAZIMA TULIKEMER HONGERA MWAKWEMBE
Hujaelewa context ya andiko hili. Soma tena ndo uje kutoa comment upya.
 
Ujinga mtupu.

Tangu lini pafyumu ikamfanya mtu kuwa shoga bwana, mnataka kutufanya machizi!

Alaah! jinga kabisa.

Huawezi Kuelewa kama haujafika hata form One......Tatizo hamna bando hamsikilizi report ya muandishi ,mnadandio hoja za kwenye meme tu,kaeleza jinsi gani hizo bidhaa alizoleta huyo mzungu(Mme wa Noel) na kuwapa bodaboda zinavyoathiri hormones mpaka mtu anakuja kuwa shoga.
 
Waziri wa Afya, Ummy Mwalimu hajatoka hadharani kukanusha taarifa iliyotolewa na Waziri wa zamani wa Katiba na Sheria, Dk. Harrison Mwakyembe kuhusu Wizara yake kutoa vibali kwa mashirika yanayoendesha ushonga nchini.

Mwakyembe ametaja majina ya mashirika hayo makubwa ambayo yako maeneo mbalimbali nchini huku akitaja kuwa yako chini ya Wizara ya Afya.

Kwanini Wizara ya Afya iko kimya hadi leo siku ya 3
 
Alichokileta mwandishi ni utopolo mtupu, hakuna repoti yoyote iliyoshiba. Mtaonekana wapuuzi na wajinga sana mkienda mahali pa watu wenye akili halafu na vichwa vinavyofanya kazi vizuri mseme kuna pafyumu/spray inayogeuza watu kuwa mashoga. Mtaonekana kituko kitupu.
Umeelewa mada au una attack watu? Tatizo lako mtu akipinga Ushoga una muattack!! Rudia kuisoma mada kwanza kisha ndiyo utoe maoni kulingana na mada iliyopo na si personal attack.

Muandishi amekuja na report yake iliyoshiba kama zile za Mohamed Ali(KTN) kama unampinga inabidi wewe uje na zako na si kuleta ujuaji usio na kichwa wala miguu.

Tafuteni kazi nyingine mnafadhiliwa na wazungu mueneze Ushoga wenu hapa TZ mwakyembe ashaanza kuwambua na kumwaga kitumbua chenu mchanga.
 
Nilimsikiliza Mwakyembe wakati anatoa hoja kuhusu Ushoga na Usagaji.

Ni ukweli kuwa Ushoga na usagaji ni matendo machafu mbele ya jamii na mbele za mungu. Hilo halina ubishi labda uwe mwendawazimu.

Uwasilishaji wa Mwakyembe ulikuwa wa kisiasa zaidi kwa lengo la kupata umaarufu wa kisiasa (Cheap politics). Mwakyembe alikuwa waziri mwandamizi kwa miaka mingi.

Kitendo cha kuihusisha serikali na ushoga na usagaji na kuitolea shutuma nzito kuwa wizara ya afya ina engineer na kwamba kila kitu kinajulikana kwa miaka mingi tangu yeye akiwa waziri mwandamizi ni upotoshaji wa wazi wenye kutafuta umaarufu tu.

Mbona siku zote hizo mwekyembe alikuwa kimya huku akijua ushoga na usagaji ni jambo baya. Kwa nini hakuwahi kusema hata bungeni? au kujiuzuru uwaziri kuonyesha kuwa anapinga serikali ku support mashoga na wasagaji?

Kuituhumu Marekani kuwa inatuletea ushoga na kwamba hataki pesa za wamerekani na nchi zingine zilizo na sheria zinazolinda haki za mashoga na wasagaji ni kuichonganisha serikali yetu na marekani ili ku gain cheap politics.

Marekani na nchi zingine zinazotupa misaada (Grants) hawajawahi kutuwekea sharti la kukubali ushoga ndo watupatie misaada.

Kuanza siasa za kuituhumu marekali kuwa inatuletea ushoga bila hata ushahidi na kwenda mbali zaidi eti hatutaki hata pesa zao ni ulimbukeni na ujinga uliokithiri. Nitatoa mifano michache ili hoja yangu ieleweke vyema.

Marekani na nchi zingine ni washirika wetu wakubwa tena wanaotusaidia mambo makubwa kwa sekta muhimu inayogusa maisha ya watanzania wengi.

1. USA inafadhiri mifuko (Funding) lukuki kama Grants. Hatukopi ila tunapewa bure. Nitataja miwili tu mikubwa ambayo ni Global Fund na President's Emergency Plan for Aids Relief (PEPFAR) kupitia Centers for Disease Control and Prevention (CDC). Mifuko hii ina zaidi ya miaka 15 ipo hapa nchini na imenufaisha watanzania wengi kwenye miradi ya Afya kama Malaria, TB & Leprosy, HIV AIDS na mingine mingi.

2. Miradi niliyoitaja hapo juu watanzania wengi imewagusa mmoja mmoja. Kama nchi tunapata dawa za chanjo kutoka WHO kupitia mfuko wa Global Fund. Tunapata dawa wa kufubaza virusi vya ukimwi kwa vituo vyote Tanzania (CTC centers) kupitia mfuko wa PEPFAR, Tunapata dawa za malaria kupitia mfuko wa Global fund, tunapata Dawa za TB na Ukoma (Leprosy) kupitia Global Fund etc

3. Kuna mfuko mwingine unaitwa Health Basket Funding (HBF), pia hii ni Grant siyo mkopo ambao unachangiwa na World Bank na nchi zaidi ya 15 ikiwemo Canada, Denmark, Ireland, Switzerland, German etc. Bila hawa jamaa Health system ya Tanzania ingekuwa ime collapse. Hawa ndo wanatupa pesa za kununua dawa na vifaa kwa ajili ya hospital zetu nchi nzima. Huu mfuko ni mkombozi kwa watanzania kwa afya zetu.

4. Kama kweli nchi zote nilizozitaja hapo juu 1, 2 & 3 zote zina sheria zinazowalinda mashoga ikiwemo marekani. Mbona hakuna kigezo walichoweka cha kwamba lazima ukubali ushoga kama sharti la kupewa fedha zile ambazo tunazipata kila mwaka kwa zaidi ya miaka 15 sasa kama anavyodai Mwakyembe?

5. Ni ujinga wa kiwango cha juu kwa mtu ambaye amekuwa waziri tena mwandamizi kusema hadhalani eti hatutaki misaada ya marekani kwa sababu wana support ushoga huku akijua kuwa marekani na washirika wengine hawajawahi kutuwekea sharti la kutupa pesa ili tukubali ushoga. Hizo ni cheap politics za Mwakyembe.

Hitimisho
1. Ni ujinga kutafuta umaarufu wa kisiasa kwa mwamvuli wa ushoga. Mtu kama anaichukia marekani na washirika wengine kwa sababu zake basi aichukie kama yeye lakini siyo nchi. Marekani na nchi nilizozitaja zikikata Grants, Health system ya Tanzania ita collapse sababu ya wanasiasa wachache wanaotaka kuharibu mahusiano na nchi yetu na Marekani

2. Kama nchi tuangalie chanzo cha tatizo la ushoga na usagaji siyo kuhangaika na matokeo. Ushoga na usagaji ni matokeo tu, hao ni waathirika. Tuanze kuhangaika na mabasha na wasagaji siyo waathirika. Tuwekeze kuihamasisha jamii ichukie mabasha na tutunge sheria kali ya ku deal nao ili tukomeshe ushoga.

3. Kumwadhibu muathirika wa ushoga na usagaji ni uwendawazimu. Haina tofauti na kumwadhibu mtu anayevuta madawa ya kulevya ukamwacha muuza dawa za kulevya.
Hukumwelewa Mwakyembe hata chembe. We ndiyo unaleta mitazamo miepesi.
 
Alichokileta mwandishi ni utopolo mtupu, hakuna repoti yoyote iliyoshiba. Mtaonekana wapuuzi na wajinga sana mkienda mahali pa watu wenye akili halafu na vichwa vinavyofanya kazi vizuri mseme kuna pafyumu/spray inayogeuza watu kuwa mashoga. Mtaonekana kituko kitupu.

Elimu ELimu ELimu ,hiyo ni bailoji ya form One C mkuu.

Ebu Soma kitabu cha ujasusi cha yericko uone jinsi hizo chemical zinavyotumika na majasusi kuumiza adui.....Perfumes/Mafuta ukitumia baadhi ya content zinaingia mwilini ,kuna baadhi ya content unaweza ukafanya ziboost hormones ya aina fulani na ndiyo maana ukienda hospital kama hormone imbalance wanakupa vidonge koboost hormones na ndivyo hivyo perfumes/mafuta wanaweka chemical ambazo ukipaka au kupuliza zinakuwa observed na kuweza kuleta impact kwenye hormones.

Ukitaka kuamini kwanini ukipuliziwa hewa ya sumu unakufa? Ina maana inaingia mwili na kuathiri ,same as perfumes za ushoga ukipuliza ile hewa inakuwa na chemical za kuboost hormones za kike kwa mwanamme.
 
Wakati unasema watajua wenyewe mdogo'ako au mwanao atakutana na post zao atamani kwenda kujaribu mwisho na wewe unaonekana una ndugu shoga.

Think twice.

Enjoy your evining, kuna vitu vya muhimu sana zaidi ya huu ujinga
 
Back
Top Bottom