stakehigh
JF-Expert Member
- Aug 9, 2019
- 7,134
- 4,556
Fanya iwe Milele kabisa Mkuu.
tundu lissu wapeleke mchaka mchaka, wapeleke kikamanda mchaka mchaka! 😂
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Fanya iwe Milele kabisa Mkuu.
Yaaani subirini uchaguzi wa Marekani upite, nchi hii itawekewa vikwazo mpaka basi
Watz hawapendi shari ndio wapo majumbani wakiendelea na mambo yao.Jidanganyeni hivyo hivyo wakati moto unakuja.
Hii ni dunia jomba! Kuna kanuni za pamoja lazima zifuatwe ndio maana kina Gabgo walijikuta The Hague. Au unadhani nchi zao sio huru? Wapi Albashiri? Wako wapi kina Taylor?
Acha uwongoSafi
CCM inapendwa sana na wazanzibar