Kipangaspecial
JF-Expert Member
- Mar 30, 2020
- 20,778
- 28,722
Hii ni nchi huru,How?
Kwani hujui kesi zimeshafunguliwa kunako
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hii ni nchi huru,How?
Kwani hujui kesi zimeshafunguliwa kunako
Usinipangie cha kuandika idiotUnathubutu kuandika hujui ni RAISI sasa?
Ccm inapendwa sana dunianiHongera sana Dr.Husein Ali Mwinyi kwa ushindi wa kishindo! Pole Maalim Seif, naona umechuja hatua kwa hatua!
Maneno hayo tuliyasikia tangu 1995 wakati wa Salmin, kwa neema ya Mungu wote wanamaliza muda wao!Atakuwa Rais wa muda mfupi sana
Tuendelee...
Maneno hayo tuliyasikia tangu 1995 wakati wa Salmin, kwa neema ya Mungu wote wanamaliza muda wao!
Mimi nakuona kama zuzu fulani hivi.Tumeshinda kama ccm
Niliwaambia hapa mtapigwa Shikwambi mpaka mtashangaa...
Uchaguzi wa mwaka huu, ni mapinduzi ya Magufuli, Mwinyi na vyombo vya Dola...dhidi ya wananchi wa Tanzania!
Hawa ni magaidi tu
Usiseme kashinda bali kutangazwa mshindiMgombea wa kiti cha urais wa Zanzibar kwa kupitia chama Cha CCM, Dkt. Hussein Mwinyi ametangazwa kushinda uchaguzi huo kwa kupata kura 380402 sawa na 76.27%
Mpinzani wake wa karibu Mgombea urais kwa kupitia chama Cha ACT Wazalendo, Maalim Seif amepata kura 99103 sawa na 19.87%
Mwinyi amewashinda wagombea wengine 16
mpaka milele.CCM IPO madarakani mpaka 2100
mpaka mbinguni, wakitoka hapa wanakuwa viongozi wa malaika huko.Ccm inapendwa sana duniani
mpaka mbinguni, wakitoka hapa wanakuwa viongozi wa malaika huko.
Tumeshinda kama ccm
Niliwaambia hapa mtapigwa Shikwambi mpaka mtashangaa...